kwa maisha yetu ya kibongobongo mwanaume kumuoa mwanamke aliyemzidi elimu mmmm...hapo ndo mwanaume atakuwa kaolewa na kichwa cha familia atakuwa mwanamke PHD ninayoijua mimi c mchezo jaman,mtu wa STD 7 kumuongoza educated woman ni ngumu hata kama utakua ukitoa mawazo sahihi utakua hujiamin na utajishusha thaman hutaweza kuwa na kauli ya kumkontrol wife by the way awe STD7 na awe na mkwanja wa maana kumzidi wife hapo ataheshimika bt else hiyo ni tungo tata 4me
tz hii?hebu nipe mchanganuo niridhike!anzia toka vidudu
Mpwa Neylu:Kupata PhD katika umri huo inawezekana tu,wengi wanapata hata ndani ya 20's.Nikupe mchanganua,Kwa mfano mtu awe amezaliwa tarehe:1.1.1981. Na awe amesoma Tanzania tena shule zetu za kata.(achana na zile international school ambazo watoto wanasoma mda mfupi na wanajijunga vyuo)
MCHANGANUO:-
Januari 1981-Desemba 1986=Kuzaliwa + Chekechea
Januari 1987-Desemba 1993=Shule ya msingi
Januari 1994-Desemba 1997=O'level
Julai 1998-May 2000=A' level
Septemba 2001-Julai 2004=Bachelor
September 2005- Julai 2008=Master
Septemba 2008-Julai 2012=PhD
Huo mchanganuo ni kwa mfumo wa elimu ya Tanzania wa zamani wa kutegemea sponsorship ya serikali ktk kulipiwa vyuo,Ila kama aliamua kujilipia mwenyewe chuo (bachelor degree) angeunganisha tu na kumaliza mapema zaidi (2010)
Mambo yanawezekana na watu wengi wamesoma kwa staili hiyo,Ila wazazi wakikuchelewesha kukuanzisha shule ya msingi au ukawa kilaza kurudia mwaka/miaka au ukipatwa na magonjwa na kusitisha masomo kwa muda, ndo hapo mtu anamaliza au kupata PhD akiwa na umri mkubwa sana.
Habari zenu wakuu. Naombeni mawazo yenu nimsaidie dada yangu maana yuko katika wakati mgumu wa kuamua.
Ni dada mwenye miaka 32, mtoto mmoja, elimu ya PHD. Amekutana na mwanaume, mfanya biashara wa kawaida tu, elimu std 7, anaemzidi kama miaka mitatu. Wanapendana na mwanaume amepropose anataka wafunge ndoa haraka iwezekanavyo. kinachomtatiza ndugu yangu ni kwamba anawasiwasi kuwa understanding capacity yao inaweza kuja kuwaletea shida huko baadae as wanaume wakioa wanawake wa aina hii kunakuwaga na inferiority complex fulani na mara nyingi hawachukulii vitu vingi kwa namna sawa. Kuna ambae ana uzoefu na jambo hili na wenye mawazo naomba tumsaidie ndugu yetu. natanguliza shukran
Kwasababu hii imesemwa na KE basi huu ndo utakuwa uhalisia.Mmmh PHD..STD 7!!!
Siku mapenzi yakipungua mwanaume atajutaa huko ndani, labda aombe apendwe daima na milele na mwanamke awe na busara za kutosha!!!!
watu wanasema pamenzi hayachagui... lakini tuwe wakweli, mapenzi yanachagua wa kufanana naye...Habari zenu wakuu. Naombeni mawazo yenu nimsaidie dada yangu maana yuko katika wakati mgumu wa kuamua.
Ni dada mwenye miaka 32, mtoto mmoja, elimu ya PHD. Amekutana na mwanaume, mfanya biashara wa kawaida tu, elimu std 7, anaemzidi kama miaka mitatu. Wanapendana na mwanaume amepropose anataka wafunge ndoa haraka iwezekanavyo. kinachomtatiza ndugu yangu ni kwamba anawasiwasi kuwa understanding capacity yao inaweza kuja kuwaletea shida huko baadae as wanaume wakioa wanawake wa aina hii kunakuwaga na inferiority complex fulani na mara nyingi hawachukulii vitu vingi kwa namna sawa. Kuna ambae ana uzoefu na jambo hili na wenye mawazo naomba tumsaidie ndugu yetu. natanguliza shukran
nyie mko dunia gani jameni? mimi ni mmojawapo. Ukimaliza degree ya kwanza na miaka 24, ukaanza masters na miaka 25 ukamaliza na miaka 27 ukaanza phd na miaka 29 utamaliza ukiwa na umri huo.
ni bora mwanamke akuzidi umri ila sio kipato na elimuHii itawezekana tu kama mwanamke ataiacha Ph.D yake mlangoni kila aingiapo nyumbani. Tofauti na hapo, misuguano haitaisha na ndoa itakuwa vurugu kwani mitazamo itakuwa imeachana sana.