Ndoa ya flora mbasha ni ya mfano

Ndoa ya flora mbasha ni ya mfano

Status
Not open for further replies.
Mleta mada tunawezamwita mchawi kwani baada ya mada tu maskendo yameanza.
 
Katika maisha tuna watu amabao tunawachukulia kama "role Model"kwangu mimi ndoa ya FLORA & EMMANUEL MBASHA ni ya kupigiwa mfano kwa jinsi wanavyopendana na wasivyokuwa na scandal pamoja na kuwa ni mastaa!! Sasa wapo kwenye ndoa zaidi ya miaka 12 lakini sijawahi kusikia scandal yoyote kuhusu wao. Mungu awabariki sana

Hii thread ama iliwekwa humu kwa lengo maalum au ilikuja kuleta nuksi
 
Katika maisha tuna watu amabao tunawachukulia kama "role Model"kwangu mimi ndoa ya FLORA & EMMANUEL MBASHA ni ya kupigiwa mfano kwa jinsi wanavyopendana na wasivyokuwa na scandal pamoja na kuwa ni mastaa!! Sasa wapo kwenye ndoa zaidi ya miaka 12 lakini sijawahi kusikia scandal yoyote kuhusu wao. Mungu awabariki sana
Sasa huo ndo tunaita unafiki!Yaani mara tu baada ya kusikia kuhusu kashfa ya Emmanuel Mbasha unakuja na thread kama hii?Ebu acheni unafiki usio na maana bwana!!!!!!
 
Katika maisha tuna watu amabao tunawachukulia kama "role Model"kwangu mimi ndoa ya FLORA & EMMANUEL MBASHA ni ya kupigiwa mfano kwa jinsi wanavyopendana na wasivyokuwa na scandal pamoja na kuwa ni mastaa!! Sasa wapo kwenye ndoa zaidi ya miaka 12 lakini sijawahi kusikia scandal yoyote kuhusu wao. Mungu awabariki sana

tayari yule mcheza show,checkbob na mume wa flora mbasha ana kashifa mbichi ya kumbaka shemejie.wewe uko wapi?.au umekuja kutupima?
 
Katika maisha tuna watu amabao tunawachukulia kama "role Model"kwangu mimi ndoa ya FLORA & EMMANUEL MBASHA ni ya kupigiwa mfano kwa jinsi wanavyopendana na wasivyokuwa na scandal pamoja na kuwa ni mastaa!! Sasa wapo kwenye ndoa zaidi ya miaka 12 lakini sijawahi kusikia scandal yoyote kuhusu wao. Mungu awabariki sana

Hawa mi nadhani ni mojawapo ya couples zinazopendeza sana Tanzania
 
umetumwa wewe. Hebu nenda kaulize habari zao kituo kidogo cha polisi tabata aroma kwanza ndipo uje hapa!
 
Katika maisha tuna watu amabao tunawachukulia kama "role Model"kwangu mimi ndoa ya FLORA & EMMANUEL MBASHA ni ya kupigiwa mfano kwa jinsi wanavyopendana na wasivyokuwa na scandal pamoja na kuwa ni mastaa!! Sasa wapo kwenye ndoa zaidi ya miaka 12 lakini sijawahi kusikia scandal yoyote kuhusu wao. Mungu awabariki sana

we nawe... utadhani uko katika mtihani wa lugha kingereza/kiswahili na umeambiwa uandike kinyume/opposite!
Au uko simiyu?
 
nimeangalia jina lako mleta hii habari nikafikiri na unachotaka kutuaminisha nikagindua umeiandika kipendwa zaidi!!
 
Haiwezekani kubakwa ndani ya gari! Walikubaliana kwa vile ulikuwa ni mtego.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom