Ndoa yangu ipo mashakani

NI BAADA YA KUMBEMBELEZA AKAKATAA KATAKA(Kumbaka siwezi)..Hata hivyo nilimwomba tangu mchana anatakanimfanyie nini leo hili ajisikie hamu) Hakunipa ushirikiano hivyo nikashindwa hata kitu cha kufanya kama chambo cha kumnyegelesha...0
Kwa mfano saa tisa kasorobo hii wewe uko busy JF, yeye yuko wapi?
 
Ahsante rafiki yangu.. Hatuna ugomvi wa haina yoyote kabisa(Tena kipindi hichi Mwenyezi Mungu amenifungulia RIZIKI si haba tunapata mahitaji yote muhimu,tofauti na siku za nyuma ambapo kipato kilikuwa changamoto kubwa kwangu..
 
Ahsante kwa mchango wako..(Huyu kiumbe sijui ana tatizo gani AU mimi nina tatizo gani) asiponiona ndani ya saa moja inatosha kumfanya ani-Miss" (Maana nikiwa nime enda ofisini au mahali popte hata piga simu zaidi ya mara tatu"Akisema amenimiss tayari.. La ajabu nikiwa naye nyumbani habari za kungonoka usimuulize kabisa mtakosana..(Nimeisha muuliza mara kibao,,Nifanye kitu gani kinachoweza kumpa ashki(Hani ambii)....Yaani we hacha tu..!UOTE=nosspass;7679808]jini mahaba linaweza kuwa linamsonga....... ila mwaka mzima kweli mrefu.... mpaka umbake duh... na wakati unambaka anatoa ushirikiano?......fanya hivi.... anza kutoka kila siku rudi jioni,,jifanye kama huna habari nae... mzigo usiulize na ujikaze kweli kweli, uwe mpole kabisa,,, kuwa busy na watoto kwa sana.. tena siku nyingine jisahaulishe lala kwa watoto....lazima atagutuka, pia chunguza marafiki zake, kama una mbinu za kuwafahamu fanya....ila usiwaulize kitu,,, chunguza na wao tabia zao.....wanawake hawakosi mashosti kabisa....jaribu hapo tuone....[/QUOTE]
 
Ahsante kwa mchango wako..(Huyu kiumbe sijui ana tatizo gani AU mimi nina tatizo gani) asiponiona ndani ya saa moja inatosha kumfanya ani-Miss" (Maana nikiwa nime enda ofisini au mahali popte hata piga simu zaidi ya mara tatu"Akisema amenimiss tayari.. La ajabu nikiwa naye nyumbani habari za kungonoka usimuulize kabisa mtakosana..(Nimeisha muuliza mara kibao,,Nifanye kitu gani kinachoweza kumpa ashki(Hani ambii)....Yaani we hacha tu..!...
 
Ahsante kwa mchango wako..Suyala la kumfikisha kileleni sina shaka nalo( Nina uhakika kwasababu huwa mara zote anawahi kufika hata kabla yangu(Nikiona dalili huwa naongeza ufundi wa kufika na mimi ili tumalize kwa pamoja(Wakati mwingine anafika na kuniacha njiani..Kwasababu anakuwa ameisha sinyaa misuri na hamu imemwisha huwa namuacha bila ya mimi kufika...
Pia inawezekana umekua unashindwa kumfikisha kileleni yani ukikutana nae unajifurahisha wewe unamaliza unamgeuzia mgongo,
hii pia inaweza ikachangia mkeo kulichukia tendo la ndoa na kutokua na hamu na wewe
 
Nashukuru sana kwa ushauri wako murua kabisa..!
 
Aahsante mpendwa ..UBARIKIWE SANA>>!
 
Nyege??! Hamu na nyege vinatofautiana???( Mke wangu ajisikii kufanya mapenzi basiiii) sasa sidhani kama ananyege alafu hataki kufanya mapenzi..!
kwanza atuambie hivi mkewe ana nyege ama hana??
 
Nimekosa sifa gani ya kiume?? mpendwa???? UBABE??? SIYO??..Ubabe naweza fanya katika mambo mengine(, Rudi nyumbani muda ninaotaka mimi,usiende mahali flani sitaki..NK.! LAKINI SUALA LA UBABE KATIKA KUNGONOKA Siwezi(Manaa Ndio chanzo cha kujenga Chuki dhidi yangu) Istoshe nitamuumiza maana hata chembe ya RESPONSE toka kwake kuna kuwa hakuna(Yaani mkavu kama jiwe(Hata ningelamba na kuipaka mafuta papuchi yake)
aje atujibu hapa............
kwa mwanamke mwenye nyege kabisaa huwez kulala na mwanaume mwaka mzima kama kaka na dada..............
hapa pana atatizo zaid ya tunavyodhani............huyu kaka kakosa sifa moja ya kiume
 

muanzisha mada huyu mchangiaji amemaliza yooote yan!
hayo mambo yamaombi, usafi nk yanaweza yakatumika kufanya muujiza kutengua iko kilichoandikwa na mchangiaji cz io ndio sababu kuu.
kila la kherii.
 
mkeo anatokea mkoa gani vileee..... Tuwakwepe mapema tukishaachana na ubachela!!
 
Nashukuru sana mpendwa kwa ushauri wako mujarabu kabisa(Hili suala la "outing" nafikiri ni muhimu sana" Nyumbani namuongelesha na nina mwambia bila kumumunya maneno juu ya hali yake(at the same time- namwomba nayeye "appoint out" mapungufu yangu yanayoleteleza hali haliyo nayo) Kwa bahati mbaya hani ambii.
 
Mheshimiwa..Sidhani kama hali yake ina uhusiano na mahali anapotoka....Ni changamoto tu za maisha..!
mkeo anatokea mkoa gani vileee..... Tuwakwepe mapema tukishaachana na ubachela!!
 
Dah mi nikupe pole tu na ufate ushauri wa watu na uchanganye na zako na imani utapata jibu
 
Nyege??! Hamu na nyege vinatofautiana???( Mke wangu ajisikii kufanya mapenzi basiiii) sasa sidhani kama ananyege alafu hataki kufanya mapenzi..!

kumbe sasa wewe hujui hamu ya kufanya tedo la ndoa na kuwa na nyege niii vitu viwili tofauti kabisa, nyege huja bila hata kuwepo mtu wa kufanya nae tendo hilo. lkn hamu ya kufanya huweo pale muhusika anapokuwepo.

mathalan ninaweza nikawa nina nyege kabisa lkn sijiskii kufanya kwasababu muhuiska hayupo na ndivyo ilivyo kwa watu wengi.

sasa nina shaka huenda mkeo hana hamu ya kufanya na wewe lkn ana nyege na nyege zake anazimaliza ajuavyo yy.
 

kuna post ambayo nimekuuliza maswali kadhaa nikasema kama hujiskii kuyajibu hapa barazani basi nijibu kwa pm je umeisoma hiyo post??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…