Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 13,709
- 23,117
Kama demu ana sura mbaya na katumika tumika sana itasaidia kuleta some sort of balance kwani kwa vyovyote vile na yeye atakuwa amepigika katika kutafuta husband so she wont let him go
Kulaleki hapa umecomment pamoja na mimi aise ungechelewa ningeshakuwahi.KAMA MWANAMAMA ANA USO KAMA UKOKO WA MAKANDE PHD YAKE LAMIMA ATAIWEKA PEMBENI.YAANI INAKUWA SARE SARE SIKU HUYU AKIROPOKA NIMEOANA NA WEWE KWA KUKUONEA HURUMA NA HAKO KA ELIMU KAKO KA LA 7 MWANAUME NAE ANAWEZA PAZA SAUTI MI MWENYEWE NIMEKUOA KWA KUKUONEA HURUMA HILO SURA LAKO KAMA JENERETA.SO ili amani iwepo lazima kila mtu ajione hana sababu ya kujiona yupo juu ya mwenzio na hapo hapo penzi la ukweli litafanyizwa kwenye mioyo yao.