bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,345
- 25,321
Akikosea kuolewa Cha moto anakionaLakini wanandoa wa kikristo wanasulubika sana
Akikosea kuolewa Cha moto anakionaLakini wanandoa wa kikristo wanasulubika sana
Na kuoa nakoAkikosea kuolewa Cha moto anakiona
Umenitag kiuoga sana unaniogopa?Dr Santos nnamashaka na afya ya akili Yako
Ukiachana na mafunzo yao huenda utoaji talaka na kuongeza mke ikawa inasaidia(japo mke zaidi ya mmoja sioni kama ni nzuri sana)Je, kuruhusiwa kutoa talaka na kuongeza mke ndiyo kunafanya ndoa zenu za kiislam kudumu zaidi na kuonekana zenye furaha kuliko hizi za kikristo au kuna kingine cha ziada mkuu?
Mbona inaelewekaUmejuajeeeeee?
Wapo pia baadhi ya mabinti wa kikristo wapo vizuri mkuu, japo Kwa waislamu ni wengi wapo vizuri na wengine(waislamu) wakikiuka huwa kama wanafanya makusudi hivi maana sio kwamba hawajui walichofundishwa bali huenda wakawa wamechoka na pia Sasa hivi wanaona kutii sana nikama kujishusha sana kulingana na wanaume pia walivyo badilika akili( ukifutilia vizuri ni kama kamzozo hivi haya mambo ya ndoa)Mimi ni mkristo lakini waisilamu Wana heshima sana Kwa waume zao na pia wana roho nzuri ukilinganisha na wanawake walio wengi wa kikristo.
Lakini pia waisilamu kuoa wake wengi hiyo karata waliicheza vizuri sana, lakini sisi wakristo ka mke kamoja yaani hakatoshi kabisa hapa tulipigwa na kitu kizito.
Kwa kweli niwe mkweli na nawapenda waisilamu kutokaana na kuoa wake wengi yaani full rotation Leo hii, kesho Ile.
Acha niwe muisilamu tu niongeze wake wengine watatu niwe na 4, hapa naona ndo akili itatulia.