Kitu kimoja ambacho hajakijua. Kitu cha kwanza muhimu sana katika ndoa ni kumemegedana. Kama chakula hata magengeni kipo. Mi wife akijaribu kuninyima hiyo makitu ndo kanipa tiketi ya kumtafutia msaidizi, na kwa hilo naamini Mungu hanihesabii dhambi.
Hahahahahahaha hana bwana si ndio maana hataki. Yaani wewe mtundu sanakwanza atuambie hivi mkewe ana nyege ama hana??
Hahahahahahaha hana bwana si ndio maana hataki. Yaani wewe mtundu sana
Hahahahahahahaha duh job true true. Muda mwingine mwanaume inampasa asimame kiume kweliaje atujibu hapa............
kwa mwanamke mwenye nyege kabisaa huwez kulala na mwanaume mwaka mzima kama kaka na dada..............
hapa pana atatizo zaid ya tunavyodhani............huyu kaka kakosa sifa moja ya kiume
Nakuunga mkono kwa hilo dada gfsonwin ila kwa uapnde mwingine pia kwa mimi nilivyoona maelezo yake nahisi hata kama mkewe anampenda lakini amegundua kuwa mumewe ni mpole na anampenda sana kwa hiyo ni kama kamuweka mkononi,labda ajaribu kuanza kuwa dismainder awe bize na mambo yake amwache kama alivyo,hiyo ya kumpigisha stori aipige chini,akimuuliza kitu ajibu kwa ufupi tu,ajaribu kama miezi miwili hivi afu aone matokeo,kama mambo yateandelea hivyo hivyo basi ajue kuwa kweli hapo hakupendwa,ila akiacha ajue kuwa lifestyle yake inamfanya mke amdharau na kumfanya amfanyie lolote kwa kuamini kuwa hakuna side effect ya jinsi anavyomtendea mume wake.
copy J Mbungi.
Naomba msaada wa kuinusuru ndoa yangu(Naona ipo ukingoni...
Mimi ni baba mwenye watoto wawili(7 & 4) Nipo kwenye ndoa mwaka wa 8 sasa...
Nimeanza kupata matatizo na mke wangu yapata mwaka sasa kuhusiana na TENDO Zima la mchezo wa kitandani..
Kwakweli nimeshindwa hata kumuelewa,ANANIKATALIA kufanya mapenzi kwa visingizio kibao(Mara anasikia usingiz sana,mara hajisikii,mara amechoka sana)..Yaani ndani ya huu mwaka sijawahi kufanya naye mapenzi kwa ridhaa yake bila kumlazimisha kwanguvu)..
Yaani imefika wakati nika amua kumsaidia kazi zoote za nyumbani(Kufua kupika na kadhalika) Ili mradi akifika nyumbani asifanye kazi yoyote ya kumchosha..LAIKINI haija saidia kitu..
ANASEMA HANA HAMU KABISA HATA MWAKA UNAWEZA KUPITA BILA KUFANYA MAPENZI(WALA HAONI TAABU)..
Mwanzoni alikuwa akifanya kazi mjini(Akiondoka alfajiri na kurudi Jioni sana)..Sasa nimemfungulia salon hapa hapa maeneo ya nyumbani(Yote hiyo ni kujaribu kumpunguzia uchovu anosema ndio unamfanya akose HAMU.. Lakini haijasaidia kitu..
Kusema ukweli hii hali imenichanganya sana..( Mimi si mtu wa kutoka wala sijawazia jambo hilo) Lakini nitaishije bila kupata haki yangu ya ndoa??? Na mke ninaye???!
JAMANI NAOMBA USHAURI HATA KAMA NI WA KITABIBU : MAAANA HATA KAMA ANATEMBEA NA MTU MWINGINE(HATEMBEI NAYE KILA SIKU) LAZIMA KUNA SABABU ZA KIAFYA ZINAZOMFANYA HAKOSE HAMU...
aje atujibu hapa............
kwa mwanamke mwenye nyege kabisaa huwez kulala na mwanaume mwaka mzima kama kaka na dada..............
hapa pana atatizo zaid ya tunavyodhani............huyu kaka kakosa sifa moja ya kiume
Hiii ndo unajua kwamba dini ya kiislam ni ya haki kwa mfano hilo tatizo lako lingekua lishakwisha pindi ungeengeza mke
...Jaribu kubuni maeneo mapya ya kufanyia mapenzi kama vile kwenye banda la kuku.... lakini zingatia watoto wasione,...
Ahsante Mpendwa kwa "concern" yako..(Mke wangu anaonekana ameridhika na hii hali...Tena katika maongezi yake huwa anawakandia wanaume kiasi kwamba namshangaa sana..Anadriki kusema wanaume wote ni wanyama tu..Huwa na muuliza kama kuna jambo baya amewahi kufanyiwa na mwanaume ajaribu kusahau,lakini huwa anachukulia matukio ya unyanyasaji wa wanawake wengine kama la kwake kabisaa(Pengine ili nalo limemuathiri kisaikologia))