Ndoa yangu haina amani

Mkuu Liverpool VPN njoo umshauri jamaa

BTW anayewadanganyaga eti mke anaweza mlea mume ni nani?

Yaan kweli unaomba hela kwa mke ukaangalie mpira .....yaan bila aibu kabisa unaomba
Kawaida mbona kumuomba hela mkeo ila ni ile uliyompa wewe na sio anayoitafuta yeye
 
Wanawake wengi ni wabinafsi cha msingi wewe pambana urudi kwenye msitari
 
Wewe ndio Kidume sasa jamaa kazidi upole huyu
 
Kuhusiana na mkasa huu nitoe Tu Angalizo Kwa wanaume Usiruhusu mwanamke akajua uthaifu wako na pia kukuzoea na kujua kila movement yako hawafai kabisa mfano nzur ni Delila Na Samson
 
Kwanini ulikubali kufunga biashara na ndo kipato pekee?. Au sijakuelewa?.
 
Story kama hii sikia tu kwa mwenzio,pole sana mkuu kwa unayopitia,sio kwa nia mbaya lakini inaonesha wife ana mchepuko wake tayari anakutafutia sababu tu ya kuachana..
My Take:Achana nae kabla hajakuletea vituko vya wazi wazi
jamaa kaandika kwa hisia sana,namwelewa snaa
 
Pole Sana mkuu,, Huyo Mwanamke anataka wewe uondoke ili umuachie nyumba. Ameshaona umepoteza dira hivyo hana tena mapenzi na wewe. Naamini time heal,, ni suala la muda tu utakaa sawa kiuchumi. Nakushauri hata kama utaondoka akikisha nyumba haiuzwi. Ondoka kafanye Maisha mbele ya Safari ili upate furaha ya moyo.. Hana mapenzi nawe hivyo jipende mwenyewe. Usikimbilie kuoa kwa kuamini utapata amani ya Moyo. Wanawake karibu wengi wapo hivyo.. Tafuta pesa utaenjoy Maisha... Mimi yalinikuta kama yako lkn sasa hivi naenjoy tu sina haraka ya kuoa. Bata Kwanza
 
Kuna mzee mmoja alinambia
Mwanamke akikuzingua na kwenye mawazo yako unawaza kumuacha unachotakiwa kufanya ni kutekeleza kile ulichowaza Mara moja..!
Ukianza Panga Pangua Mwanamke atakuwahi na atakufanya mbaya.
Usikubali kuachwa na Mwanamke huo Ni mkosi Mwanaume anaacha haachwi.
 
Ushauri mzuri
 
You're a real man!
 

You’re very Right,Dingi yangu aliwahi kunipa ushauri kama huu.Yaani unaacha mtu kwanza,kisha una deal na consequences!..sio unajiuliza itakuwaje wakati hata maamuzi hujafanya!
 
Mwanamke akiamua kukunyanyasa utatamani ardhi ipasuke uingie .pole yatapita ila ujifunze sasa kwamba unaishi na adui ndani.
 
Nani alikwambia ndoa inaleta amani?
Mkiambiwa MSIOE HAMSIKII.

Sasa endeleeni kupigwa mijeredi.

#YNWA
 
Tatizo lenu mshaweka moyoni mwenu kuwa wanawake ndio kila kitu maishani mwenu. Na mtu yoyote akijua yeye ndio kila kitu kwako kwa nn asikiringie ....? Kwa Nini asikupeleke vile anataka.....?

Acheni ushamba ona Sasa Hadi mnataka kukimbia miji yenu


Mbona babu zenu waliwaweza Hawa viumbe nyie mnakwama wapi......?

Endeleeni kuwa entertain wawape show mbuzi nyie
 
Ndo maana Najisemeaga siku Zote mke wangu mimi atabaki kuwa mama wa Nyumbani yaani Sitakubali eti afanye kazi au Nimfungulie biashara, yaani umempa mtaji mwenyewe leo hii anajiona Mwamba na Unakosa amani kwa Pesa yako Mwenyewe daaah, Inakera sana

Kwangu mi atabaki kuwa mama wa Nyumbani yaani hilo lazima lifanyika na sio kinyume chake, ***** walah
 
Mkuu njoo inbox tuyajenge! Pole sana ni changamoto ndogo sana hyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…