Ndoa ya Martha Mwaipaja haipo tena?

Kwani huyo mtalaka wake alokuwa mumewe ni kabila gani?

Kwani nae Mnyaki?

Maana nimejaribu kukumbuka ule uzi wa wanawake wenye asili ya mkoa wa Mbeya sifa zao kwenye mahusiano.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…