Ndoa yangu ina dalili za usaliti

Ndoa yangu ina dalili za usaliti

Wadau poleni na mihangaiko ya siku. Jamani kama kichwa cha habari kinavyojieleza naombeni ushauri plz

Juzi nilirudi home nikakuta mdada wa kazi chumbani kwangu akiwa na kanga moja wakati huo mr akiwa anaoga bafuni nilipo muhoji msichana alinijibu kuwa aliambiwa atandike kitanda na mr wangu,nilipo muuliza mr kwann yule binti yuko pale akanijibu alimletea sabuni, je hapa sijasaritiwa kweli?

Weee Moniccca, nimeshasema siku nyingi, na naomba nirudie kusema tena kwamba hili halituhusu kabisa. It is your own private business. Nendeni mkayamalize wenyewe. Tumechoka sasa kusoma habari zako. Mara shahawa zinakuunguza, yaani vurugu tupu.
 
ukidanganya usiwe msahaulifu,,,,kuna siku ulisema mmeachana na hutaki tena ndoa
Huyu ni mtunzi mzuri sana wa story, nikikumbuka kuanzia wakati wa shahawa zinazomuunguza ni chai tuuu mpaka sasa.
 
ushauri mzuri ila i dont think kama unamjua vizur huyu drama queen anaitwa monicca mama wa telemundo, sijui hii ni episode ya ngap ila namkumbusha amesahau alipoishia last time kuwa kaachana na mumewe sasa kumfumania huko tena vepee
Ni kwel kabisa labda yule mpya aliempata maana alidumu kwenye ndoa kwa mwez tu akasema imemshinda
 
Pole my dia
Piga moyo konde let it go ila ch kufanya huyo dada wa kazi rudisha kwao haraka hat kesho asubhi abebe virago vyake kwao mbigili haraka unless otherwise unafunga chatu ndani atakumeza mzim mzima!!usilie lie hapa sikuhz wanawake hatulii tunapambana na hawa viumbe so called wanaume wachepukaji
Usilete tena housegirl ,fanya kaz zako mwenyew,kama una mtoto mdogo pelka day care!!pikapakua,osha vyombo na kila kitu tupa sis watz tunajiendekeza eti msichana wa kazi uvivu tu umetujaa,mbona wazung hawana hzo mambo z mdada kukaa hapo home!!
FUKUZA KESHO ASUBH SHOSTITO
Unamjua Monica lakin mama?
 
Wadau poleni na mihangaiko ya siku. Jamani kama kichwa cha habari kinavyojieleza naombeni ushauri plz

Juzi nilirudi home nikakuta mdada wa kazi chumbani kwangu akiwa na kanga moja wakati huo mr akiwa anaoga bafuni nilipo muhoji msichana alinijibu kuwa aliambiwa atandike kitanda na mr wangu,nilipo muuliza mr kwann yule binti yuko pale akanijibu alimletea sabuni, je hapa sijasaritiwa kweli?
Pole sana. Siku zote msaliti hawezi kujisema hata umbane vipi lbd km una ushaid wa picha, video au uwakute live wanagegedana. Ila utagundua utofauti wa majibu.
Cha kufanya mpige marufuku housegirl wako kuingia chumban kwako na pia usimruhusu kufua nguo za ndani za mumeo, usafi wa chumban fanya mwenyew, kitanda tandika mwenye km nguo uwe unamtolea kbsa. Jitahid kuwa unafunga mlango pind unapotoka mumeo mpe funguo na ww uwe na funguo zako za chumbani. Ukiona anazid kukusumbua timua lete ugly face, na aliyekomaa mpaka uso.
Usaliti uanzia kweny vitu vidogo sana km vile kumruhusu beki 3kufua nguo za ndani za hubby wako km vile boxer, kutandika kitanda, kufanya usafi wa chumbani kwenu. Kiufupi kila kitu umemkabidhi housegirl. Mumeo akitoka kazini, anakula chakula cha housegirl, usafi beki 3, kufua nguo beki 3, kitanda katandika beki 3, agikeuka huku beki 3, akiangalia kule beki 3,
Ni hayo tu
 
Upo bibie monicca ulipotea sana mtaa huu, haya karibu tena.
 
Pole sana ndugu...house girl atafarakanisha ndoa yako...tafuta maid ambae ni over age ya mumeo ambaye havutii ili kumsaidia mumeo asitamani..ila kama hutaki ni sawa pia.
 
Hapo umeshasalitiwa lakini kausha kama vile hujaona ili uendelee kufaidi tunda. Ukileta hasira utaishia kuondoka mwenyewe na utamuacha house gal aendelee kujilia vya kwako taratiibu! Pole kwa kusalitiwa. Inauma lakini utafanyaje? Dunia ya leo 'kila mtu' msaliti...
Umeongea full Point kingz barikiwa sana
 
Back
Top Bottom