Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 5,958
- 13,353
Mwanangu Hawa mabaharia HAWASIKII kabisaaa.Liverpool VPN njoo utie neno huku ..
Ngoja yawakute.
Kila siku tuna sisitiza MSIOEE ila mmmh HAWAELEWAGI KABISAA.
#YNWA
Mwanangu Hawa mabaharia HAWASIKII kabisaaa.Liverpool VPN njoo utie neno huku ..
Unaishi na MWIZI siyo mke.
anajenga kwa siri, shtuka kabla hujazikwa ukiwa hai.Wahesimiwa wa mmu, ndoa yangu ya mwaka mmoja inakaribia kuniua, ushauri wenu muhimu sana.
Huyu mwanamke nimejuana naye miaka miwili kabla sijaamua kumuoa, ingawa pia maamuzi ya kumuoa yaliharakishwa na kumpatia ujauzito akiwa mwaka wa pili chuo.
Matatizo sasa yanaanzia hapa:
1. Baada ya kumuoa katikati ya mwaka jana akiwa anakaribia kurudi chuo, aliamua kujifukuzisha chuo kimya kimya kwa kutoingia darasani. Ni mpaka mwaka huu mwanzoni ndo nilipojua ukweli, nikamsaheme nikifikiri ni mimba iliyomfanyia hivyo na nikamsaidia kuchaguliwa kwenye chaguzi za juzi hapa
2. Alianza tabia ya kuiba hela nazo rudi nazo nyumbani, hapa nikafikiri ni mdada wa kazi baada ya kumtimua lakini tabia ikaendelea. Hapa ilinilazimu niwe naficha hela kwenye gari.
Si akaja kugundua akaanza kuzifuata huko huko kwenye gari, sasa hapa nikawa nazificha sehemu ambazo asiye fundi hawezi zifikia. Hapa kunaujinga mwingi sana umefanyika mpaka ikafika yeye kukata hela ya chakula.
(Anabana hela ya chakula, chakula kina kata katikati ya wiki).
3. Wizi wa hela ya sadaka, hapa niliandaa hela ya sadaka ya shukrani, nikaiweka kwenye bahasha na tukaiombea, nikafunga bahasha na gundi. Kesho yake asubuhi tunaenda kanisani nikagundua bahasha ilifunguliwa na nusu ya hela imepigwa.
4. Kuna vitu vimeanza kutoweka nyumbani, begi kubwa la nguo, set za mapazia niliyonunua kwa bei kubwa, simu yangu ya ofisini (Naitumia mara chache, kwa shughuli za ofisi) na godoro dogo la chumba cha wageni. Nilivyoongea naye jana kuna kila ishara kuwa ameviuza.
Dah naombeni ushauri maana najiona kabisa kwenda kuua mtoto wa watu, maana sioni kitu anachokifanya na hizo hela zaidi ya nyumba kujaa makopo ya juice na soda.
Na hata hivyo ameanza uvivu, usafi kwake ni changamoto saa nyingine naogopa kwenda jikoni.
Kuna wengine anakuja getto unampikia akila vyombo anaacha havitoe wala kuviosha,anajirusha tu kwenye sofa kuendelea kuangalia muvi,takataka za namna hii mimi nazipotozeaga hapohapo.Kama ulidate na kuoa type ya hawa ninaokaa nao ghetto yani wanaloweka mashuka mpaka yanaoza wanayatupa, wanaosha vyombo wakitaka kupika kisha baada ya hapo wanakaa siku nne hawajaosha mpaka wakipika tena. Nakuhakikishia utaishia kumfurahia mkienda Kidimbwi tu. Sijui kushauri ndoa
Mnunulie mihogo amekumbuka mihogo ya chuoWahesimiwa wa mmu, ndoa yangu ya mwaka mmoja inakaribia kuniua, ushauri wenu muhimu sana.
Huyu mwanamke nimejuana naye miaka miwili kabla sijaamua kumuoa, ingawa pia maamuzi ya kumuoa yaliharakishwa na kumpatia ujauzito akiwa mwaka wa pili chuo.
Matatizo sasa yanaanzia hapa:
1. Baada ya kumuoa katikati ya mwaka jana akiwa anakaribia kurudi chuo, aliamua kujifukuzisha chuo kimya kimya kwa kutoingia darasani. Ni mpaka mwaka huu mwanzoni ndo nilipojua ukweli, nikamsaheme nikifikiri ni mimba iliyomfanyia hivyo na nikamsaidia kuchaguliwa kwenye chaguzi za juzi hapa
2. Alianza tabia ya kuiba hela nazo rudi nazo nyumbani, hapa nikafikiri ni mdada wa kazi baada ya kumtimua lakini tabia ikaendelea. Hapa ilinilazimu niwe naficha hela kwenye gari.
Si akaja kugundua akaanza kuzifuata huko huko kwenye gari, sasa hapa nikawa nazificha sehemu ambazo asiye fundi hawezi zifikia. Hapa kunaujinga mwingi sana umefanyika mpaka ikafika yeye kukata hela ya chakula.
(Anabana hela ya chakula, chakula kina kata katikati ya wiki).
3. Wizi wa hela ya sadaka, hapa niliandaa hela ya sadaka ya shukrani, nikaiweka kwenye bahasha na tukaiombea, nikafunga bahasha na gundi. Kesho yake asubuhi tunaenda kanisani nikagundua bahasha ilifunguliwa na nusu ya hela imepigwa.
4. Kuna vitu vimeanza kutoweka nyumbani, begi kubwa la nguo, set za mapazia niliyonunua kwa bei kubwa, simu yangu ya ofisini (Naitumia mara chache, kwa shughuli za ofisi) na godoro dogo la chumba cha wageni. Nilivyoongea naye jana kuna kila ishara kuwa ameviuza.
Dah naombeni ushauri maana najiona kabisa kwenda kuua mtoto wa watu, maana sioni kitu anachokifanya na hizo hela zaidi ya nyumba kujaa makopo ya juice na soda.
Na hata hivyo ameanza uvivu, usafi kwake ni changamoto saa nyingine naogopa kwenda jikoni.
😀😀😀Mkuu, umeoa mke au umeoa mwizi?
Huyo ni mdokozi kwa asili lakini pia tabia yako ya Ubahili wa kutompa hela inakuponza.
Atauza vyote. Vitu vya ndani vitaisha, itafuata gari kisha nyumba 😂😂😂. Baada ya hapo nguo zako alafu utabakia wewe na mtoto. Nani atangulie kuuzwa?
Bila kufumba macho ni wewe. Utauzwa abaki yeye na mtoto.
Kimbia Mkuu. Mtu asiye na soni hata ya kupunguza hela ya sadaka ni mtoto wa Lucifer tu.
Kimbia. Viatu vikikatika wewe kimbia, bora miiba kuliko kuuzwa. Kimbia Mkuu.
Chaguo lako ni kukimbia ama kuamua kumpa hela zote unazopata. Chagua kwa busara.
Wa hivyo unatakiwa uwaweke kando utawahitaji ukizidiwa maana hawatumii akili. Jana nilitoka na girl mmoja mpaka nikaona experience ya girl anayejielewa akakupenda na wazushi. Yani tofauti na dhamiri tunaziona ila sisi tunajitia ugumu wa kuchaguaKuna wengine anakuja getto unampikia akila vyombo anaacha havitoe wala kuviosha,anajirusha tu kwenye sofa kuendelea kuangalia muvi,takataka za namna hii mimi nazipotozeaga hapohapo.
Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
Hii ndiyo raha ya JF.
Anauzwa alafu bei ya kutupa. Auzwe na viatu? Mpaka afike hapo hana tena viatu.
Yamebakia malapa ya uani. Ndiyo mkuu akimbie nazo.