Aaaaamen...Can I get an Aaaaaaamen, somebody π
Disko gan nimeenda dada?! Una risiti ya Mimi kwenda disko??Sasa maney panny hao unao kutana nao si walokole na we mwenyewe sio mlokole.. mlokole gani unaenda disko..
Kama unataka walokole wa kweli njoo church.
Haya unayo yaongea ni uzushi tuu, mbona malaya wanabinua vijno hadi mitaani na hawaolewi ?
Sinawahi sikia malalamiko kwa mwanaume yeyote labda matatizo mengine lakini sio huu uzushi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Njoo inbox nitakupeaAaaaamen...
Can I get your number..?
Nikubalie kwanza huku huku tukienda huko usije nigeuka..?Njoo inbox nitakupea
Defeated son of Man πππHizo lugha za mlima wa moto ni hatari kweli kweli. Anyway, nilikuwa najaribu kuona ni aina gani ya mtu najadili naye. Nitarudi
Sent from my SM-A720F using Tapatalk
Mwenye macho haambiwi tazamaNikubalie kwanza huku huku tukienda huko usije nigeuka..?
BarikiwaπHaina noma nimekusoma,nitatembelea huko soon
A we siji huko utanifanya mbuzi wa kafara sina hela sahivi mpaka korona iisheπMwenye macho haambiwi tazama
Unanifungulia Uzi Kwa lipi?! πππA we siji huko utanifanya mbuzi wa kafara sina hela sahivi mpaka korona iisheπ
Nisije kukufungulia uzi humu bure nikikufananisha na forex!!
Mi naakili kuwazidi haoπUnanifungulia Uzi Kwa lipi?! πππ
Wenye characters kama zako walishakujaga wakaangukia pua Kila wakipiga simu anapokea wasiemtegemea
Sasa hivi wananiheshimu wote na kuniita Madam au Dada Lao au Mama Laoππππππͺ
What for? Mimi sijadili na mtu mwenye lugha za kikahaba, labda nikufundishe tu. Andiko lako ni very empty wala halina mashiko tena ni jepesi tu kulichana chana. Baseless arguments based on fake assumptionsDefeated son of Man
Mkajipange upya waumini WA Mchungaji Gwajima
Hamkujua kuwa Injili ilianza kwetu Sisi akina Penny eee?!
Ilooooo umezodokaBye Ashes
Nina MARAFIKI laki 5 kwenye website yangu na wanaongezeka Kila sikuMi naakili kuwazidi haoπ
Ndio maana nikaona isiwe tabu..
Lakini nisingekutongoza hofu yako tu kwani hutaki rafiki..??
πππππππππNdoa zao ni za kichovu sana sana. Maigizo ni mengi.
Hata ukitaka kufanya unyumba, eti lazima bwana wa majeshi aulizwe kwanza.
IloooππππWhat for? Mimi sijadili na mtu mwenye lugha za kikahaba, labda nikufundishe tu. Andiko lako ni very empty wala halina mashiko tena ni jepesi tu kulichana chana. Baseless arguments based on fake assumptions
Sent from my SM-A720F using Tapatalk
Ndoa zao ni za kichovu sana sana. Maigizo ni mengi.
Hata ukitaka kufanya unyumba, eti lazima bwana wa majeshi aulizwe kwanza.
Tofauti ya rafiki mimi ni kuwa naweza kukula kimasihara ππNina MARAFIKI laki 5 kwenye website yangu na wanaongezeka Kila siku
Wewe hutokuwa WA 1 wala wamwisho
Ukoo WA Yesu Kristo
Hakuna aliejaribu akafaulu lakiniTofauti ya rafiki mimi ni kuwa naweza kukula kimasihara ππ
ππHakuna aliejaribu akafaulu lakini
Ndivyo nachojaribu kukueleza