Lakini kuna ukweli ......ndoa sa ingine dah!
Marriage is the only war in which you sleep with the enemy-French Proverb. Kweli.Si kweli?
No, marriage is life imprisonment, you choose to serve it with love or hard labour
Ndoa ni muungano wa watu wawili wa jinsia tofauti waliopendana na kuamua kuishi pamoja for the rest of their life na ku share the FRUITS OF JOY, pamoja na mambo mengine. Siyo vita.
100% true coz hayupo anayeingia kwenye ndoa akitarajia partner wake anaweza kuja kuwa adui yake siku moja!!!!!!!!
Kuja kuijulia sasa ndio shughuli pevu!!!!!!! i mean kumpata ambaye at least mtaendana kwa kiasi fulani ni 2 marriages in 10!!!!!!!
Ndoa ni muungano wa watu wawili wa jinsia tofauti waliopendana na kuamua kuishi pamoja for the rest of their life na ku share the FRUITS OF JOY, pamoja na mambo mengine. Siyo vita.
Lakini kuna ukweli ......ndoa sa ingine dah!
bon a pres midi mon ami?
est que tu parle francais?
ngoja waje wenywe wanitoe baru hapa
Ni rahisi tu mbona...
Em nipe mbinu ndugu yangu maanake mi nishashindwa kumpata ambaye we share the same things.
:help::help😛leeeeeeeeeeseeeeeee.
Loading..................
Em nipe mbinu ndugu yangu maanake mi nishashindwa kumpata ambaye we share the same things.
:help::help😛leeeeeeeeeeseeeeeee.
nzuri ama mbaya?
Hahaha!!
Tafuta mtu ambaye atakuwa ni rafiki zaidi...
kumbe mambo yenyewe ya kizungu na mtu yenyewe mfaransa ..why should i african think of mzungu behaviours while we differ