Ndoa yangu ipo ICU !dah

Ndoa yangu ipo ICU !dah

***UPDATES

Hellow team

Hii ni updates kuhusiana na post yangu ya tarehe 19/10/18

8 years imepita tangu yaliyonisibu.....

well kwa ambao hawakuwepo au kutojua kwanza a praying soul is all one needs to grow further......

Kwanza kipind kile kwa kweli ndoa ilisumbua jamani kutokana na vitu main viwili : kwanza huyu binti alikuwa hajatulia kabisa ukizingatia umri( tulifanya sherehe kila kitu o her pressure and i was an OKAY guy sikumkatalia kitu ) issue arose alipohamishwa kikaz na kuongezewa mshahara ...(kipato zaid yangu ni ilikuwa issue 2) maana i was paid well mkoa A ..alivyohamishwa mkoa B kipindi hiki tuna mtoto wa pili mchanga am a family guy and believe in the ideology ya kukaa na familia kwa malez sawa ya watoto .....nilipiga kazi chini mkoa A kuhamia mkoa B kwa half what i was earning just to be close nayeye( hapa zamani sikuweka clarity maana kwanza kaz ya awali ilikuwa nanilia mda mwingi sana kufanya mambo yangu binafsi na pili kutokana na restructuring nilikuwa nahamishwa kitengo kwahiyo ile move yangu ilikuwa justified) hili tukio lilimkwaza mwenzangu maana nilienda mkoa B ila ikawa kama nambana
maana kule alikuwa ameshakaa kama miez 6 before sijahamia ..ugomvi ulikuwa haukauki na matukio etc.....


WHAT I DID KIPINDI HIKO.............................(Mrejesho maana nilikuwa stressed nikawaacha bila mrejeshoo)
HATUA NILIZOCHUKUA KU MOVE ON
-Kipind hiki nilikuwa mtu wa kusali sana...( Familia nyumban walisikia my pain, wakanipiga stop order moja kali....niamke na kwenda kupanda basi mara moja kurejea nyumbani,mind you kipind hiki sasa ndo vimbwenga vilizid kwa mwenzangu na nilikuwa mnyonge to the maximum, walihisi ningempiga tukio niishie jela..ukweli nilipima mengi sana na ukisali jaman unakuwa na hofu ya Mungu...hamuwez amini kati ya mishe zake zote alikujaga kuniomba msamaha maana alikuwa anajua anatafuta kuuawa sijui ,,,,
  • niliacha kila kitu na kusepa sikumpa taarifa..nikarejea nyumban nikaanza maisha mapaya mwenyew..sikuwasiliana na wanangu kama miez 6 mingine ....alianza mchakato wa talaka...tukafanikiwa 2019 tukapata talaka yetu akiwa mkoa B
  • mwaka huo huo alipata mimba ya jamaa mmoja huko mkoa B ,,,,,kwa ma ahadi ya kumuoa nadhani maana sikujua mi taarifa walikuwa wananipa wifi zake...
-akazaa na huyo jamaa....akaja kutapeliwa na huyo jamaa wakaachana akapata mwingine akachumbiwa tena hajaolewa ila ni mwendo wa matukio nasikia huko alafu watu wake wote anaowapata naskia ugomvi huko kisa ni mimi na alivyonifanyiaga..mkoa B mdogo sana aliekuwepo word travels and wanajuana watu wengi
-Binafsi nilirejea nikarud kule kazini nilipo resign walinipokea tena na kuniingiza department nyingine...
-maisha yakaanza upya
-Mungu alizid nibariki ,,,nikapata shavu sehem nyingine nzuri zaid(enzi za jembe)basi life style ikabadilika..


Currently
-wanangu wanakujaga pasaka na xmas....
-mwaka jana niliwakatia wote watatu ( na uyo mwanae aliyezalishwa huko, kutokana walitaka kuja nae wanangu )maana wakijaga dar wana cheza sana magemu huku na kuwalisha mabata mno nikawakatia ndege wote na dad wa kazi huwa wanasafiri nae ..
- ye anakujaga kikaz tunaonana mara moja moja ila sijawahi hata kumkula ase...niliapa kama tukibaki wanadamu wawili duniani basi kizaz cha wanadamu kitakuwa mwisho..sitomgusa huyu kiumbe
-ananiitaga hotelin napita kumpaga hi nikiwa na nafasi
-nasomesha wanangu TU ada direct nalipa moja kwa moja...nikitaka kuongea nao huwa wanatumia simu ya bibi yao kule mkoa B au mama yao mara moja moja
-nashukuru maisha yamebadilika mno na we co parent vizur na sina hard feelings kwakwel maana life turned out extremely well kwangu kuliko yeye so far....
-yani nikikaa nae namuona anajutia sana meni ila ndo vile kana nature ya ukiburi flan basi unakuta mi mkimya namuitikiaga tu ase sina mengi...

wakuu ntakaribisha maswali maana natoa mrejesho kwa mafungu na juu juu sana.....
Cycle ya mapenzi ikifika kufa kwake usijaribu hasta kidogo kuipigania!!ukiipigania utaambulia maneno yenye kuumiza toka kwake!!

Ukimya na ku move on the best way on earth ya ku deal na arrogant woman aliekuaibisha!!

Ndoa sio kaburi la kudumu ni majaribio ya kuishi pamoja,ikishindikana achana nayo Kwa amani!!!

Nadhani!
 
Binafsi nipo kwenye ndoa takribani miaka mine na tumebarikiwa watoto wawili. Changamoto zilianza mke alipohamishwa kikazi mwaka juzi kutoka Dar kwenda Morogoro.

Kutokana na ukaribu nikawa najituma sana kutwa kwenda halafu isitoshe huyu mtoto wa pili alikua mwaka mmoja. Umbali ukasababisha mimi niwe mnywaji kidogo kuondoa upweke kuliko niwe nachepuka. Nikawa napunguza safari za kwenda weekend na yeye akazidisha mahusiano ya simu na mfanyakazi mwenzie(sijui kama walitembea ila nilijua wana uhusiano baada ya kunasa chat maana ilifika kipindi anajua weekend nalala ndo anakua busy kwa simu wakiongea na huyo mpaka nilivyombana na chats aka admit wanamahusiano via simu na huyo mtu yupo Dar).

Siku moja nikaenda Moro ghafla nikakuta anachat nae bado na isitoshe kuna mwingine wa Moro; nilimdunda hatari. Tukasuluhishwa na familia baada ya hapo kila tukikwaruzana kidogo anakimbilia kusisitiza tuachane yaani ndo ukawa wimbo.

Sasa nikaona kuondoa usumbufu na yeye kuhamia Dar aligoma kwa kusema maisha nafuu Moro nikatafuta kazi Moro nikahamia(nilipata kazi half the pay ya Dar) ila nilimweleza la msingi tuwe pamoja tuweze nusuru ndoa.

Sasa tangu tumeamua kukaa pamoja mambo hayajawa mepesi. Mimi na-cover basic needs kama kawaida yangu na napambana na biashara ila mwenzangu amekuwa amepotea kabisa kimapenzi. Tangu mwaka huu tunaweza kuwa tumesex si zaida ya mara 15 am sure maana mwenzangu hayupo kabisa anaona nimembana sana.

Kila kitu anatupia lawama nivomdundaga na matatizo ya nyuma. Nimejitahid kumpa space sana ila naona kitu kidogo anakimbilia kutaka talaka.

Sasa kilichonipelekea kuandika uzi huu ni majuzi nilimwambia naenda Dar maana alikua yupo moody sikujua ni sababu yangu au lah. Nikamwambia tu nina safari ya Dar week nzima; aisee alifurahii sana.

Safari ilikuwa ya siku mbili nikarejea jioni nikamtafuta kwenye simu akawa hapokei alivyotoka kibaruani. Jirani yetu ni mfanyakaz mwenzie akarudi tukapishana nikamuuliza vipi shoga yako akasema tumeachana amesema anapita sokoni mara moja (nikaona very rare kutorudi na shoga yake).

Wife akanitumia meseji akasema ametoka outing na shoga zake. Nikasema fine mimi nikanyuti nje mtaa wa pili kuona nani angerudi nae.

Kuna gari ikaja ikapaki kwa jirani ikakaa dakika kama 15 akashuka halafu gari ikaondoka. Alivyoingia ndani nami nikamfwata kwa nyuma
akashtuka sana. Nikamuuliza nani akasema rafiki yake tu walienda pata wine.

Nikamwambia naomba uwe makini tu kuna maradhi. Kama tumefikia huko naomba basi uwe na amani ufanye yako na si hapa kwangu na isitoshe tuna watoto wadogo usilete jazba kwenye haya mambo(maana tulivoingia ndani akaanza kuwaka kama simuamini alivyosema yupo outing nikamweleza outing sio issue ishu umetoka huko mkaweka kambi kwenye gari mie nawaona tu mnapiga story hamkumaliza huko outing)

Nimegundua hana mapenz kwa sasa na nimevumilia sana vituko vyake ila nawaza niwashirikishe wazazi wake na wadhamini wetu nataka niwachukue wanangu nirudi Dar nimpe nafasi tu.

Mkewangu ananiuma sana kila nikikumbuka nilivyompata, mahusiano yetu nk. Yeye ndo alikuwa kipaumbele kunitia sana moyo pale nilipokwama au kusita jambo(hii naandika kwa majonzi sana)

Umri wake haujazidi 30 bado na kuna muda naamini alingia ndoani akiwa mdogo sijui kuna mambo hajafanya? Ila mimi ni mtu wa kuwa huru sana namwambiaga nishirikishe nikupe kibali sina hiyana wala nini cha msingi ni imani tu kwamba hatavuka mipaka.

Suala la uwezo sijalitilia uzito maana yeye binafsi ana kazi na mshahara wake kwakweli huwa simgusiagi hata kidogo anafanya atakavyo. Mimi nina nyumba Dar ndo nimepangisha kuja kuishi naye huku. In short majukumu yangu nayajua na nayamudu.

Suala la kitandani lilikuwa zuri tu sote tunafurahi nk. Mwaka huu lilianza kususasua penzi la kubembeleza yeye ata enjoy ila mpaka nimemuandaa nimemconvince mbona shughuli.

Kwa upande wangu sio mnywaji sana na anajua. Nikinywa tu wine nikiwa nae ntajitahid kumueleza kiu yangu juu ya mambo ambayo hanitimizii hapo nae atarukia "si uniache"bas mkibishana atasema mlevi tatizo.

Weekend ndo tunakaa na kujadili mambo ila mara chache sana maana katikati ya wiki akirudi home yeye kachoka ni kula kulala tu.

Mimi ni mwanadamu pia naweza kuwa na mapungufuyangu ila all i know kuachilia mbali kila jambo nimekuwa nikijitahid kuomba msamaha ninapokosea nk.

Ndugu zangu ndo wanaona nimekamatwa kwelikweli ila nakuwa najitahid niishi ki maadili maana mke mwenyewe mmoja.

Nimesali sana mpaka nimeona kama ni watoto hata nikisema nimpotezee nitahitaji kuwaona wanangu ambapo itapelekea nimwone labda na yeye kitu ambacho mda mwingi kinaniwia ngumu kuvunja familia. Ila nikisema nibebe watoto(namjua kwa sasa majibu yake atasema nenda nao tu la msingi tuachaneee nk) nitabeba ila nataka niombe nisingependa kusikia pua yake na wakwe ndo watakua gia ya kuwaona. Ninataka full right ya wanangu nina uwezo wa kuwalea vizuri. Yani naumia sana ila naona ndo best option kwa sasa.

Naomba ushauri wenu wakuu
Tafuta mchepuko acha ujinga wewe
 
Ac
Binafsi nipo kwenye ndoa takribani miaka mine na tumebarikiwa watoto wawili. Changamoto zilianza mke alipohamishwa kikazi mwaka juzi kutoka Dar kwenda Morogoro.

Kutokana na ukaribu nikawa najituma sana kutwa kwenda halafu isitoshe huyu mtoto wa pili alikua mwaka mmoja. Umbali ukasababisha mimi niwe mnywaji kidogo kuondoa upweke kuliko niwe nachepuka. Nikawa napunguza safari za kwenda weekend na yeye akazidisha mahusiano ya simu na mfanyakazi mwenzie(sijui kama walitembea ila nilijua wana uhusiano baada ya kunasa chat maana ilifika kipindi anajua weekend nalala ndo anakua busy kwa simu wakiongea na huyo mpaka nilivyombana na chats aka admit wanamahusiano via simu na huyo mtu yupo Dar).

Siku moja nikaenda Moro ghafla nikakuta anachat nae bado na isitoshe kuna mwingine wa Moro; nilimdunda hatari. Tukasuluhishwa na familia baada ya hapo kila tukikwaruzana kidogo anakimbilia kusisitiza tuachane yaani ndo ukawa wimbo.

Sasa nikaona kuondoa usumbufu na yeye kuhamia Dar aligoma kwa kusema maisha nafuu Moro nikatafuta kazi Moro nikahamia(nilipata kazi half the pay ya Dar) ila nilimweleza la msingi tuwe pamoja tuweze nusuru ndoa.

Sasa tangu tumeamua kukaa pamoja mambo hayajawa mepesi. Mimi na-cover basic needs kama kawaida yangu na napambana na biashara ila mwenzangu amekuwa amepotea kabisa kimapenzi. Tangu mwaka huu tunaweza kuwa tumesex si zaida ya mara 15 am sure maana mwenzangu hayupo kabisa anaona nimembana sana.

Kila kitu anatupia lawama nivomdundaga na matatizo ya nyuma. Nimejitahid kumpa space sana ila naona kitu kidogo anakimbilia kutaka talaka.

Sasa kilichonipelekea kuandika uzi huu ni majuzi nilimwambia naenda Dar maana alikua yupo moody sikujua ni sababu yangu au lah. Nikamwambia tu nina safari ya Dar week nzima; aisee alifurahii sana.

Safari ilikuwa ya siku mbili nikarejea jioni nikamtafuta kwenye simu akawa hapokei alivyotoka kibaruani. Jirani yetu ni mfanyakaz mwenzie akarudi tukapishana nikamuuliza vipi shoga yako akasema tumeachana amesema anapita sokoni mara moja (nikaona very rare kutorudi na shoga yake).

Wife akanitumia meseji akasema ametoka outing na shoga zake. Nikasema fine mimi nikanyuti nje mtaa wa pili kuona nani angerudi nae.

Kuna gari ikaja ikapaki kwa jirani ikakaa dakika kama 15 akashuka halafu gari ikaondoka. Alivyoingia ndani nami nikamfwata kwa nyuma
akashtuka sana. Nikamuuliza nani akasema rafiki yake tu walienda pata wine.

Nikamwambia naomba uwe makini tu kuna maradhi. Kama tumefikia huko naomba basi uwe na amani ufanye yako na si hapa kwangu na isitoshe tuna watoto wadogo usilete jazba kwenye haya mambo(maana tulivoingia ndani akaanza kuwaka kama simuamini alivyosema yupo outing nikamweleza outing sio issue ishu umetoka huko mkaweka kambi kwenye gari mie nawaona tu mnapiga story hamkumaliza huko outing)

Nimegundua hana mapenz kwa sasa na nimevumilia sana vituko vyake ila nawaza niwashirikishe wazazi wake na wadhamini wetu nataka niwachukue wanangu nirudi Dar nimpe nafasi tu.

Mkewangu ananiuma sana kila nikikumbuka nilivyompata, mahusiano yetu nk. Yeye ndo alikuwa kipaumbele kunitia sana moyo pale nilipokwama au kusita jambo(hii naandika kwa majonzi sana)

Umri wake haujazidi 30 bado na kuna muda naamini alingia ndoani akiwa mdogo sijui kuna mambo hajafanya? Ila mimi ni mtu wa kuwa huru sana namwambiaga nishirikishe nikupe kibali sina hiyana wala nini cha msingi ni imani tu kwamba hatavuka mipaka.

Suala la uwezo sijalitilia uzito maana yeye binafsi ana kazi na mshahara wake kwakweli huwa simgusiagi hata kidogo anafanya atakavyo. Mimi nina nyumba Dar ndo nimepangisha kuja kuishi naye huku. In short majukumu yangu nayajua na nayamudu.

Suala la kitandani lilikuwa zuri tu sote tunafurahi nk. Mwaka huu lilianza kususasua penzi la kubembeleza yeye ata enjoy ila mpaka nimemuandaa nimemconvince mbona shughuli.

Kwa upande wangu sio mnywaji sana na anajua. Nikinywa tu wine nikiwa nae ntajitahid kumueleza kiu yangu juu ya mambo ambayo hanitimizii hapo nae atarukia "si uniache"bas mkibishana atasema mlevi tatizo.

Weekend ndo tunakaa na kujadili mambo ila mara chache sana maana katikati ya wiki akirudi home yeye kachoka ni kula kulala tu.

Mimi ni mwanadamu pia naweza kuwa na mapungufuyangu ila all i know kuachilia mbali kila jambo nimekuwa nikijitahid kuomba msamaha ninapokosea nk.

Ndugu zangu ndo wanaona nimekamatwa kwelikweli ila nakuwa najitahid niishi ki maadili maana mke mwenyewe mmoja.

Nimesali sana mpaka nimeona kama ni watoto hata nikisema nimpotezee nitahitaji kuwaona wanangu ambapo itapelekea nimwone labda na yeye kitu ambacho mda mwingi kinaniwia ngumu kuvunja familia. Ila nikisema nibebe watoto(namjua kwa sasa majibu yake atasema nenda nao tu la msingi tuachaneee nk) nitabeba ila nataka niombe nisingependa kusikia pua yake na wakwe ndo watakua gia ya kuwaona. Ninataka full right ya wanangu nina uwezo wa kuwalea vizuri. Yani naumia sana ila naona ndo best option kwa sasa.

Naomba ushauri wenu wakuu
Achana na huyo malaya wewe nice guy ,hapa unazunguka zunguka il rafiki sina ushauri wa kukupa zaidi ya kusema achana n huyo malaya .

Watoto kama ni wako nenda uendako zingatia matumizi maana ukiwbeba ndiyo chanzo cha kuanza kumrudisha huyo malaya .

Pole inauma ,kwa ushauri wa mambo ya kivita kuhusu ndoa njoo Pm
 
Ac
Binafsi nipo kwenye ndoa takribani miaka mine na tumebarikiwa watoto wawili. Changamoto zilianza mke alipohamishwa kikazi mwaka juzi kutoka Dar kwenda Morogoro.

Kutokana na ukaribu nikawa najituma sana kutwa kwenda halafu isitoshe huyu mtoto wa pili alikua mwaka mmoja. Umbali ukasababisha mimi niwe mnywaji kidogo kuondoa upweke kuliko niwe nachepuka. Nikawa napunguza safari za kwenda weekend na yeye akazidisha mahusiano ya simu na mfanyakazi mwenzie(sijui kama walitembea ila nilijua wana uhusiano baada ya kunasa chat maana ilifika kipindi anajua weekend nalala ndo anakua busy kwa simu wakiongea na huyo mpaka nilivyombana na chats aka admit wanamahusiano via simu na huyo mtu yupo Dar).

Siku moja nikaenda Moro ghafla nikakuta anachat nae bado na isitoshe kuna mwingine wa Moro; nilimdunda hatari. Tukasuluhishwa na familia baada ya hapo kila tukikwaruzana kidogo anakimbilia kusisitiza tuachane yaani ndo ukawa wimbo.

Sasa nikaona kuondoa usumbufu na yeye kuhamia Dar aligoma kwa kusema maisha nafuu Moro nikatafuta kazi Moro nikahamia(nilipata kazi half the pay ya Dar) ila nilimweleza la msingi tuwe pamoja tuweze nusuru ndoa.

Sasa tangu tumeamua kukaa pamoja mambo hayajawa mepesi. Mimi na-cover basic needs kama kawaida yangu na napambana na biashara ila mwenzangu amekuwa amepotea kabisa kimapenzi. Tangu mwaka huu tunaweza kuwa tumesex si zaida ya mara 15 am sure maana mwenzangu hayupo kabisa anaona nimembana sana.

Kila kitu anatupia lawama nivomdundaga na matatizo ya nyuma. Nimejitahid kumpa space sana ila naona kitu kidogo anakimbilia kutaka talaka.

Sasa kilichonipelekea kuandika uzi huu ni majuzi nilimwambia naenda Dar maana alikua yupo moody sikujua ni sababu yangu au lah. Nikamwambia tu nina safari ya Dar week nzima; aisee alifurahii sana.

Safari ilikuwa ya siku mbili nikarejea jioni nikamtafuta kwenye simu akawa hapokei alivyotoka kibaruani. Jirani yetu ni mfanyakaz mwenzie akarudi tukapishana nikamuuliza vipi shoga yako akasema tumeachana amesema anapita sokoni mara moja (nikaona very rare kutorudi na shoga yake).

Wife akanitumia meseji akasema ametoka outing na shoga zake. Nikasema fine mimi nikanyuti nje mtaa wa pili kuona nani angerudi nae.

Kuna gari ikaja ikapaki kwa jirani ikakaa dakika kama 15 akashuka halafu gari ikaondoka. Alivyoingia ndani nami nikamfwata kwa nyuma
akashtuka sana. Nikamuuliza nani akasema rafiki yake tu walienda pata wine.

Nikamwambia naomba uwe makini tu kuna maradhi. Kama tumefikia huko naomba basi uwe na amani ufanye yako na si hapa kwangu na isitoshe tuna watoto wadogo usilete jazba kwenye haya mambo(maana tulivoingia ndani akaanza kuwaka kama simuamini alivyosema yupo outing nikamweleza outing sio issue ishu umetoka huko mkaweka kambi kwenye gari mie nawaona tu mnapiga story hamkumaliza huko outing)

Nimegundua hana mapenz kwa sasa na nimevumilia sana vituko vyake ila nawaza niwashirikishe wazazi wake na wadhamini wetu nataka niwachukue wanangu nirudi Dar nimpe nafasi tu.

Mkewangu ananiuma sana kila nikikumbuka nilivyompata, mahusiano yetu nk. Yeye ndo alikuwa kipaumbele kunitia sana moyo pale nilipokwama au kusita jambo(hii naandika kwa majonzi sana)

Umri wake haujazidi 30 bado na kuna muda naamini alingia ndoani akiwa mdogo sijui kuna mambo hajafanya? Ila mimi ni mtu wa kuwa huru sana namwambiaga nishirikishe nikupe kibali sina hiyana wala nini cha msingi ni imani tu kwamba hatavuka mipaka.

Suala la uwezo sijalitilia uzito maana yeye binafsi ana kazi na mshahara wake kwakweli huwa simgusiagi hata kidogo anafanya atakavyo. Mimi nina nyumba Dar ndo nimepangisha kuja kuishi naye huku. In short majukumu yangu nayajua na nayamudu.

Suala la kitandani lilikuwa zuri tu sote tunafurahi nk. Mwaka huu lilianza kususasua penzi la kubembeleza yeye ata enjoy ila mpaka nimemuandaa nimemconvince mbona shughuli.

Kwa upande wangu sio mnywaji sana na anajua. Nikinywa tu wine nikiwa nae ntajitahid kumueleza kiu yangu juu ya mambo ambayo hanitimizii hapo nae atarukia "si uniache"bas mkibishana atasema mlevi tatizo.

Weekend ndo tunakaa na kujadili mambo ila mara chache sana maana katikati ya wiki akirudi home yeye kachoka ni kula kulala tu.

Mimi ni mwanadamu pia naweza kuwa na mapungufuyangu ila all i know kuachilia mbali kila jambo nimekuwa nikijitahid kuomba msamaha ninapokosea nk.

Ndugu zangu ndo wanaona nimekamatwa kwelikweli ila nakuwa najitahid niishi ki maadili maana mke mwenyewe mmoja.

Nimesali sana mpaka nimeona kama ni watoto hata nikisema nimpotezee nitahitaji kuwaona wanangu ambapo itapelekea nimwone labda na yeye kitu ambacho mda mwingi kinaniwia ngumu kuvunja familia. Ila nikisema nibebe watoto(namjua kwa sasa majibu yake atasema nenda nao tu la msingi tuachaneee nk) nitabeba ila nataka niombe nisingependa kusikia pua yake na wakwe ndo watakua gia ya kuwaona. Ninataka full right ya wanangu nina uwezo wa kuwalea vizuri. Yani naumia sana ila naona ndo best option kwa sasa.

Naomba ushauri wenu wakuu
Achana na huyo malaya wewe nice guy ,hapa unazunguka zunguka il rafiki sina ushauri wa kukupa zaidi ya kusema achana n huyo malaya .

Watoto kama ni wako nenda uendako zingatia matumizi maana ukiwbeba ndiyo chanzo cha kuanza kumrudisha huyo malaya .

Pole inauma ,kwa ushauri wa mambo ya kivita kuhusu ndoa njoo Pm
 
Pole brother ,Mungu akiwa upande wetu ni Nani aliye juu yetu,Bibilia inasema Hakuna.
Brother,endelea kuwa mpole na kuendelea kufanya majukumu Kama baba wa Familia.
Note.Endelea kumpenda mke wako vizuri kabisa mwisho wa siku,Mungu atamrejesha na huo uovu wake.
Kitu ambacho unateseka nacho ktk kipindi hichi unapoona mwanamke Hana utii Maana wanaume wengi wanapenda utii kutoka kwa wake zake.

Turudi kwenye maandiko ya Neno la Mungu kidogo.
23 Kwa maana mume ni kichwa cha mkewe, kama Kristo naye ni kichwa cha Kanisa; naye ni mwokozi wa mwili.
24 Lakini kama vile Kanisa limtiivyo Kristo vivyo hivyo wake nao wawatii waume zao katika kila jambo.
25 Enyi waume, wapendeni wake zenu, kama Kristo naye alivyolipenda Kanisa, akajitoa kwa ajili yake;
26 ili makusudi alitakase na kulisafisha kwa maji katika neno;
27 apate kujiletea Kanisa tukufu, lisilo na ila wala kunyanzi wala lo lote kama hayo; bali liwe takatifu lisilo na mawaa.
28 Vivyo hivyo imewapasa waume nao kuwapenda wake zao kama miili yao wenyewe. Ampendaye mkewe hujipenda mwenyewe.
29 Maana hakuna mtu anayeuchukia mwili wake po pote; bali huulisha na kuutunza, kama Kristo naye anavyolitendea Kanisa.
30 Kwa kuwa tu viungo vya mwili wake.
31 Kwa sababu hiyo mtu atamwacha baba yake na mama yake, ataambatana na mkewe na hao wawili watakuwa mwili mmoja.
Efeso5:------
Acha ujinga
 
KWa utafit mdogo nilioufanya wanawake wengi hata wanaochit hawapendi kutumia kondom wanapenda kavkav na mkeo nae kaamua kununua hizo kit za kupimia ili kumpima mchepu ili amsugue kavkav.

So ushauri wng ambao ni tiba kwa wanaume rijali aidha unamuacha huyo malaya au humuachi tafuta mchepuko tena awe mkali na mwenye tako anza kujipigia mdogomdogo
Utakuja kunishukuru
 
Binafsi nipo kwenye ndoa takribani miaka mine na tumebarikiwa watoto wawili. Changamoto zilianza mke alipohamishwa kikazi mwaka juzi kutoka Dar kwenda Morogoro.

Kutokana na ukaribu nikawa najituma sana kutwa kwenda halafu isitoshe huyu mtoto wa pili alikua mwaka mmoja. Umbali ukasababisha mimi niwe mnywaji kidogo kuondoa upweke kuliko niwe nachepuka. Nikawa napunguza safari za kwenda weekend na yeye akazidisha mahusiano ya simu na mfanyakazi mwenzie(sijui kama walitembea ila nilijua wana uhusiano baada ya kunasa chat maana ilifika kipindi anajua weekend nalala ndo anakua busy kwa simu wakiongea na huyo mpaka nilivyombana na chats aka admit wanamahusiano via simu na huyo mtu yupo Dar).

Siku moja nikaenda Moro ghafla nikakuta anachat nae bado na isitoshe kuna mwingine wa Moro; nilimdunda hatari. Tukasuluhishwa na familia baada ya hapo kila tukikwaruzana kidogo anakimbilia kusisitiza tuachane yaani ndo ukawa wimbo.

Sasa nikaona kuondoa usumbufu na yeye kuhamia Dar aligoma kwa kusema maisha nafuu Moro nikatafuta kazi Moro nikahamia(nilipata kazi half the pay ya Dar) ila nilimweleza la msingi tuwe pamoja tuweze nusuru ndoa.

Sasa tangu tumeamua kukaa pamoja mambo hayajawa mepesi. Mimi na-cover basic needs kama kawaida yangu na napambana na biashara ila mwenzangu amekuwa amepotea kabisa kimapenzi. Tangu mwaka huu tunaweza kuwa tumesex si zaida ya mara 15 am sure maana mwenzangu hayupo kabisa anaona nimembana sana.

Kila kitu anatupia lawama nivomdundaga na matatizo ya nyuma. Nimejitahid kumpa space sana ila naona kitu kidogo anakimbilia kutaka talaka.

Sasa kilichonipelekea kuandika uzi huu ni majuzi nilimwambia naenda Dar maana alikua yupo moody sikujua ni sababu yangu au lah. Nikamwambia tu nina safari ya Dar week nzima; aisee alifurahii sana.

Safari ilikuwa ya siku mbili nikarejea jioni nikamtafuta kwenye simu akawa hapokei alivyotoka kibaruani. Jirani yetu ni mfanyakaz mwenzie akarudi tukapishana nikamuuliza vipi shoga yako akasema tumeachana amesema anapita sokoni mara moja (nikaona very rare kutorudi na shoga yake).

Wife akanitumia meseji akasema ametoka outing na shoga zake. Nikasema fine mimi nikanyuti nje mtaa wa pili kuona nani angerudi nae.

Kuna gari ikaja ikapaki kwa jirani ikakaa dakika kama 15 akashuka halafu gari ikaondoka. Alivyoingia ndani nami nikamfwata kwa nyuma
akashtuka sana. Nikamuuliza nani akasema rafiki yake tu walienda pata wine.

Nikamwambia naomba uwe makini tu kuna maradhi. Kama tumefikia huko naomba basi uwe na amani ufanye yako na si hapa kwangu na isitoshe tuna watoto wadogo usilete jazba kwenye haya mambo(maana tulivoingia ndani akaanza kuwaka kama simuamini alivyosema yupo outing nikamweleza outing sio issue ishu umetoka huko mkaweka kambi kwenye gari mie nawaona tu mnapiga story hamkumaliza huko outing)

Nimegundua hana mapenz kwa sasa na nimevumilia sana vituko vyake ila nawaza niwashirikishe wazazi wake na wadhamini wetu nataka niwachukue wanangu nirudi Dar nimpe nafasi tu.

Mkewangu ananiuma sana kila nikikumbuka nilivyompata, mahusiano yetu nk. Yeye ndo alikuwa kipaumbele kunitia sana moyo pale nilipokwama au kusita jambo(hii naandika kwa majonzi sana)

Umri wake haujazidi 30 bado na kuna muda naamini alingia ndoani akiwa mdogo sijui kuna mambo hajafanya? Ila mimi ni mtu wa kuwa huru sana namwambiaga nishirikishe nikupe kibali sina hiyana wala nini cha msingi ni imani tu kwamba hatavuka mipaka.

Suala la uwezo sijalitilia uzito maana yeye binafsi ana kazi na mshahara wake kwakweli huwa simgusiagi hata kidogo anafanya atakavyo. Mimi nina nyumba Dar ndo nimepangisha kuja kuishi naye huku. In short majukumu yangu nayajua na nayamudu.

Suala la kitandani lilikuwa zuri tu sote tunafurahi nk. Mwaka huu lilianza kususasua penzi la kubembeleza yeye ata enjoy ila mpaka nimemuandaa nimemconvince mbona shughuli.

Kwa upande wangu sio mnywaji sana na anajua. Nikinywa tu wine nikiwa nae ntajitahid kumueleza kiu yangu juu ya mambo ambayo hanitimizii hapo nae atarukia "si uniache"bas mkibishana atasema mlevi tatizo.

Weekend ndo tunakaa na kujadili mambo ila mara chache sana maana katikati ya wiki akirudi home yeye kachoka ni kula kulala tu.

Mimi ni mwanadamu pia naweza kuwa na mapungufuyangu ila all i know kuachilia mbali kila jambo nimekuwa nikijitahid kuomba msamaha ninapokosea nk.

Ndugu zangu ndo wanaona nimekamatwa kwelikweli ila nakuwa najitahid niishi ki maadili maana mke mwenyewe mmoja.

Nimesali sana mpaka nimeona kama ni watoto hata nikisema nimpotezee nitahitaji kuwaona wanangu ambapo itapelekea nimwone labda na yeye kitu ambacho mda mwingi kinaniwia ngumu kuvunja familia. Ila nikisema nibebe watoto(namjua kwa sasa majibu yake atasema nenda nao tu la msingi tuachaneee nk) nitabeba ila nataka niombe nisingependa kusikia pua yake na wakwe ndo watakua gia ya kuwaona. Ninataka full right ya wanangu nina uwezo wa kuwalea vizuri. Yani naumia sana ila naona ndo best option kwa sasa.

Naomba ushauri wenu wakuu
Pole ...fungal macho Anza maisha yako mapya. Focus na watoto wako. Mwanamke sio ndugu yako. Watoto wako hao ndio damu yangu na ndio ndugu zako.
 
Dah wadau ngoja nipumzike
Mana natype nalia natype nalia
Yan kama mtoto vile
Be a man,unariaje juu ya mwanamke ambaye hukumkuta bikra,mwanamke ambaye mumekutana mko na meno 32,

Duh, wanaume tunatofautiana sana,moyo wangu ni wa tofauti sana,Sina huruma dhidi ya kiumbe wa kuitwa mwanamke
 
***UPDATES

Hellow team

Hii ni updates kuhusiana na post yangu ya tarehe 19/10/18

8 years imepita tangu yaliyonisibu.....

well kwa ambao hawakuwepo au kutojua kwanza a praying soul is all one needs to grow further......

Kwanza kipind kile kwa kweli ndoa ilisumbua jamani kutokana na vitu main viwili : kwanza huyu binti alikuwa hajatulia kabisa ukizingatia umri( tulifanya sherehe kila kitu o her pressure and i was an OKAY guy sikumkatalia kitu ) issue arose alipohamishwa kikaz na kuongezewa mshahara ...(kipato zaid yangu ni ilikuwa issue 2) maana i was paid well mkoa A ..alivyohamishwa mkoa B kipindi hiki tuna mtoto wa pili mchanga am a family guy and believe in the ideology ya kukaa na familia kwa malez sawa ya watoto .....nilipiga kazi chini mkoa A kuhamia mkoa B kwa half what i was earning just to be close nayeye( hapa zamani sikuweka clarity maana kwanza kaz ya awali ilikuwa nanilia mda mwingi sana kufanya mambo yangu binafsi na pili kutokana na restructuring nilikuwa nahamishwa kitengo kwahiyo ile move yangu ilikuwa justified) hili tukio lilimkwaza mwenzangu maana nilienda mkoa B ila ikawa kama nambana
maana kule alikuwa ameshakaa kama miez 6 before sijahamia ..ugomvi ulikuwa haukauki na matukio etc.....


WHAT I DID KIPINDI HIKO.............................(Mrejesho maana nilikuwa stressed nikawaacha bila mrejeshoo)
HATUA NILIZOCHUKUA KU MOVE ON
-Kipind hiki nilikuwa mtu wa kusali sana...( Familia nyumban walisikia my pain, wakanipiga stop order moja kali....niamke na kwenda kupanda basi mara moja kurejea nyumbani,mind you kipind hiki sasa ndo vimbwenga vilizid kwa mwenzangu na nilikuwa mnyonge to the maximum, walihisi ningempiga tukio niishie jela..ukweli nilipima mengi sana na ukisali jaman unakuwa na hofu ya Mungu...hamuwez amini kati ya mishe zake zote alikujaga kuniomba msamaha maana alikuwa anajua anatafuta kuuawa sijui ,,,,
  • niliacha kila kitu na kusepa sikumpa taarifa..nikarejea nyumban nikaanza maisha mapaya mwenyew..sikuwasiliana na wanangu kama miez 6 mingine ....alianza mchakato wa talaka...tukafanikiwa 2019 tukapata talaka yetu akiwa mkoa B
  • mwaka huo huo alipata mimba ya jamaa mmoja huko mkoa B ,,,,,kwa ma ahadi ya kumuoa nadhani maana sikujua mi taarifa walikuwa wananipa wifi zake...
-akazaa na huyo jamaa....akaja kutapeliwa na huyo jamaa wakaachana akapata mwingine akachumbiwa tena hajaolewa ila ni mwendo wa matukio nasikia huko alafu watu wake wote anaowapata naskia ugomvi huko kisa ni mimi na alivyonifanyiaga..mkoa B mdogo sana aliekuwepo word travels and wanajuana watu wengi
-Binafsi nilirejea nikarud kule kazini nilipo resign walinipokea tena na kuniingiza department nyingine...
-maisha yakaanza upya
-Mungu alizid nibariki ,,,nikapata shavu sehem nyingine nzuri zaid(enzi za jembe)basi life style ikabadilika..


Currently
-wanangu wanakujaga pasaka na xmas....
-mwaka jana niliwakatia wote watatu ( na uyo mwanae aliyezalishwa huko, kutokana walitaka kuja nae wanangu )maana wakijaga dar wana cheza sana magemu huku na kuwalisha mabata mno nikawakatia ndege wote na dad wa kazi huwa wanasafiri nae ..
- ye anakujaga kikaz tunaonana mara moja moja ila sijawahi hata kumkula ase...niliapa kama tukibaki wanadamu wawili duniani basi kizaz cha wanadamu kitakuwa mwisho..sitomgusa huyu kiumbe
-ananiitaga hotelin napita kumpaga hi nikiwa na nafasi
-nasomesha wanangu TU ada direct nalipa moja kwa moja...nikitaka kuongea nao huwa wanatumia simu ya bibi yao kule mkoa B au mama yao mara moja moja
-nashukuru maisha yamebadilika mno na we co parent vizur na sina hard feelings kwakwel maana life turned out extremely well kwangu kuliko yeye so far....
-yani nikikaa nae namuona anajutia sana meni ila ndo vile kana nature ya ukiburi flan basi unakuta mi mkimya namuitikiaga tu ase sina mengi...

wakuu ntakaribisha maswali maana natoa mrejesho kwa mafungu na juu juu sana.....
Pole mkuu na hongera sana pia. Kwahiyo hajatamka kuomba msamaha au kutaka mrudiane?
 
Ushauri wangu ni hivi, kwakuwa analilia talaka wewe nenda mahakamani kafungue ombi la utengano. Sio talaka. Likikubaliwa wewe potea rudi Dar kaendelee na maisha mengine.

Nadhani kosa ulilolifanya ni kuhamia Morogoro ili kumtimizia anachokitska. Haikupaswa wewe kuhamia huko tena kwa kazi yenye mshahara mdogo kuliko uliyokuwa unaifanya awali.

Sio muda wa kulaumiana, ila kama ukiishindwa option A, basi fanya hii option B. Ondoka rudi Dar na umwambie wazi. Pia uwaambie na hao wenye mahusiano naye kuwa wawe makini na mke wako (hawataendelea naye). Atafanya uhuni kwa miaka miwili tu ila hataweza kutoboa watatu
 
Ushauri wangu ni hivi, kwakuwa analilia talaka wewe nenda mahakamani kafungue ombi la utengano. Sio talaka. Likikubaliwa wewe potea rudi Dar kaendelee na maisha mengine.

Nadhani kosa ulilolifanya ni kuhamia Morogoro ili kumtimizia anachokitska. Haikupaswa wewe kuhamia huko tena kwa kazi yenye mshahara mdogo kuliko uliyokuwa unaifanya awali.

Sio muda wa kulaumiana, ila kama ukiishindwa option A, basi fanya hii option B. Ondoka rudi Dar na umwambie wazi. Pia uwaambie na hao wenye mahusiano naye kuwa wawe makini na mke wako (hawataendelea naye). Atafanya uhuni kwa miaka miwili tu ila hataweza kutoboa watatu
Soma stori vzr vitu vingi uloviongelea jamaa kashaviongelea vyote
 
Pole sana Mkuu!

Piga chini huyo kubadilika itakua ngumu sana! Fanya utaratibu chukua watoto wako ondoka muache! kuna siku atajutia na itakua too late
 
Hongera sana simon baker uzi mzuri nilichelewa kuuona ila asante kwa update baada ya miaka 8.

Maswali yangu:

1. Vipi maumivu baada ya kuachana yalichukua muda gani kupoa?
2. Wewe uliamua kuoa tena au kataa ndoa official?
3. Kwa maono yako, chanzo kikubwa ni kipi cha yeye kubadirika? ie: Tamaa au alikua tu Ma£a¥a au upweke wa Moro?
4. Bora kuoa au kutooa? Na kama kuoa bora kuoa darasa la 7 au?
 
Team KATAA NDOA, NDOA NI UTAPELI MKUBWA, mnaitwa huku kuna ushuhuda mwingine.......
 
Ushauri wangu ni hivi, kwakuwa analilia talaka wewe nenda mahakamani kafungue ombi la utengano. Sio talaka. Likikubaliwa wewe potea rudi Dar kaendelee na maisha mengine.

Nadhani kosa ulilolifanya ni kuhamia Morogoro ili kumtimizia anachokitska. Haikupaswa wewe kuhamia huko tena kwa kazi yenye mshahara mdogo kuliko uliyokuwa unaifanya awali.

Sio muda wa kulaumiana, ila kama ukiishindwa option A, basi fanya hii option B. Ondoka rudi Dar na umwambie wazi. Pia uwaambie na hao wenye mahusiano naye kuwa wawe makini na mke wako (hawataendelea naye). Atafanya uhuni kwa miaka miwili tu ila hataweza kutoboa watatu
this is what i did mkuu
asante
Mungu alibariki movement
 
***UPDATES

Hellow team

Hii ni updates kuhusiana na post yangu ya tarehe 19/10/18

8 years imepita tangu yaliyonisibu.....

well kwa ambao hawakuwepo au kutojua kwanza a praying soul is all one needs to grow further......

Kwanza kipind kile kwa kweli ndoa ilisumbua jamani kutokana na vitu main viwili : kwanza huyu binti alikuwa hajatulia kabisa ukizingatia umri( tulifanya sherehe kila kitu o her pressure and i was an OKAY guy sikumkatalia kitu ) issue arose alipohamishwa kikaz na kuongezewa mshahara ...(kipato zaid yangu ni ilikuwa issue 2) maana i was paid well mkoa A ..alivyohamishwa mkoa B kipindi hiki tuna mtoto wa pili mchanga am a family guy and believe in the ideology ya kukaa na familia kwa malez sawa ya watoto .....nilipiga kazi chini mkoa A kuhamia mkoa B kwa half what i was earning just to be close nayeye( hapa zamani sikuweka clarity maana kwanza kaz ya awali ilikuwa nanilia mda mwingi sana kufanya mambo yangu binafsi na pili kutokana na restructuring nilikuwa nahamishwa kitengo kwahiyo ile move yangu ilikuwa justified) hili tukio lilimkwaza mwenzangu maana nilienda mkoa B ila ikawa kama nambana
maana kule alikuwa ameshakaa kama miez 6 before sijahamia ..ugomvi ulikuwa haukauki na matukio etc.....


WHAT I DID KIPINDI HIKO.............................(Mrejesho maana nilikuwa stressed nikawaacha bila mrejeshoo)
HATUA NILIZOCHUKUA KU MOVE ON
-Kipind hiki nilikuwa mtu wa kusali sana...( Familia nyumban walisikia my pain, wakanipiga stop order moja kali....niamke na kwenda kupanda basi mara moja kurejea nyumbani,mind you kipind hiki sasa ndo vimbwenga vilizid kwa mwenzangu na nilikuwa mnyonge to the maximum, walihisi ningempiga tukio niishie jela..ukweli nilipima mengi sana na ukisali jaman unakuwa na hofu ya Mungu...hamuwez amini kati ya mishe zake zote alikujaga kuniomba msamaha maana alikuwa anajua anatafuta kuuawa sijui ,,,,
  • niliacha kila kitu na kusepa sikumpa taarifa..nikarejea nyumban nikaanza maisha mapaya mwenyew..sikuwasiliana na wanangu kama miez 6 mingine ....alianza mchakato wa talaka...tukafanikiwa 2019 tukapata talaka yetu akiwa mkoa B
  • mwaka huo huo alipata mimba ya jamaa mmoja huko mkoa B ,,,,,kwa ma ahadi ya kumuoa nadhani maana sikujua mi taarifa walikuwa wananipa wifi zake...
-akazaa na huyo jamaa....akaja kutapeliwa na huyo jamaa wakaachana akapata mwingine akachumbiwa tena hajaolewa ila ni mwendo wa matukio nasikia huko alafu watu wake wote anaowapata naskia ugomvi huko kisa ni mimi na alivyonifanyiaga..mkoa B mdogo sana aliekuwepo word travels and wanajuana watu wengi
-Binafsi nilirejea nikarud kule kazini nilipo resign walinipokea tena na kuniingiza department nyingine...
-maisha yakaanza upya
-Mungu alizid nibariki ,,,nikapata shavu sehem nyingine nzuri zaid(enzi za jembe)basi life style ikabadilika..


Currently
-wanangu wanakujaga pasaka na xmas....
-mwaka jana niliwakatia wote watatu ( na uyo mwanae aliyezalishwa huko, kutokana walitaka kuja nae wanangu )maana wakijaga dar wana cheza sana magemu huku na kuwalisha mabata mno nikawakatia ndege wote na dad wa kazi huwa wanasafiri nae ..
- ye anakujaga kikaz tunaonana mara moja moja ila sijawahi hata kumkula ase...niliapa kama tukibaki wanadamu wawili duniani basi kizaz cha wanadamu kitakuwa mwisho..sitomgusa huyu kiumbe
-ananiitaga hotelin napita kumpaga hi nikiwa na nafasi
-nasomesha wanangu TU ada direct nalipa moja kwa moja...nikitaka kuongea nao huwa wanatumia simu ya bibi yao kule mkoa B au mama yao mara moja moja
-nashukuru maisha yamebadilika mno na we co parent vizur na sina hard feelings kwakwel maana life turned out extremely well kwangu kuliko yeye so far....
-yani nikikaa nae namuona anajutia sana meni ila ndo vile kana nature ya ukiburi flan basi unakuta mi mkimya namuitikiaga tu ase sina mengi...

wakuu ntakaribisha maswali maana natoa mrejesho kwa mafungu na juu juu sana.....
Hapo kukaribisha mtoto wa danga la ex wife wako ndipo uliponiangusha,wa kazi gani huyo?yaani visa vyote hivyo pamoja na kut*mb£wa na baba yake wewe ndiyo kwanza umemvuta kuwa karibu na wewe?

Wa nini huyo?
 
Hongera sana simon baker uzi mzuri nilichelewa kuuona ila asante kwa update baada ya miaka 8.

Maswali yangu:

1. Vipi maumivu baada ya kuachana yalichukua muda gani kupoa?
2. Wewe uliamua kuoa tena au kataa ndoa official?
3. Kwa maono yako, chanzo kikubwa ni kipi cha yeye kubadirika? ie: Tamaa au alikua tu Ma£a¥a au upweke wa Moro?
4. Bora kuoa au kutooa? Na kama kuoa bora kuoa darasa la 7 au?
Mkuu tupo pamoja ase...
1. Maumivu yalichukua takriban mwaka...ila ase Mungu anasaidia ,,ujue hata sasa namba nime save ila nime mute kila kitu yani hata aki post sijui au akinicheki whatsapp au mitandaoni nachelewaga kumuona au ku pata notification mpaka anitafute normal texts etc...inshort huu mwaka wa kwanza ulikuwa mgumu ila nilikaza kutokuonana nae wala kujua anachofanya...after mwaka wa kwanza tuliwasiliana kukamilisha talaka Tu(niliumia kipindi hiki tena kwa kukumbuka mengi tuliopitia..) ila ever since miaka saba yote mpaka now ase nilikuwa nime heal sana...haya mambo ya mda wa ku heal nashauri ni best ukijipa mda na kutokuwa na mawasiliano/kuonana/etc na mwenza wako....
tena ule mwaka alionitafuta kukamilisha talaka niliumia kwasababu alikuwa mjamzito so kidogo niliumia ila baada ya hapo mwendo mdundo
2. Mkuu nilikataa ndoa official...ila kuna mtu nilikuwa nae kwenye mahusiano miaka 5 mpaka may hii ase dada wa watu kaamua kukaa pembeni maana anajua msimamo wangu juu ya ndoa..tunapendana ila ameomba break( huyu wa sasa namuonea huruma maana issue kuu ni yeye kipind hiki kutaka ndoa/kaajiriwa na tunakaa pamoja miaka yote hiyo mitano..mwezi uliopita ndo aliamua kupanga kujitegemea tuweke ile space kidog maana anahisimaybe ita chnage mtazamo juu ya kutaka ndoa tukae official...pia naamini ni uhuru binti anatarajia pia,,maana huyu manz msaarabu mcha mungu na yupo makini..ila wanawake bwana awa viumbe wakuwa nao makini kila dak
3. Huyu awali nilijua ni umalaya..ila all these years nimekuja gundua ni ana tamaa sana..imagine nilikutana na shemej yangu mdogo wake toka nikutoke alikuja kunisalimia kama mwezi uliopita..alisema ''ujue sister kinachomsumbua tamaa, yani watu anao date nao ni kimaslai sana''
4. Mkuu kwenye ndoa siwez kukushauri au kukataa,,maana hata mimi inshallah mwakani huyu akiendelea kukaza ntabidi nifanye official maana kuna baraka zake ndoani kwenye maisha..ila sitofanya sherehe just a small gathering maana ile ya kwanza ilikuwa kiboko
 
Back
Top Bottom