Mstahiki Mea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 5,588
- 10,120
🇺🇬Wanaume nchini Uganda sasa wanaweza kuoa wake wengi kisheria, Mahakama ya Katiba imeamua.
✍Uamuzi huo umekuja baada ya Chama cha Wanawake Wanasheria (WPI) kupinga mila hiyo ya wanaume kuoa zaidi ya mwanamke mmoja. Kundi hilo la watetezi lilisema kuwa mitala inadhalilisha, inadhuru, na inabagua wanawake.
✍Hata hivyo, mahakama haikupata ushahidi wa kutosha kuunga mkono kesi hiyo.
🇺🇬Uamuzi huo umezua mjadala mkali kwenye mitandao ya kijamii, huku baadhi ya wanawake wa Uganda sasa wakitoa wito wa haki ya kuwa na wanaume wengi kama ambavyo wanawake wanaolewa wengi na mwanaume mmoja.
✍Uamuzi huo umekuja baada ya Chama cha Wanawake Wanasheria (WPI) kupinga mila hiyo ya wanaume kuoa zaidi ya mwanamke mmoja. Kundi hilo la watetezi lilisema kuwa mitala inadhalilisha, inadhuru, na inabagua wanawake.
✍Hata hivyo, mahakama haikupata ushahidi wa kutosha kuunga mkono kesi hiyo.
🇺🇬Uamuzi huo umezua mjadala mkali kwenye mitandao ya kijamii, huku baadhi ya wanawake wa Uganda sasa wakitoa wito wa haki ya kuwa na wanaume wengi kama ambavyo wanawake wanaolewa wengi na mwanaume mmoja.