Chipolopolo
JF-Expert Member
- Feb 14, 2012
- 1,432
- 746
- Thread starter
- #81
na ndoa za mashonga vipi mkuu? kunanchi zimeshapitisha sheria za kuoana watu wa jinsia moja
Hao waigizaji tu wa neno halisi ndoa mkuu
na ndoa za mashonga vipi mkuu? kunanchi zimeshapitisha sheria za kuoana watu wa jinsia moja
Hongera mkuu, naona ndoa yako ipo SUPA!
Soma tena kwa kituo ili unielewe sikuandika chochote kuhusu ndoa yangu na wala huna taarifa kwamba niko ndani ya ndoa au la.
aksante.
Tunapoongelea mpango wa Mungu kwa wanadamu, ndoa ya mashoga si halali. Na kunaa baaadhi ya maandiko aliliwekea swala hilo OLE....
na ndoa za mashonga vipi mkuu? kunanchi zimeshapitisha sheria za ruoana watu wa jinsia moja
is your wife/hubby (whom you chose willingly) your enemy??
Pamoja saaana kiongozi
Barikiwa Mkuu.
Nzowa Godat: Nimecheka.Jibu sahihi sana....Hizo tena ndio bonge la matatizo maana ni ndoa za WAGUMBA hawawezi kuzaa labda waibe mtoto wa mtu.
..labda yako na huyo mfaransa...kwangu huu ni msamiati mpya kabsaaaaa.....Marriage is the only war in which you sleep with the enemy-French Proverb. Kweli.Si kweli?