Ndoa ya serikali V/s ndoa ya kanisani

Ndoa ya serikali V/s ndoa ya kanisani

daaaah, wadau nimejaribu kufuatilia majadiliano kimsingi naeza nikasema yote hivi, ila nazidi kupata kigugumizi hasa kwa aliyeleta mada hii kwamba kuna wanaomsapoti na pia kuna wanamhepa wakisisitiza ndoa ya kanisani, ila mimi kwa maoni yangu ni kwamba, hili jambo ni la watu wawili yaani wanaotaka kuingia ktk maisha ya mume na mke, na sasa kwa kuwa ni la watu wawili yan kama kilingana na maridhiano yao wawili ni kufunga cjui ya kidini wafunge tuu, kama ni ya kiserikali au kimila its ok wafunge tuu ilimradi wote wawili wameridhia huku Mungu wakimtanguliza mbele kwani Mungu sisi sote ni watoto wa kwake yeye na habagui na hata hivo mkisharidhia na kufunga ndoa na kuwa mke na mume, anayependa na asiyependa wote watabadilika na kuwa kitu kimoja yaan wanie mamoja iwe ni wazazi au ndugu wengine mana hakuna jinc tena kwan walioana cjui kidn , kiserikali au kimila wote wana ndoa tena halali na wao kama wao gurudumu la maisha liko mikononi mwao na si vinginevyo. niwapongeze wote kwa mjadala mzuri na wenye hekima na busara ndani yake na nimpongeze pia mwenye kuleta mada nimejifunza mengi. pamoja sana.
unamtetea mpagani kwa aliye mkristo kamili anaelewa ndoa ya bomani haitambuliki na hata kukomnika bado utakuwq mzinzi. watoto hawata batizwa kwasababu hamtambuliki kikanisa.
hivo utakuwa unafuga familia ya kipagani bila kujijua.
 
mi nazani ya serikalini pia itakua inahusisha dini kwa sababu kila mtu hua ana apa/swear kulingana na imani yake akiwa ameshika kitabu cha dini kama maraisi na majaji au viongozi wanavyofanya..sema kinachotofautisha na ndoa ya kanisa ni kwamba ya serikali inaweza fungisha ndoa kwa imani mbili tofauti na hamfanywi kuwa mwili mmoja nikimaanisha siku ya divorce kila mtu anabaki na chake..
ukija upande wa KIDINI ni kwamba lazima imani zenu zilandane na mnafanywa kuwa mwili mmoja na divorce ikitokea mnagawana mali pasu pasu bila kuangalia nani kanunua..
na kwa nchi ya TANZANI ndo za mkataba hakuna zipo za mahakama ambazo ni za milele sio kwamba ita dumu kwa miaka fulani..
kwa maana hiyo kma zote zinausisha kuswear kwa kutumia vitabu vya dini basi hkuna uzinzi hapo bali ni tendo la ndoa tuuh..
 
Mi ntafunga ya serikali maana ina masharti nafuu halafu hamna ngendembwe. Ndoa ya kikristu ni shida!
 
Habari !

Mie ni mkristo, ninataka kufunga ndoa. Ila taratibu za ufungaji wa ndoa zetu ni ndefu. Naomba kuelimishwa ama kujuzwa uhalali wa ndo za kiserikali kuhusiana na imani ya ki kristo.

Namaanisha, unapokua umefunga ndoa kanisani, unakua hauzini ila inakua halali kwako kukutana na mkeo au mumeo.

Nikifunga serikalini, kwasababu sio ya kidini nitakua nazini ama nayo inapokelewa na Mungu na kua halali kama hiyo ya kanisani?

Jioni njema.
Haina shida mnaenda kwa mwanasheria mnaapa na kuandikishiana mnapewa cheti chenu ndugu yangu anamuda miaka 40 ya ndoa hana shida kabisaa wanawatoto ma wajukuu sasa nawamefanikiwa sana katika life lao ila kwangu napenda sana ya kanisani couze huwezi achana .
Ila ya serikalini ni rahisi kutengua muda wowote ndoa at anytime someone wowote.
 
Haina shida mnaenda kwa mwanasheria mnaapa na kuandikishiana mnapewa cheti chenu ndugu yangu anamuda miaka 40 ya ndoa hana shida kabisaa wanawatoto ma wajukuu sasa nawamefanikiwa sana katika life lao ila kwangu napenda sana ya kanisani couze huwezi achana .
Ila ya serikalini ni rahisi kutengua muda wowote ndoa at anytime someone wowote.
Siku hizi unajitahidi kuandika vizuri
 
Back
Top Bottom