Ndoa yangu ina dalili za usaliti

Ndoa yangu ina dalili za usaliti

Pole my dia
Piga moyo konde let it go ila ch kufanya huyo dada wa kazi rudisha kwao haraka hat kesho asubhi abebe virago vyake kwao mbigili haraka unless otherwise unafunga chatu ndani atakumeza mzim mzima!!usilie lie hapa sikuhz wanawake hatulii tunapambana na hawa viumbe so called wanaume wachepukaji
Usilete tena housegirl ,fanya kaz zako mwenyew,kama una mtoto mdogo pelka day care!!pikapakua,osha vyombo na kila kitu tupa sis watz tunajiendekeza eti msichana wa kazi uvivu tu umetujaa,mbona wazung hawana hzo mambo z mdada kukaa hapo home!!
FUKUZA KESHO ASUBH SHOSTITO
 
Mmh ...hapo bado unajiuriza kama haujasaritiwa jamani???
Hebu usijitie huerewiii shosti..
 
Umesalitiwa walaiii vile huo ni usaliti
 
Back
Top Bottom