
Hahahah kwann mamy?Ila shoga angu umezidi uongo
Ukiona manyoya yamebaki , ujue kuku keshaliwaWadau poleni na mihangaiko ya siku. Jamani kama kichwa cha habari kinavyojieleza naombeni ushauri plz
Juzi nilirudi home nikakuta mdada wa kazi chumbani kwangu akiwa na kanga moja wakati huo mr akiwa anaoga bafuni nilipo muhoji msichana alinijibu kuwa aliambiwa atandike kitanda na mr wangu,nilipo muuliza mr kwann yule binti yuko pale akanijibu alimletea sabuni, je hapa sijasaritiwa kweli?
Naona ameufanyia kazi huu ushauriWewe una bahati ya mtende,house girl anakusaidia kazi nyeti,vinginevyo mme wako angeenda kuopoa mabwabwa nje akuletee ngoma,mnunulie zawadi huyo house girl ni lock ya nyeti za mmeo.
ushauri mzuri ila i dont think kama unamjua vizur huyu drama queen anaitwa monicca mama wa telemundo, sijui hii ni episode ya ngap ila namkumbusha amesahau alipoishia last time kuwa kaachana na mumewe sasa kumfumania huko tena vepeePole my dia
Piga moyo konde let it go ila ch kufanya huyo dada wa kazi rudisha kwao haraka hat kesho asubhi abebe virago vyake kwao mbigili haraka unless otherwise unafunga chatu ndani atakumeza mzim mzima!!usilie lie hapa sikuhz wanawake hatulii tunapambana na hawa viumbe so called wanaume wachepukaji
Usilete tena housegirl ,fanya kaz zako mwenyew,kama una mtoto mdogo pelka day care!!pikapakua,osha vyombo na kila kitu tupa sis watz tunajiendekeza eti msichana wa kazi uvivu tu umetujaa,mbona wazung hawana hzo mambo z mdada kukaa hapo home!!
FUKUZA KESHO ASUBH SHOSTITO
Heehushauri mzuri ila i dont think kama unamjua vizur huyu drama queen anaitwa monicca mama wa telemundo, sijui hii ni episode ya ngap ila namkumbusha amesahau alipoishia last time kuwa kaachana na mumewe sasa kumfumania huko tena vepee