Ndoa yangu ipo ICU !dah

Mkuu a marriage is a shield against all odds...
Afu isitoshe huyu ni mkewangu sio mwanamke tu
Usiwe kigang'anizi. Wanawake (mkeo) mapenzi yao ni all about feelings. Zikikata hata umfanyeje hawezi kuinjoi.

We achana naye mwache aishi maisha yake. Kwanini uwe kikwazo kwa maisha ya mwenzio eti kisa ndoa?;?!
Kakukimbia Dar, ukamfata Moro, why this?

Watoto wappo na utawakuta.


Ukiendelea kugang'ania utayiliwa sumu ufe umpishee.

Kusema kweli, we ni bonge la boya. Mkeo analetwa na gari 15mins unawachungulia tu?;?! Tena usiku? Wamelewa? Na wewe mkeo alijua haupo?
Kwani vioo vya gari bei gani?!?!!

Zuzu saaana.

Mkeo eti anakwambia usiwe unachunguza vitu vyake nawe unasema samahani, kenge kweli. Vittu vyake vyenu??

Yaani nna hasira utadhani me ndo babako.

Kulialia ni ujingaa.

BAADA YA KUSOMA POST HII. MPIGIE/MWAMBIE HUYO MWANAMKE KUANZIA LEO SIO MKEO, NI MZAZI MWENZIO.

NAJUA UNAOGOPA KISA ULIMZOEA, ULIVOZOEA KUWA NAYE, NDIVYO UTAKAVYOZOEA UPWEKE.

NB: BAADA YA KUACHANA NAE, USIKURUPUKE KUJIINGIZA KWENYE MAHUSIANO MAPYA WALA KUNYWA POMBE, KOMAAA NA MAUMIVU MPAKA UHISI KUFA, HUO NDO UANAUME
 
Sijasoma post yako ila nashauri tu Ikigoma sana usilazimishe.
 
Utaishia kuwa mtu wa mapenzi na yatakuumiza sana, huyo mkeo inaonekana hizo tabia alikuwa nazo kabla hata hamjaoana. Nakushauri uanze maisha yako bila yeye
 
Kweli mkuu mateso Kama hayo kwenye ndoa ndio yanaua wanaume
Dah kweli mchumba umeona majanga tunayopitia sasa, jitu unalipenda vibaya mno na kulijali ila ndio sikio la kufa kashapigwa miti na mluguru kamsahau mume!
 
I LOVE HARD KNOCKS COUNSELING!!

yes !!
ANAOGOPA KUUMIA KUMUACHA KANA KWAMBA ALIVYO NAE HAUMII!!

PSYUUUUU ZAKE!!
 
Narcissist ndio wana hii tabia, emotional controllers! Anakukosea kisha anakugeuzia lawama kwamba wewe ndio chanzo cha kumkosea! Wengine Ukiwazidi pointi huenda mbali na kuomba msamaha ili wakurudishe back to square one waendelee kukutesa!
 
Dah, umeandika kwa uchungu sana kaka, pole sana.

Ila hyo stage aliofikia mkeo sio rahisi kubadilika, mtaweka vikao wee lkn hatasikiliza la mtu. Cha muhimu mpe anachotaka. Mpe uhuru anaoutaka ili nawewe upate amani ya moyo na ufanye yako.
 
Utaishia kuwa mtu wa mapenzi na yatakuumiza sana, huyo mkeo inaonekana hizo tabia alikuwa nazo kabla hata hamjaoana. Nakushauri uanze maisha yako bila yeye
Kweli kabisa, mwanamke kuwa malaya ni asili,,aheri umuache tu maana aliosemaga ule msemo wa wanawake kama maharage ya mbeya alikuwa na akili timamu sana!
 
Mpumbavu sana huyo mwanamke
 
Bro you're in deep shit...i can feel ya pains.

Mwanamke akishakwambia sikutaki/nataka talaka they always mean it...maana huwa inatoka moyoni.

Kitu kimoja wanawake wanakosea, huwa wanaweza kabisa kuingia katika ndoa/mahusiano na mtu asiyempenda wakidhani watajifunza kupenda wakiwa ndani...

Sasa huenda mkeo ni kati ya wanawake wenye mtazamo huo, alianzisha mahusiano nawe akiwa hana uhakika kama anakupenda na akiamini atajifunza kukupenda...

We all know, mtu ajifunzaye ijapofika wakati wa mitihani huweza kufaulu ama kufeli, na katika situation yenu mtihani ulikuwa huo umbali. Mkeo kafeli na rangi zake sasa umeziona.

So brother, all you can do now is to just let her be, get your kids na uondoke nao wala asijue ulioenda nao...

Mtu asiye na upendo na mumewe/mkewe na akisema anawapenda watoto huyo ni mnafiki. Huwezi kulipenda boga ukachukia uale...




.
 
Baadhi ya wanaume wanazaliwa wako waaminifu kabisaa lakini kutokana na matendo ya wanawake ndo wanaamua kuanza umalaya sasa .....Pole sana kakaangu kwa kifupi huyo mwanamke ameshakengeuka akili zitamrudia mkisha achana!!!!
Ndio kitachofata halafu itakuwa too late!
 
Dah kweli mchumba umeona majanga tunayopitia sasa, jitu unalipenda vibaya mno na kulijali ila ndio sikio la kufa kashapigwa miti na mluguru kamsahau mume!
Kweli mpenzi mnapitia mengi halafu nyie mnajua kuvumilia shida hizi bila hata kutoa chozi ila mnaumia ndani kwa ndani..
Huko nje bidada kashakolezwa Na hisia kwa mume zimeisha. Amuache tu
 

Hivyo vya kujipimia ngoma ni kwa ajili ya kumpimia huyo mchepuko wa kiume aliyenaye. Think outside the box. Kwa nini kila mara unakubali majibu anayokupa.... Angetaka kujua afya yake angekwenda kwa siri kujipima kokote anapoona panafaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…