Ndoa ya Wema Sepetu imeishia wapi?

warumi

R I P
May 6, 2013
16,273
18,392
Sielewi jamani ndoa ya boss wetu iliyofungwa kwa mbwe mbwe zote, ambayo ata hivyo kanisa walilofungia na Huyo mume wake mpaka kesho imebaki kuwa tamthilia ya Isidingo.

Mama ubaya vipi? Au bado mpo honey moon?
 

Attachments

  • 1432740628632.jpg
    1432740628632.jpg
    31.7 KB · Views: 1,536
Malaya huwa haolewi hata siku moja. Yeye ni sawa na UDA kila mtu anapanda, hata siku moja huwezi kuta Mtu ananunua UDA iliyotumika kwenda kuitumia kwake ili iwe ya usafiri wa familia.
UDA zikizeeka hutupwaa vyuma Chakavu
 
Malaya huwa haolewi hata siku moja. Yeye ni sawa na UDA kila mtu anapanda, hata siku moja huwezi kuta Mtu ananunua UDA iliyotumika kwenda kuitumia kwake ili iwe ya usafiri wa familia.
UDA zikizeeka hutupwaa vyuma Chakavu

Imagine dada yako anaitwa majina kama haya ...

Watanzania tuwe na stara hata kama mtu anatabia mbaya si kumtukana hivi kisa upo nyuma ya id hakuna anayekufahamu
 
Imagine dada yako anaitwa majina kama haya ...

Watanzania tuwe na stara hata kama mtu anatabia mbaya si kumtukana hivi kisa upo nyuma ya id hakuna anayekufahamu

Kama ni tabia yake basi hakuna sababu ya kukasirika. Au we nae kuna ndugu yako ana hiyo tabia maana ulivyotetea....
Kwenye uovu tuseme ukweli
 
Imagine dada yako anaitwa majina kama haya ...

Watanzania tuwe na stara hata kama mtu anatabia mbaya si kumtukana hivi kisa upo nyuma ya id hakuna anayekufahamu

Kama ni tabia yake basi hakuna sababu ya kukasirika. Au we nae kuna ndugu yako ana hiyo tabia maana ulivyotetea....
Kwenye uovu tuseme ukweli
 
Imagine dada yako anaitwa majina kama haya ...

Watanzania tuwe na stara hata kama mtu anatabia mbaya si kumtukana hivi kisa upo nyuma ya id hakuna anayekufahamu

KAMa kweli ni dadaangu na anafanya umalaya hachaa aitwe tu coz ndio majina yatakayo mstahili hamna namna nyingine ..aitwe tu
 
Malaya huwa haolewi hata siku moja. Yeye ni sawa na UDA kila mtu anapanda, hata siku moja huwezi kuta Mtu ananunua UDA iliyotumika kwenda kuitumia kwake ili iwe ya usafiri wa familia.
UDA zikizeeka hutupwaa vyuma Chakavu

Kwani hamkuona shela jaman? Mwachen bibi harusi wa watu wivu huo
 
Imagine dada yako anaitwa majina kama haya ...

Watanzania tuwe na stara hata kama mtu anatabia mbaya si kumtukana hivi kisa upo nyuma ya id hakuna anayekufahamu

Msipoteze lengo jaman, ndoa vip? Hatuelewi
 
Kigezo cha umalaya kwa kigezo tulichozoea kinapimwa kwa idadi ya wanaume uliotembea nao (km ni mwanamke). Kwa mwanaume kwa idadi ya wanawake uliotembea nao. Ina mana Wema yeye ndo katembea na dunia nzima? Wewe wangapi umetembea nao au kwavile hujulikani? Inawezkna ukazidi idadi ya wema. Kwavile yeye ni matangazo
 
Tulichambw humu, majina yote tukaitwa ooh hayawi hayawi, mara wachawi wameumbuka, nashangaa sie wachawi bado tupo tuh ila malaika ndo wanaumbuka hadharan na ndoa fekero, watu wanapenda makubwa nyoo
 
Back
Top Bottom