Gizelle Blanco azungumzia ndoa yake na mcheza ngono mwenzake Roman Nomar

DeepPond

JF-Expert Member
Nov 18, 2017
40,458
99,095
Mcheza filamu za ngono maarufu duniani Gizelle Blanco (miaka 23) aliyeoana mcheza ngono mwenzake Roman Nomar (miaka 48) july mwaka Jana amesema "Pamoja na furaha kubwa tuliyo nayo ndani ya ndoa yetu, Kuna kipind tunakua bize Sana na kazi hadi tunakosa Muda wa kufanya tendo la ndoa kwa sababu kila mmoja wetu Yuko bize sana na kazi yake"

Gizelle anasema kwamba alikutana na Ramon kwa Mara ya kwanza walipokutanishwa location kwa ajili ya kufanya kazi Pamoja. "Lilikua tukio la ajabu Sana kwetu sote Maana kipind chote cha kazi tulipata msisimko mkubwa Sana, Hakuna alieweza kutoa macho machoni mwa mwenzake, nilijisikia furaha Sana na baada ya kazi tulibadilishana namba na mahusiano yetu yakaanzia hapo moja kwa Moja mpk hivi Sasa tumefunga ndoa na tunaishi pamoja kama mume na MKE"

Pia Gizelle alipoulizwa faida na hasara za kuwa kwenye ndoa na mcheza ngono mwenzake alifafanua kama ifuatavyo "Nna furaha sana kua kwenye ndoa na mume anaeielewa na kuithamini kazi yangu maana mahusiano yetu tangu mwanzo yalijengwa tulipokutana kazini"

"Kuhusu changamoto Kuna mda tunahangaika Sana kupata Muda wa kufanya tendo la ndoa tunaukosa maana mume wangu Ni mchapakazi Sana. Kwa uzoefu na umaarufu wake kazini, basi Ratiba yake inakua imebanana Sana Kias kwamba mpk tukutane kufanya tendo la ndoa nakua nishasubiri sana"

Alipoulizwa khs hali ya wifu kwa aina ya kazi zao kwny mahusiano ya Akaongezea pia kwamba,
"Mahusiano yetu na kazi havihusiani kabisa na Hakuna mwenye wivu kwa mwenzie, kinachoangaliwa zaidi Ni kuheshimu msingi na taratibu za kazi. Kuna MDA nikiwa free akapata KAZI namsindikiza na nashuhudia live akiwa anafanya kazi.hatuna tatizo.

Naye pia akiwa free usogea nnapofanya kazi na saa nyingine yeye mwenyewe ndo unitafutia au kuniunganisha na kazi mbalimbali maana mume wangu yeye ni mzoefu sana kazini, ana connection kubwa, miaka 15 kazini sio mchezo namheshimu sana "

"Kwanza Kuna akiwa mbali kazini naenjoy na kupumzika maana kupenana nafas ktk mahusiano Ni Jambo la muhimu Sana ktk ustawi wa ndoa, siku tukikutana kila mmoja kammiss mwenzie Basi tunafurahia tendo"

Akaongezea pia,
"Ujue unapoongelea kupeana nafas ktk ndoa sio kitu Cha kipuuza hata kidogo kwa aina ya kazi zetu mm na mme wangu, Kuna MDA ndio natoka kazini morali iko juu namhitaji mwenzangu, Ila bahat mbaya unakuta mwenzangu nae Katoka kazini katumika sana, Kias kwamba kachoka sana,kakaukiwa sana au kachubuka Sana. Kwahiyo akinambia nimpe Nafasi namuelewa. Nami ikitokea namuelewa."

Alipoulizwa mipango ya kupata watoto ktk ndoa Yao, Gizelle alisema
"Watoto ndio wote tunataka, Tena mme wangu Ndo anawahitaji Sana na nikimuangalia namuona kweli keshajiandaa na naamini atakua baba mzur Sana wa wanangu Kwa namna TU nnavoona anaishi na watoto wa marehem Kaka yake. Ana upendo sana na watoto mme wangu"

Akaongezea pia kwamba, "Kiukweli linaniumiza Sana kichwa ila nmemwambia kwanza tusubiri, kiumri na kisanaa bado najiona mchanga Sana. Kwasasa nawekeza Nguvu zangu sana kwenye kazi na yeye analijua Hilo. Natamani kufanya kazi zenye ubora sana niwe maarufu sana na mzoefu zaidi kazini Kama alivyo mme wangu,muda ukifika tutazaa tu watoto"

Akaulizwa pia anazungumziaje suala la kushinda tuzo ya FANS CHOICE-SOCIAL MEDIA MOST BEAUTIFUL PUSSY Mara mbili mfulurizo 2021 na 2022. Afu kwenye Tuzo za AVN kashindwa kuchukua "most beautiful pussy in the world" kwa kua mshindi wa 3 mwaka 2021 na mshindi wa 5 mwaka 2022 akasema "Siwez kusema mengi khs tuzo ila jua suala la ushindi wa TUZO za AVN linategemea pande zote 3. Kura za Mashabiki, kura za wachezaji na kura za majaji hao wote ndo huamua mshindi wa jumla jumla. Kwaiyo ile tuzo ya fans choice naiheshimu sana na nashkuru sana kuona Mashabiki zangu wananikubali tangu nilivoingia kwny tasnia rasmi mwaka 2020. Changamoto kura za wachezaji na majaji hazikutosheleza."

Akaulizwa Khs suala la watoto Mashabiki zake wategemee lini akajibu
"Suala la watoto Kama nilivosema awali mniache kwanza nijenge Carrier yangu. Mume wangu ana miaka 15 kazini na hajazaa bado, Mimi hata miaka 5 kazini bado nishakimbilia kuzaa, ntakua wa ajabu sana"

Akaongezea pia,
"Mashabiki waniulize suala la kuzaa miaka 10 mbele kuanzia Sasa. Nataka nifanye kazi nzur dunia nzima inikubali nami nijizolee tuzo za AVN kama dada yangu ANGELA WHITE "

INTERVIEW IKAISHIA HAPO

My take: KUNA LA KUJIFUNZA HAPA

Chanzo: magazeti ya DAILYMAIL na DAILY STAR
2023-01-06-18-22-59.jpg
images-1160.jpg
 
Mkuu unanafasi yako upande wa kushoto wa mbingu kwa bwana Lucifer

Japo mm siijui nafasi yangu

Umetisha Sana mkuu
Mkuu
Sio hao TU walioona wenyewe kwa wenyewe kwenye tasnia.
Johny sinns alimuoa Kissa sins
Tera Patric kaolewa na Tony Acosta
Mia malkova kaolewa na Danny mountains
Asa Akira kaolewa na Tony ribas
 
Da nimejifumza kitu katika ndoa ,kuwa dont take thing just serious utakwisha

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa mkuu,
Haya mambo Unaweza kuona ya ajabu ila ndo mambo ya ndoa yanaenda.

Unakumbuka ile ya will Smith kuruhusu mkewe wa ndoa akachepuke kwa mwaka mmoja bila talaka na kijana mdogo afu baada ya hapo warudiane?

Na kweli ikawa hivyo mpk Sasa wamerudiana na wako pamoja wanalea watoto.
 
Kabisa mkuu,
Haya mambo Unaweza kuona ya ajabu ila ndo mambo ya ndoa yanaenda.

Unakumbuka ile ya will Smith kuruhusu mkewe wa ndoa akachepuke kwa mwaka mmoja bila talaka na kijana mdogo afu baada ya hapo warudiane?

Na kweli ikawa hivyo mpk Sasa wamerudiana na wako pamoja wanalea watoto.
Lengo lao hasa lilikuwa nini?
 
Wazungu wanaheshimu kazi zao safii sana, sema huku kwetu nikisanga mkeo apigwe mbupu live unaona hata kama ni pesa aseeh sikubaliiiii
Naomba ieleweke hawa wamekutana ni wa idara moja ndio maana wamekubaliana.

Mzungu havumiliagi usaliti hata punje.
Ukichepuka ujue ndoa imekufa...hasa Us
Mke akikushitaki umekwisha.

Kwa kifupi ni ndio wanaheshimu makubaliano na ndio yao ni ndio.

Ni binadamu bora sana katika uaminifu na kuheshimu makubaliano baina yao kwa 98%
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom