Ndoa yangu inateketea

Angalau kuanzia miaka40 kwenda mbele ila chini ya hapo kujitafutia matatzo tu
Ukioa unamiaka 40 utatesa watoto wako ukizingatia lifespan ni miaka mingapi? Unakufa watoto unawaacha unategemea wife ata handle?
 
Habari wana JF wote kwa ujumla, bila ya kupoteza muda naomba kuja kwenye mada husika. Mimi ni kijana wa miaka 35,ndoa yanagu mpaka sasa inamiaka 5 tuu. Katika kipindi chote hichi tumeishi kwa furaha na upendo mkubwa tumebahatika kupata watoto 2.

Mke wangu ni mtumishi chuo kikuu(mwalimu)na mimi ni unga unga mwana pangu pakavu baada ya kampuni fulani ya mawasiliano niliyokua nafanya kazi kufungiwa na serikali kwa madai ya kukwepa kulipa na kuhujumu uchumi hivyo kesi bado iko mahakamani lakini sijawahi kukosa rizik japo kipato changu ni kidogo ila upendo na furaha viliendelea kushamiri.

KUANZA TATIZO
Mambo yalianza kua mabaya ktk ndoa yangu pale tuu mke wang alivyohamishwa kikazi na kuja hapa Dar ktk chuo kikuu fulani mwaka huu mwez 3 hivyo mimi niliendelea kubaki mkoni kwa lengo la kujipanga ili nihamie dar ili niwe karibu na familia yangu.

Ifahamike kua uhamisho wake haukua wa malipo kutokana na yy ndo aliomba kuhamishwa hivyo alipofika hapa Dar alifikia kwao maana yeye ni mzaliwa wa hapa dar.

Baada ya miezi 2 kupita mimi pia nikatoka mkoani na kuja hapa Dar,ila nilifikia nyumban kwetu kwa wazazi wangu (Mkuranga)
Harakaki za kutafuta nyumba zikaanza,kwa bahati mbaya wakati sijalipia nyumba nikafiwa na mzazi wangu(baba) chakushangaza mke wangu hakuweza kufika msibani kwa madai ya kukosa ruhusa kazini.

Sikua na neno maana bado nilikua kwenye majonzi,baada ya msiba kumalizika nilinza kujisikia homa kali na kulazwa hospitali,baada ya vipimo niligundulika ni Covid 19,

Mungu alisaidia nikaruhusiwa na kuendelea na matibabu nyumban. Wakati naendelea na matibabu mawasiliano na mke wangu yalikua ya tabu sana,simu za zilikua hazipaikan kwa madai mtoto wetu mdogo ameharibu simu yake hivyo ilinibidi niwe namtafuta mama mkwe kuongea na mke wangu

Hali ya kimawasiliano ilizidi kua mbaya zaid kadri siku zinavyozidi kusonga mbele,akawa hanitafuti,mpaka mimi nimtafute yeye, upendo wake kwangu ulikua umepungua sana kwangu. Maana hata kunijulia hali imekua vigumu kwake. Kibaya zaid alinza kufuta account namba yake ya wasapu na kuwa online kupitia Facebook nilivyomuuliza mbona nakuona online ushanunua simu nyingine?alinijibu kua ni ya ndugu yake wanaishi karibu pia namjua huyo mtu.

Nilimuomba namba ya simu anayoitumia ya huyo ndugu yake akanipa. Chaajabu sasa nikipiga ile namba anapokea muhusika wa ile simu na ananimbia yy yuko mbali kidogo na mke wangu.

Hii hali ilinishangaza sana kwan mda ambao nachat na mke wangu Facebook ndo mda huo nimepiga simu baada ya yy kunipa hiyo namba na kaniambia ndo anaitumia kwenye hiyo simu,

Niliendelea kuvumilia hii hali kwakua sikua na jinsi maana bado naendelea na matibabu. Hapa juzi kanitumia ujumbe kupitia Facebook anasema tuachane yy amechoka na maisha ya ndoa hivyo anahitaji kua single,haoni faida ya kua kwenye ndoa. Kwa kwel moyo wangu wote ulikua unawaka moto kwa maumivi makari sana

Kwakua bado naumwa halafu nakutana na changamoto kama hii. Ilinibidi nimtafute kwa kumpigia simu kupitia kwa mama ake akampa simu nikaongea nae.

Nilimuuliza kwan kipi kibaya ambacho nimekufanyia mpaka umefikia maamuz hayo ya kutaka tuachane?alinijibua kua yy amechoka na kudharauliwa hapo kwao maana inaonekama kama mimi nimemdamp tuu hapo kwao,

Nilimuuliza kwan hujui hali yangu ya kiafya kwasasa? Akanijibu kua anajua ila hayo ndo maamuzi aliyaamua kwan kichwa chake hakiko sawa,pia kazin kwake pia hajapandishwa mshahara hivyo hayuko sawa. Baada ya kuniambia hiyo alinikatia simu.

Ifahamike kua kipindi hiki chote ninachoumwa kaja kuniona mara moja tuu mpaka sasa ni mwez umekata hajaja kuniona.
Na mda huu yuko likizo haend kazin.

Naombeni ushauri wenu na mawazao nini nifanye kuinusuru ndoa yangu?hali yangu kiafya bado haija kaa sawa.ndoa inazidi kuniumiza msaada wenu tafadhali.
Kwanza sijaelewa ni ndoa ya dini ipi,pili ni wazi hakutaki

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Habari wana JF wote kwa ujumla, bila ya kupoteza muda naomba kuja kwenye mada husika. Mimi ni kijana wa miaka 35,ndoa yanagu mpaka sasa inamiaka 5 tuu. Katika kipindi chote hichi tumeishi kwa furaha na upendo mkubwa tumebahatika kupata watoto 2.

Mke wangu ni mtumishi chuo kikuu(mwalimu)na mimi ni unga unga mwana pangu pakavu baada ya kampuni fulani ya mawasiliano niliyokua nafanya kazi kufungiwa na serikali kwa madai ya kukwepa kulipa na kuhujumu uchumi hivyo kesi bado iko mahakamani lakini sijawahi kukosa rizik japo kipato changu ni kidogo ila upendo na furaha viliendelea kushamiri.

KUANZA TATIZO
Mambo yalianza kua mabaya ktk ndoa yangu pale tuu mke wang alivyohamishwa kikazi na kuja hapa Dar ktk chuo kikuu fulani mwaka huu mwez 3 hivyo mimi niliendelea kubaki mkoni kwa lengo la kujipanga ili nihamie dar ili niwe karibu na familia yangu.

Ifahamike kua uhamisho wake haukua wa malipo kutokana na yy ndo aliomba kuhamishwa hivyo alipofika hapa Dar alifikia kwao maana yeye ni mzaliwa wa hapa dar.

Baada ya miezi 2 kupita mimi pia nikatoka mkoani na kuja hapa Dar,ila nilifikia nyumban kwetu kwa wazazi wangu (Mkuranga)
Harakaki za kutafuta nyumba zikaanza,kwa bahati mbaya wakati sijalipia nyumba nikafiwa na mzazi wangu(baba) chakushangaza mke wangu hakuweza kufika msibani kwa madai ya kukosa ruhusa kazini.

Sikua na neno maana bado nilikua kwenye majonzi,baada ya msiba kumalizika nilinza kujisikia homa kali na kulazwa hospitali,baada ya vipimo niligundulika ni Covid 19,

Mungu alisaidia nikaruhusiwa na kuendelea na matibabu nyumban. Wakati naendelea na matibabu mawasiliano na mke wangu yalikua ya tabu sana,simu za zilikua hazipaikan kwa madai mtoto wetu mdogo ameharibu simu yake hivyo ilinibidi niwe namtafuta mama mkwe kuongea na mke wangu

Hali ya kimawasiliano ilizidi kua mbaya zaid kadri siku zinavyozidi kusonga mbele,akawa hanitafuti,mpaka mimi nimtafute yeye, upendo wake kwangu ulikua umepungua sana kwangu. Maana hata kunijulia hali imekua vigumu kwake. Kibaya zaid alinza kufuta account namba yake ya wasapu na kuwa online kupitia Facebook nilivyomuuliza mbona nakuona online ushanunua simu nyingine?alinijibu kua ni ya ndugu yake wanaishi karibu pia namjua huyo mtu.

Nilimuomba namba ya simu anayoitumia ya huyo ndugu yake akanipa. Chaajabu sasa nikipiga ile namba anapokea muhusika wa ile simu na ananimbia yy yuko mbali kidogo na mke wangu.

Hii hali ilinishangaza sana kwan mda ambao nachat na mke wangu Facebook ndo mda huo nimepiga simu baada ya yy kunipa hiyo namba na kaniambia ndo anaitumia kwenye hiyo simu,

Niliendelea kuvumilia hii hali kwakua sikua na jinsi maana bado naendelea na matibabu. Hapa juzi kanitumia ujumbe kupitia Facebook anasema tuachane yy amechoka na maisha ya ndoa hivyo anahitaji kua single,haoni faida ya kua kwenye ndoa. Kwa kwel moyo wangu wote ulikua unawaka moto kwa maumivi makari sana

Kwakua bado naumwa halafu nakutana na changamoto kama hii. Ilinibidi nimtafute kwa kumpigia simu kupitia kwa mama ake akampa simu nikaongea nae.

Nilimuuliza kwan kipi kibaya ambacho nimekufanyia mpaka umefikia maamuz hayo ya kutaka tuachane?alinijibua kua yy amechoka na kudharauliwa hapo kwao maana inaonekama kama mimi nimemdamp tuu hapo kwao,

Nilimuuliza kwan hujui hali yangu ya kiafya kwasasa? Akanijibu kua anajua ila hayo ndo maamuzi aliyaamua kwan kichwa chake hakiko sawa,pia kazin kwake pia hajapandishwa mshahara hivyo hayuko sawa. Baada ya kuniambia hiyo alinikatia simu.

Ifahamike kua kipindi hiki chote ninachoumwa kaja kuniona mara moja tuu mpaka sasa ni mwez umekata hajaja kuniona.
Na mda huu yuko likizo haend kazin.

Naombeni ushauri wenu na mawazao nini nifanye kuinusuru ndoa yangu?hali yangu kiafya bado haija kaa sawa.ndoa inazidi kuniumiza msaada wenu tafadhali.
Ningekuwa wewe ningeshaanza kumshukuru Mungu kwa kasi

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Pole sana Mkuu,
Kitendo cha mke wako kutafuta uhamisho wa kwenda Dar, nyumbani kwao ilipaswa kukupa ishara kuwa kuna jambo baya katika ndoa yenu kwa upande wake...

Mke wako ni mtu anapenda vitu (material wife) na kazi alonayo inampa kiburi.
Na pia familia yake inahusika katika kumshauri vibaya.

Kama kweli unampenda mke wako, bas tafuta mganga wa kienyeji afanye yafuatayo,
1.Amfukuzishe kazi na asipate kazi milele na
2.Amrudishe kwako.

Kila la kheri...
Hapo atakuwa anaishi "msukule" sio "Mke"

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Si anataka kuachwa muache mzee, usilazimishe kijani kuwa nyekundu, kwanini ubembeleze mapenzi, utakufa bure kwa kufosi mambo. Kwani bila ya yeye wewe hupumui, kifupi hana mpango na ww na ukilazimisha atakuja kukupiga tukio moja uione june-july

Its kaveli
 
Wengine wanalilia ndoa
Wengine wanachezea
Uzuri wa mapenzi ni indicator hua zinaonesha zenyewe
Sasa ole wako upingane nazo
 
Kaka yangu alimuacha mkewe kisa kuzalau msiba wa Mama mzazi...

Wanaishi Europe Bi mkubwa alifariki Tza yule mwanamke alimuuluza utaenda kuzika? Aysee yaliotokea we achaa tuu!

Mada yako! Baba yako amefariki hakuja yeye wala familia zao, unaumwa kaja siku moja! Uwamisho wa kujilazimisha!
Legendary embu jiongezee au mpaka umfumanie ndio u take action?
Tafuta room Dar na kama hali hairuhusu muombee dua aludi kwenye mstari. Ikishindikana usilazimishe mambo...
Mzaramo wewe wa ajabu sana..
 
Kwanza namba nikujenge kiimani... Majaribio ktk Maisha ndo sehemu ya Maisha. Haijarishi kubwa kiasi gani lkn Mungu anajua unalimudu.. Katika kipindi hiki unachopitia mtafuta Sana Mungu maana ni kipindi cha kupimwa imani yako. Muda or time healed... Surrender all things to your God. Ndoa ni spiritual connection hivyo mambo Muombe Mungu tu ili ushinde jaribu.. Muda utaongea tu usiangaike kama divorce atatafuta yeye maana Wana washauri wao wa kubomoa.. Naamini soon utarecover na kuona Maisha mapya ya furaha na amani na kumsahau kabisa. Mungu atakujenga utainuka na kuwa na mafanikio makubwa... Maisha ya Mungu. Trust in God.
Safi kabisa na akitafuta divorce yeye huyu ndugu anatakiwa alipokee hilo tena kwa furaha kabisa asioneshe unyonge wa kipumbavu.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Nina uhakika kwa style hyo na maneno hayo aliokutolea huyo mwanamke mpe miezi mitatu atakutafuta tu.,.wewe ji keep busy kwahyo miez mitatu lazima atakutafuta tu...

Mwanamke hana jeuri ya kumuacha mwanaume.
 
Habari wana JF wote kwa ujumla, bila ya kupoteza muda naomba kuja kwenye mada husika. Mimi ni kijana wa miaka 35,ndoa yanagu mpaka sasa inamiaka 5 tuu. Katika kipindi chote hichi tumeishi kwa furaha na upendo mkubwa tumebahatika kupata watoto 2.

Mke wangu ni mtumishi chuo kikuu(mwalimu)na mimi ni unga unga mwana pangu pakavu baada ya kampuni fulani ya mawasiliano niliyokua nafanya kazi kufungiwa na serikali kwa madai ya kukwepa kulipa na kuhujumu uchumi hivyo kesi bado iko mahakamani lakini sijawahi kukosa rizik japo kipato changu ni kidogo ila upendo na furaha viliendelea kushamiri.

KUANZA TATIZO
Mambo yalianza kua mabaya ktk ndoa yangu pale tuu mke wang alivyohamishwa kikazi na kuja hapa Dar ktk chuo kikuu fulani mwaka huu mwez 3 hivyo mimi niliendelea kubaki mkoni kwa lengo la kujipanga ili nihamie dar ili niwe karibu na familia yangu.

Ifahamike kua uhamisho wake haukua wa malipo kutokana na yy ndo aliomba kuhamishwa hivyo alipofika hapa Dar alifikia kwao maana yeye ni mzaliwa wa hapa dar.

Baada ya miezi 2 kupita mimi pia nikatoka mkoani na kuja hapa Dar,ila nilifikia nyumban kwetu kwa wazazi wangu (Mkuranga)
Harakaki za kutafuta nyumba zikaanza,kwa bahati mbaya wakati sijalipia nyumba nikafiwa na mzazi wangu(baba) chakushangaza mke wangu hakuweza kufika msibani kwa madai ya kukosa ruhusa kazini.

Sikua na neno maana bado nilikua kwenye majonzi,baada ya msiba kumalizika nilinza kujisikia homa kali na kulazwa hospitali,baada ya vipimo niligundulika ni Covid 19,

Mungu alisaidia nikaruhusiwa na kuendelea na matibabu nyumban. Wakati naendelea na matibabu mawasiliano na mke wangu yalikua ya tabu sana,simu za zilikua hazipaikan kwa madai mtoto wetu mdogo ameharibu simu yake hivyo ilinibidi niwe namtafuta mama mkwe kuongea na mke wangu

Hali ya kimawasiliano ilizidi kua mbaya zaid kadri siku zinavyozidi kusonga mbele,akawa hanitafuti,mpaka mimi nimtafute yeye, upendo wake kwangu ulikua umepungua sana kwangu. Maana hata kunijulia hali imekua vigumu kwake. Kibaya zaid alinza kufuta account namba yake ya wasapu na kuwa online kupitia Facebook nilivyomuuliza mbona nakuona online ushanunua simu nyingine?alinijibu kua ni ya ndugu yake wanaishi karibu pia namjua huyo mtu.

Nilimuomba namba ya simu anayoitumia ya huyo ndugu yake akanipa. Chaajabu sasa nikipiga ile namba anapokea muhusika wa ile simu na ananimbia yy yuko mbali kidogo na mke wangu.

Hii hali ilinishangaza sana kwan mda ambao nachat na mke wangu Facebook ndo mda huo nimepiga simu baada ya yy kunipa hiyo namba na kaniambia ndo anaitumia kwenye hiyo simu,

Niliendelea kuvumilia hii hali kwakua sikua na jinsi maana bado naendelea na matibabu. Hapa juzi kanitumia ujumbe kupitia Facebook anasema tuachane yy amechoka na maisha ya ndoa hivyo anahitaji kua single,haoni faida ya kua kwenye ndoa. Kwa kwel moyo wangu wote ulikua unawaka moto kwa maumivi makari sana

Kwakua bado naumwa halafu nakutana na changamoto kama hii. Ilinibidi nimtafute kwa kumpigia simu kupitia kwa mama ake akampa simu nikaongea nae.

Nilimuuliza kwan kipi kibaya ambacho nimekufanyia mpaka umefikia maamuz hayo ya kutaka tuachane?alinijibua kua yy amechoka na kudharauliwa hapo kwao maana inaonekama kama mimi nimemdamp tuu hapo kwao,

Nilimuuliza kwan hujui hali yangu ya kiafya kwasasa? Akanijibu kua anajua ila hayo ndo maamuzi aliyaamua kwan kichwa chake hakiko sawa,pia kazin kwake pia hajapandishwa mshahara hivyo hayuko sawa. Baada ya kuniambia hiyo alinikatia simu.

Ifahamike kua kipindi hiki chote ninachoumwa kaja kuniona mara moja tuu mpaka sasa ni mwez umekata hajaja kuniona.
Na mda huu yuko likizo haend kazin.

Naombeni ushauri wenu na mawazao nini nifanye kuinusuru ndoa yangu?hali yangu kiafya bado haija kaa sawa.ndoa inazidi kuniumiza msaada wenu tafadhali.
Thamani ya mtu siku hizi ni Service (huduma) unazotoa KWA hao wanaokuthamini,wanakupimia thamani na heshima kadiri unavyowapimia hizo huduma,huduma zako kwao zinaposhuka hata thamani Yako inashuka ,
Usikumbatie Illusions za unconditional love ,hakuna binadamu anayekupenda bila condition,

Hata mzazi wako anakupenda KWA Condition ya kuwa wewe ni mwanaye , ndio maana mama yako anaweza kuwa bora Sana kwako lakini huyohuyo mama akiletewa mtoto wa nje wa baba yako anakuwa na matendo ya kishetani,
Jibu ni kwamba upendo wake uko na condition lazima awe amekuzaa ndio akupende,

Usalama wako kama hutaki complications za mahusiano ,ishi mwenyewe na wanao ,usiDEMAND Sana mkeo kuwepo wakati condition iliyokufanya umvutie haipo tena ,kama unataka arudi Rudisha kilichomvuta kwako(kama ni wa muhimu sana kwako),otherwise anza upya
Lastly Umepata uhuru kamili ,ingawa ni uhuru ambao unakuwa huna mtu wa kukusaidia kuona na kukwepa mashimo kwenye njia yako ya maisha ,lakini kama uliyekuwa naye alikuwa anakupitisha kwenye mashimo basi anatakiwa kuondoka
 
Duh kumbe unaweza kuona una mazito ila kuna wenye mazito zaidi. Mkuu pole sana. Ila ningekuwa ni mimi huyo mwanamke naachana nae tena kwa kufata taratibu zote.
 
Ukioa unamiaka 40 utatesa watoto wako ukizingatia lifespan ni miaka mingapi? Unakufa watoto unawaacha unategemea wife ata handle?

kumbe kuna umri wa kufa me nnachojua kifo kipo tu hata mtu wa miaka 18 25 36 anaweza kufa,,,!
kwani ww hapo saa hivi ukifa watoto unawaacha na nani??
 
Kwa kuongezea tu wacha nikupe kisa kilichomkuta mtu wa karibu kabisa alivyonusurika kuishi jela kwa miaka iliyobakia.
Ilikua hivi,baada ya miaka mingi ndani ya ndoa zaidi ya 7 mwanamke akaanza choko choko mwisho akadai taraka lakini ndugu yetu akawa mbishi tena sana suala la kutoa talaka na akawa na kauli mbiu yake hio"mimi najua kuoa sijui kuacha"
Ila mwanamke hakuacha kuidai tena kwa nguvu kweli kweli ila jamaa akagoma,mwisho mwanamke akaenda polisi akafungua kesi ya kubakwa tena kwa kuhonga kabisa kila kwenye njia alizopita,kuja kutahamaki jamaa kawekwa ndani kufumba na kufumbua mahakamani mwisho wa siku hakimu kagonga nyundo miaka 30 jela iwe fundisho kwa wengineo wenye tabia kama hizo za kubaka na nafikiri ikiwemo tabia za kung'ang'ania wanawake kana kwamba yupo peke ake dunia nzima.
Jamaa amekaa miaka 13 jela misamaha yote imempita wima na ametoka mwaka jana tu hapo ila tunashukuru ameanza kurudi kwenye reli kimtindo na mkewe kaolewa huko mbele ya safari,maisha yanandelea.
HIVYO KUCHANGIA MADA,MKUU USILAMISHE KUKAA NA HAO VIUMBE UTAPATA HASARA KUU.
 
Mkuu ngoja nikusaidie kitu. Kwa hulka na aina ulivyoleta hii mada inaonesha kwamba u are a decent guy. Na maamuzi ulishayafanya siku nyingi ila umekosa mtu wa kukwambia kwamba je ni maamuzi sahihi au sio sahihi.

Sasa basi kwa kukusaidia tu maamuzi uliyoyafanya ni sahihi kwako na kwako wewe tu. Binadamu tumeumbwa kwa tabia hulka na makuzi tofauti. Maamuzi yako si lazima yawe sahihi kwa watu wengine au yafanane na inavyotaka jamii inayokuzunguka. Mimi niko hapa kukwambia kwamba umefanya maamuzi sahihi kulingana na case yako, haiba yako, tabia yako, mazingira yako na makuzi yako.

Uenda hujanielewa ila iko hivi, hayo mapicha picha ya mkeo hayajaanza leo, tena uenda yalikuwepo kipind mko kwenye mahusihano kabla hata ya kufunga ndoa yenu na uliamua kwa binafsi yako kuyavumilia na kusonga mbele mpaka ukamzalisha mkeo watoto wawili. In the long run mwanamke akakuchukulia poa, akakuona dhaifu na mpaka mwisho wa siku akakusidia kutamka kwamba muachanane maana kwa mtazamo wake anaona you are weak, you are not strong enough for her. Haujakizi vigezo anavyotaka. Hii isikupe shida maana hakuna mwanamke aliyekamilika. Na wanawake wenyewe hawajui wanataka nini kwa wanaume. Ni viumbe vigwugeu. Hutampa ambaye atafit exactly into your needs mkaishi maisha 'perfect' yaliyokamilika bila vikwazo. Hivyo yapaswa kupambana na ni mapambano kwel kwel ndo maana ata vitabu vya dini vinasema tuishi nao kwa akili.

To cut the story short ni kwamba maamuzi ulishayafanya long time. Na maamuzi hayo ni kuipambania familia yako na watoto wako. Hivyo basi fanya kila unaloweza kuipambania na kuiunganisha tena familia yako na watoto wako. Mungu akutangulie uweze kulifanikisha hili na awaunganishe tena, upate kupona haraka maradhi yanayokusumbua na awajalie maisha marefu mpaka uje uwaone wajukuu wako. Hata kama mwanamke hakutaki kwa sasa unaweza mpa kwanza, kaa mbali nae kwa muda, jipe likizo au vyoyote vile kimsingi pambana, tumia akili yoyote unayoweza tumia utimize lengo lako. Wanawake ni kama vinyonga wanabadilikabadilika pambana umrudishe kwenye mstari na Mungu akutangulie for the sake of your FAMILY.

Usiwasikilize wadau hapo juu wanaokushauri umuache mkeo. Usiwasilikize maana wewe moyo huo wa kumuacha mkeo huna. Sio uwezo bali moyo huo au roho hiyo ya kumpiga chini huna. Huwezi muacha maana kama kumuacha ungeshamuacha siku nyingi wala hauhitaji kupata ushauri toka kwa mtu yoyote zaidi yako wewe mwenyewe

Hivyo basi mrudishe mkeo kwenye mstari. Pambania ndoa na familia yako. Tengeneza tena mazingira muishi tena nyumba moja wewe watoto na mkeo kama FAMILIA. Utaacha wangapi, utaoa wangapi, wanawake almost wote ni walewale tu. Wanazidiana unafuu tu, hakuna aliyekamilika. Ukimuacha huyu hutokaa uje utulie na mwingine mark my words. The trend will be the same, kuoa na kuacha, kuoa na kuacha maana wanawake wote ni walewale tu.
You have invested alot, you have this much energy and time. Dont let life circumstances and misfortunes to distract you. Fight for her and the kids. You are a man.

'You have not came this far to come this far'

Hizi pesa zipo tu, umaarufu upo, lakini cha muhimu zaidi ni FAMILIA.
 
Back
Top Bottom