Ndoa yangu ipo mashakani nisaidieni

Ndoa yangu ipo mashakani nisaidieni

Joined
Sep 27, 2013
Posts
8
Reaction score
6
Mimi ni dada(mama) nipo kwenye ndoa yapata mwaka sasa,na nina mtoto wa mwaka,tatizo langu kwa kweli sina hamu kabisaaa ya tendo la ndoa,yaan mume wangu akkihitaji yaani naona kama sijui mzigo gani.kwa sababu hata tukianza kujamiiana mwenzangu anahangaika japo kunihamasisha,lakini bado nachelewa sana kurespond,mimi sielewi nini tatizo kwangu,sasa naona ntampa sababu mume ya kunikimbia kwakweli, naomba msaada wana jf
 
na atakukimbia kweli kweli sio kidogo! jitahidi kula vyakula vya protein kwa wingi! pia hakikisha mind yako imerelax na mambo ya dunia hii ..usiwe na stress...kuwa huru jiachie!
au humpendi tena?
 
Huwa unakuwepo kifikra kwaajili ya hilo tendo la ndoa?
Unampenda mumeo?
 
Hii dunia hii... Hebu kwanza toa ratiba yako ya siku nzima ipoje.
 
knowing your enermy is half way victory ,sasa kwa sababu umeshajua unavunja ndoa yako mwenyewe wewe ndio adui wa ndoa yako mwenyewe
labda shem alibambikiwa ! au anataka kila siku au ana jini mahaba
 
umeomba ushauri muda mwafaka kabla mambo hayajafika pabaya, jitahidi kumudu majukumu yako km mama na mke!
 
Mimi ni dada(mama) nipo kwenye ndoa yapata mwaka sasa,na nina mtoto wa mwaka,tatizo langu kwa kweli sina hamu kabisaaa ya tendo la ndoa,yaan mume wangu akkihitaji yaani naona kama sijui mzigo gani.kwa sababu hata tukianza kujamiiana mwenzangu anahangaika japo kunihamasisha,lakini bado nachelewa sana kurespond,mimi sielewi nini tatizo kwangu,sasa naona ntampa sababu mume ya kunikimbia kwakweli, naomba msaada wana jf


Kama unashindwa japo kusema unampenda hapa jukwaani katika maneno yoote uliyoweka hapa then uliolewa kupata heshima na mtoto ndio huyo basi tulia na yeye ampate wanayeendana ndio utajua ndoa ni madhabahuni au huku field!!!!!

Huna mapenzi wewe wala feelings kwake!!!!
 
unafanya kazi nyingi?
nyumba ina watu wengi?
chumba kimebanana? joto? hewa hakuna?

unaishi karibu na bar yenye kelele?kituo cha bodaboda,daladala?

kuna vitu viingi mno vinavyoweza disturb hamu ya sex

umewahi tumia madawa ya uzazi?
 
kubwa na la msingi UNAMPENDA MUMEO?? isjekuwa unamuona kama kaka yako..kunamtu mwngne umemuhamishia hsia?
 
Hii dunia hii... Hebu kwanza toa ratiba yako ya siku nzima ipoje.

Naamka,tunajiandaa na mume wangu,then kazini,na kazini sio busy kihiiivo,then home,napika hiyo jioni/usiku then nahakikisha shughuli zote zimemalizika then kulala full stop
 
Mhh kazi kweli kweli......ila unamtafutia mumoe sababu ya kutafta nyumba ndogo.......

Mind yako huwa somewhere wkt zoez zima linaendelea
 
Mimi ni dada(mama) nipo kwenye ndoa yapata mwaka sasa,na nina mtoto wa mwaka,tatizo langu kwa kweli sina hamu kabisaaa ya tendo la ndoa,yaan mume wangu akkihitaji yaani naona kama sijui mzigo gani.kwa sababu hata tukianza kujamiiana mwenzangu anahangaika japo kunihamasisha,lakini bado nachelewa sana kurespond,mimi sielewi nini tatizo kwangu,sasa naona ntampa sababu mume ya kunikimbia kwakweli, naomba msaada wana jf
kabla sijakushauri ngoja nikuuliz¿ je unaota ndoto za mapenzi na mtu usiyemkumbuka alafu anakufikisha kuleleni? ukimwona mmeo unamchukia kama ndiyo tatafuta kanisa lolote la wakole wa ukweli watakuombea majini mahaba yataondoka utafurahia ndoa je unampenda huyo mume au ulifunga ndoa ili mradi uelewe ? una mti mwingine pembeni kama ndiyo acha.mwisho pengine ni uchovu wa kazi hilo mbaweza jadiliana na mwenza wako pia jua mapenzi yanahitaj mandaliz kisaikolojia akuandae vizur mwambie ni wapi ukishikwa unasisimuka sana ili ukulainishe ndo akugegede yani ulainike sanaa huku ukihemea juu juu then unamwambia amalize pia tafuta vitabu kama msinyimane vitakuongezea maarifa sawa dada
 
unafanya kazi nyingi?
nyumba ina watu wengi?
chumba kimebanana? joto? hewa hakuna?

unaishi karibu na bar yenye kelele?kituo cha bodaboda,daladala?

kuna vitu viingi mno vinavyoweza disturb hamu ya sex

umewahi tumia madawa ya uzazi?
Hapana jibu la yote,uzazi wa mpango natumia mbegu za mnyonyo tu,hayo masindano,sijui madawa wala vijiti sijawahi
 
Naamka,tunajiandaa na mume wangu,then kazini,na kazini sio busy kihiiivo,then home,napika hiyo jioni/usiku then nahakikisha shughuli zote zimemalizika then kulala full stop
vipi kuhusu mahusiano yenu kwa ujumla? Namaanisha ugomvi, furaha, huzuni... Etc
 
Back
Top Bottom