Ndoa za kikristo v/s ndoa za kiislamu

Ndoa za kikristo v/s ndoa za kiislamu

Kwa mantiki hii unataka kumaanisha ndoa ni kama kupigana vita na adui yako kwa upendo huku ukiwa na nia ya kuto kuangamizana wenyewe kwa wenyewe?
Kama itakuwa hamuendani basi ni balaa kabisa ,ni zaidi ya furaha kama mtakuwa wote mpo sawa na mnaendana.
 
Je, kuruhusiwa kutoa talaka na kuongeza mke ndiyo kunafanya ndoa zenu za kiislam kudumu zaidi na kuonekana zenye furaha kuliko hizi za kikristo au kuna kingine cha ziada mkuu?
Binadamu anabadirika kulingana na muda na mazingira, hivyo binadamu anapobadirika na wewe huwezi kumbadirisha basi suluhisho pekee ni kutengana ili kutafuta amani(TARAKA).

Kama mzazi au wazazi wake wameshindwa kuhili mtazamo wake utamuweza wewe mwanaume ambae humjui zaidi ya miaka 20???

Ndio maana waislam tunakitu inaitwa Taraka, hii ndio njia pekee ambayo utawatenganidha na uhasama kila mtu akatafute furaha yake.
 
Kwa takwimu za Dar ndoa 300 kuvunjika kwa mwezi ni kundi gani katika hayo mawili linaongoza
Kuachana na kila mtu akatafute amani ya moyo wake na ambao mnaishi nyumba moja kila mtu analala chumba chake na kupata mke/mume bora nini??? Kuna wakati mengine yanabaki kuwa ujinga tu
 
Uisilamu ambao uko pwani zaidi, wanawake wa pwani mafundisho yao na jukumu lao kubwa ni kumjali/kumtunza mume pasipo na vigezo/masharti yeyote.

Huku juu ambapo labda ukristo upo zaidi, wanawake hawafai hata kidogo hawajafunzwa kumjali wala kumuheshimu mume, wamejaa viburi, ubabe, yaani haiba ya kike haipo😆😆😄

Wanawake wa pwani ni nafuu sana kuliko hawa wengine

Nilishakuwa na mke wa huku juu, hakuna rangi niliacha ona.
Mwisho nikaenda oa huko pwani aisee kuna utofauti mkubwa sana, nashukuru Mungu mke nimepata
 
Kibarua huwa anapiga kazi kwa morali sana maana anajua akizingua tu anakula kadi nyekundu, ila Mwajiriwa huwa anafanya kazi anavyojisikia maana anajua huwezi kumpa kadi nyekundu kirahisi.
Ambapo ndipo tofauti ilipo kati ya kibarua na mwajiriwa
 
Huku juu ambapo labda ukristo upo zaidi, wanawake hawafai hata kidogo hawajafunzwa kumjali wala kumuheshimu mume, wamejaa viburi, ubabe, yaani haiba ya kike haipo
Umesema ukweli mtupu
 
Nawasalimu kwa jina la jamuhuri ya Wana JF.

Ndugu kama kichwa cha habari kinavyo sema hapo .

Kumekuwa na mkanganyiko mkubwa sana ndani ya ndoa za siku hizi especially ndoa nyingi za kikristo zina yumba sana huku tukiona baadhi ya ndoa za kiislamu zikiwa zinadumu zaidi japo kunabaadhi zina yumba pia ila zinadumu sana kwa muda mrefu bila kuvunjika.

Je, ni nini kinapelekea hasa ndoa hizi za kiislamu kudumu zaidi nakuonyesha kuwa na amani ukilinganisha na hizi za kikristo na nini kifanyike ili kuimarisha hii taasisi ya ndoa za kikristo ?

Nakaribisha maoni yenu.

mbona hujaweka takwimu sasa au unatoa ndotoni huo uringanisho wako
 
Mimi ni mkristo lakini waisilamu Wana heshima sana Kwa waume zao na pia wana roho nzuri ukilinganisha na wanawake walio wengi wa kikristo.
Lakini pia waisilamu kuoa wake wengi hiyo karata waliicheza vizuri sana, lakini sisi wakristo ka mke kamoja yaani hakatoshi kabisa hapa tulipigwa na kitu kizito.

Kwa kweli niwe mkweli na nawapenda waisilamu kutokaana na kuoa wake wengi yaani full rotation Leo hii, kesho Ile.

Acha niwe muisilamu tu niongeze wake wengine watatu niwe na 4, hapa naona ndo akili itatulia.
Halafu kama unataka zile dawa za kisunna Kwaajili ya magoti na kiuno.
Pia utafundishwa
 
Mimi ni mkristo lakini waisilamu Wana heshima sana Kwa waume zao na pia wana roho nzuri ukilinganisha na wanawake walio wengi wa kikristo.
Lakini pia waisilamu kuoa wake wengi hiyo karata waliicheza vizuri sana, lakini sisi wakristo ka mke kamoja yaani hakatoshi kabisa hapa tulipigwa na kitu kizito.

Kwa kweli niwe mkweli na nawapenda waisilamu kutokaana na kuoa wake wengi yaani full rotation Leo hii, kesho Ile.

Acha niwe muisilamu tu niongeze wake wengine watatu niwe na 4, hapa naona ndo akili itatulia.
Mimi ni mkristo ila natarajia kuoa mwanamke wa kiislam nimekaa na wanawake wa kikristo kwenye mahusiano pamoja na wanawake wa kiislamu ila wanawake wa kiislamu ni bora zaidi kuliko hawa wa kikristo.

Wanajua kabisa mwanaume ni nani na anapaswa mwanamke aweje kwa mwanaume.

NITAOA MWANAMKE WA KIISLAM JAPO NITAJITAHIDI KUMGEUZA UPANDE MAANA WAKO POA SANA ILA AKIKATAA MARA MIA KUWE NA DINI MBILI NDANI YA NYUMBA KULIKO KUOA HAWA WA KWETU WASIYO ELEWEKA.

Kwanini na sema haya.


Mwanaume wa kikristo labda mkatoliki unaoa mkatoliki mwezako siku chache baadae mke anakuwa mlokole tena kwenye manabii na mitume wa uongo, anakua ananyunyiza maji na chumvi anapaka mafuta kila mahali mpaka siafu wanajaa ndani inakuwa tafarani tuu na kuaminishwa mume anamloga.

sasa kunatofauti gani na kuoa mwanamke wa kislam direct anaye jua kila kitu watoto itafanyika namna tuu ya kuwajenga kiimani cz baba hashindwi
 
Kibarua huwa anapiga kazi kwa morali sana maana anajua akizingua tu anakula kadi nyekundu, ila Mwajiriwa huwa anafanya kazi anavyojisikia maana anajua huwezi kumpa kadi nyekundu kirahisi.
Ambapo ndipo tofauti ilipo kati ya kibarua na mwajiriwa
Kwa mantiki hiyo unashauri sisi wa kristo tuache kuajiri wanawake kwenye taasisi ya ndoa?
 
Uisilamu ambao uko pwani zaidi, wanawake wa pwani mafundisho yao na jukumu lao kubwa ni kumjali/kumtunza mume pasipo na vigezo/masharti yeyote.

Huku juu ambapo labda ukristo upo zaidi, wanawake hawafai hata kidogo hawajafunzwa kumjali wala kumuheshimu mume, wamejaa viburi, ubabe, yaani haiba ya kike haipo[emoji38][emoji38][emoji1]

Wanawake wa pwani ni nafuu sana kuliko hawa wengine

Nilishakuwa na mke wa huku juu, hakuna rangi niliacha ona.
Mwisho nikaenda oa huko pwani aisee kuna utofauti mkubwa sana, nashukuru Mungu mke nimepata
Ukioa mwanamke wa kiislam tena upatie kuchagua hakika umeoa mwanamke ambaye ndiye mke sasa.. mm nawaambiaga vijana wananiona nishachanganyikiwa ila ukweli ndiyo huo..

Huwezi jua wanawake wa kiislam kama ni bora zaidi usipo kuwa nao. Ukiwa nao ndiyo utajua huku kwetu hamna kitu
 
Kuwe na option isiyo na mlolongo mrefu wa kumpa kadi nyekundu mtumishi ambaye haitumikii taasisi ipasavyo
Sawa mkuu.. itabidi wakubwa wabadilishe mitaala ya kufundishia dini ya ukristo kwenye maswala ya ndoa
 
Wanaawake Wana kawaida ya kuizoea ndoa wakishazaa ukiizoea ndoa kifuatacho ni talaka.
Waislamu kwenye ndoa Mwanamke ni mpangaji yaani anaweza timuliwa wakat wowote hata kupitia wasap akiheshimiwa Sana ataongezewa mke wa pili hizi facta mbili uwafanya wake wa kiislam kuwa watulivu na kuziheshimu ndoa tofauti na wanaawake wa Kikristo.
Kwa Wakristo Mwanamke ni sawa na mmiliki wa nyumba hatimuliwi kirahisi rahisi tu kwa sababu ya Sheria za dini hata ukimtimua bado ni wako huyo hadi kifo hii uwapa kiburi kidini na kisheria thus inawapa Mwanya wa kuizoea na kuichezea ndoa,pia hawana chance ya kuletewa mke wa pili au wa tatu kwa kigezo Cha dini.
Mwanamke wa Kikristo anaeishemu ndoa ni yule wa uchumba sugu lakini ukifunga nae tu ndoa anaanza mikakati ya kuibomoa ndoa.
Wanaume wa Kikristo ndio wanaoongoza kwa kuzikimbia nyumba zao pindi mke akiota mapembe yaani kuacha Kazi yake ya ukonda na kutaka kushika usukani tofaut na wanaume wa kiislam wao ukiota mapembe anakutimua juu kwa juu akikuheshimu Sana sababu ya watoto atakuletea mke wa pili.
 
Mimi ni mkristo lakini waisilamu Wana heshima sana Kwa waume zao na pia wana roho nzuri ukilinganisha na wanawake walio wengi wa kikristo.
Lakini pia waisilamu kuoa wake wengi hiyo karata waliicheza vizuri sana, lakini sisi wakristo ka mke kamoja yaani hakatoshi kabisa hapa tulipigwa na kitu kizito.

Kwa kweli niwe mkweli na nawapenda waisilamu kutokaana na kuoa wake wengi yaani full rotation Leo hii, kesho Ile.

Acha niwe muisilamu tu niongeze wake wengine watatu niwe na 4, hapa naona ndo akili itatulia.
Karibu kwenye dini ya haki.
Wanawake wengi wa Kikristo wanapenda harusi kuliko ndoa,wanajua umuhimu wa ndoa baada ya kuachika
 
Binadamu anabadirika kulingana na muda na mazingira, hivyo binadamu anapobadirika na wewe huwezi kumbadirisha basi suluhisho pekee ni kutengana ili kutafuta amani(TARAKA).

Kama mzazi au wazazi wake wameshindwa kuhili mtazamo wake utamuweza wewe mwanaume ambae humjui zaidi ya miaka 20???

Ndio maana waislam tunakitu inaitwa Taraka, hii ndio njia pekee ambayo utawatenganidha na uhasama kila mtu akatafute furaha yake.
Unakuta mzazi anamlea mtoto wake vibaya mzigo ubebe wewe, mzazi wake kashindwa kumstaarabisha wewe ndio utaweza kweli
 
Back
Top Bottom