Mr mgeni
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 1,222
- 810
kwa maisha yetu ya kibongobongo mwanaume kumuoa mwanamke aliyemzidi elimu mmmm...hapo ndo mwanaume atakuwa kaolewa na kichwa cha familia atakuwa mwanamke PHD ninayoijua mimi c mchezo jaman,mtu wa STD 7 kumuongoza educated woman ni ngumu hata kama utakua ukitoa mawazo sahihi utakua hujiamin na utajishusha thaman hutaweza kuwa na kauli ya kumkontrol wife by the way awe STD7 na awe na mkwanja wa maana kumzidi wife hapo ataheshimika bt else hiyo ni tungo tata 4me