Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,876
- 2,744
kwa hisani ya watu wa marekani, vunjeni ukimya ambao naona unaanza kuja baada ya uwazi wa muda mrefu. kwani hizo dawa zilikuwa nyingi kiasi gani? kama ni nyingi si angeanza kufa yeye? mbona wewe huwa unazinywa? kwani hujazinywa kwa muda gani? pia suala la kusema hataki mimba sasa hivi ni uzandiki. ndi omatatizo ya muunganiko wa kiserikali. mahusiano yenu yamekaa kiserikali zaidi. mmepanga bajeti ya wizara yenu mkaona kuwa ni finyu, sasa mnataka kukatili mambo mengine (uzazi) kisa kusingizia wife hana ajira. kaa nae vizuri kwani huyo ni mkeo na hata akipata mimba hakuna atakayewauliza