majiyachupa
Member
- Jul 5, 2011
- 57
- 11
.....wivu kidonda mwanamke
mange kaingiaje humu???
mange kaingiaje humu???
labda aolewe na lance wa mange kimavi manake anampaisha kila siku kama analipwa, mie natamani ningemuona mama ubaya akiwa ndani swimming costume tena bikini kama za hudda he he heeee tungeona mterepweto hizi nguo hizi zinafichaga mengi sana.
ile mihela ya kuhongwa anarushaga kwenye masteji angekwea pipa kwenda kuondoa michirizi hapo south na wala sio expensive ati anamaintain jina mume atakula loss kama lance hadi arudi class!