RESILIENT KATO
JF-Expert Member
- Aug 21, 2024
- 3,663
- 6,906
Cycle ya mapenzi ikifika kufa kwake usijaribu hasta kidogo kuipigania!!ukiipigania utaambulia maneno yenye kuumiza toka kwake!!***UPDATES
Hellow team
Hii ni updates kuhusiana na post yangu ya tarehe 19/10/18
8 years imepita tangu yaliyonisibu.....
well kwa ambao hawakuwepo au kutojua kwanza a praying soul is all one needs to grow further......
Kwanza kipind kile kwa kweli ndoa ilisumbua jamani kutokana na vitu main viwili : kwanza huyu binti alikuwa hajatulia kabisa ukizingatia umri( tulifanya sherehe kila kitu o her pressure and i was an OKAY guy sikumkatalia kitu ) issue arose alipohamishwa kikaz na kuongezewa mshahara ...(kipato zaid yangu ni ilikuwa issue 2) maana i was paid well mkoa A ..alivyohamishwa mkoa B kipindi hiki tuna mtoto wa pili mchanga am a family guy and believe in the ideology ya kukaa na familia kwa malez sawa ya watoto .....nilipiga kazi chini mkoa A kuhamia mkoa B kwa half what i was earning just to be close nayeye( hapa zamani sikuweka clarity maana kwanza kaz ya awali ilikuwa nanilia mda mwingi sana kufanya mambo yangu binafsi na pili kutokana na restructuring nilikuwa nahamishwa kitengo kwahiyo ile move yangu ilikuwa justified) hili tukio lilimkwaza mwenzangu maana nilienda mkoa B ila ikawa kama nambana
maana kule alikuwa ameshakaa kama miez 6 before sijahamia ..ugomvi ulikuwa haukauki na matukio etc.....
WHAT I DID KIPINDI HIKO.............................(Mrejesho maana nilikuwa stressed nikawaacha bila mrejeshoo)
HATUA NILIZOCHUKUA KU MOVE ON
-Kipind hiki nilikuwa mtu wa kusali sana...( Familia nyumban walisikia my pain, wakanipiga stop order moja kali....niamke na kwenda kupanda basi mara moja kurejea nyumbani,mind you kipind hiki sasa ndo vimbwenga vilizid kwa mwenzangu na nilikuwa mnyonge to the maximum, walihisi ningempiga tukio niishie jela..ukweli nilipima mengi sana na ukisali jaman unakuwa na hofu ya Mungu...hamuwez amini kati ya mishe zake zote alikujaga kuniomba msamaha maana alikuwa anajua anatafuta kuuawa sijui ,,,,
-akazaa na huyo jamaa....akaja kutapeliwa na huyo jamaa wakaachana akapata mwingine akachumbiwa tena hajaolewa ila ni mwendo wa matukio nasikia huko alafu watu wake wote anaowapata naskia ugomvi huko kisa ni mimi na alivyonifanyiaga..mkoa B mdogo sana aliekuwepo word travels and wanajuana watu wengi
- niliacha kila kitu na kusepa sikumpa taarifa..nikarejea nyumban nikaanza maisha mapaya mwenyew..sikuwasiliana na wanangu kama miez 6 mingine ....alianza mchakato wa talaka...tukafanikiwa 2019 tukapata talaka yetu akiwa mkoa B
- mwaka huo huo alipata mimba ya jamaa mmoja huko mkoa B ,,,,,kwa ma ahadi ya kumuoa nadhani maana sikujua mi taarifa walikuwa wananipa wifi zake...
-Binafsi nilirejea nikarud kule kazini nilipo resign walinipokea tena na kuniingiza department nyingine...
-maisha yakaanza upya
-Mungu alizid nibariki ,,,nikapata shavu sehem nyingine nzuri zaid(enzi za jembe)basi life style ikabadilika..
Currently
-wanangu wanakujaga pasaka na xmas....
-mwaka jana niliwakatia wote watatu ( na uyo mwanae aliyezalishwa huko, kutokana walitaka kuja nae wanangu )maana wakijaga dar wana cheza sana magemu huku na kuwalisha mabata mno nikawakatia ndege wote na dad wa kazi huwa wanasafiri nae ..
- ye anakujaga kikaz tunaonana mara moja moja ila sijawahi hata kumkula ase...niliapa kama tukibaki wanadamu wawili duniani basi kizaz cha wanadamu kitakuwa mwisho..sitomgusa huyu kiumbe
-ananiitaga hotelin napita kumpaga hi nikiwa na nafasi
-nasomesha wanangu TU ada direct nalipa moja kwa moja...nikitaka kuongea nao huwa wanatumia simu ya bibi yao kule mkoa B au mama yao mara moja moja
-nashukuru maisha yamebadilika mno na we co parent vizur na sina hard feelings kwakwel maana life turned out extremely well kwangu kuliko yeye so far....
-yani nikikaa nae namuona anajutia sana meni ila ndo vile kana nature ya ukiburi flan basi unakuta mi mkimya namuitikiaga tu ase sina mengi...
wakuu ntakaribisha maswali maana natoa mrejesho kwa mafungu na juu juu sana.....
Ukimya na ku move on the best way on earth ya ku deal na arrogant woman aliekuaibisha!!
Ndoa sio kaburi la kudumu ni majaribio ya kuishi pamoja,ikishindikana achana nayo Kwa amani!!!
Nadhani!