huu ujumbe wako umeniingia vizuri kabisa akili mwangu.
Nalog off
Ndoa saa ingine ni jehanamu kuweni macho.
Naaaahhhhh! baadhi ya ndoa tu ndio vita na zipo nyingi tu ambazo ni kama wako bado kwenye honeymoon ukikutana nao kama huwajui utadhani wameoana wiki iliyopita hadi wanalishana hadharani.
Marriage is the only war in which you sleep with the enemy-French Proverb. Kweli.Si kweli?
Mara nyingi binadmu ufikiri kile kimsumbuacho..kama ni utafiti..basi fikiri in positive kuwa ndoa ni urafiki na aina ya maisha ambayo watu fulani wamechagua..yaweza kuwa tamu, chachu, strange, weird, vita n.k... Ni mfumo wa maisha...au game ambayo ninyi wenyewe mnapanga rules of engagement!
Naaaahhhhh! baadhi ya ndoa tu ndio vita na zipo nyingi tu ambazo ni kama wako bado kwenye honeymoon ukikutana nao kama huwajui utadhani wameoana wiki iliyopita hadi wanalishana hadharani.
Uko sahihi mkuu. Maisha ni kupanga. Kupanga ni kuchagua, sio?Tuko pamoja....
kwahiyo mkuu unaweza kupanga na kuchagua shida ktk maisha yako?
Kuna kitu kimoja mkuu hukijui; wanandoa ni wanafki kupita maelezo, ukiwaona njiani au kwenye kadamnasi ka watu utawatamani, lkn wakiwa faragha ni balaa, yaani bonge la vita.
Mkuu kila mtu angechagua raha.Hakuna apendaye shida....so tunapanga na kuchagua kuepuka shida!
Kuna kitu kimoja mkuu hukijui; wanandoa ni wanafki kupita maelezo, ukiwaona njiani au kwenye kadamnasi ka watu utawatamani, lkn wakiwa faragha ni balaa, yaani bonge la vita.
Ndoa ni muungano wa watu wawili wa jinsia tofauti waliopendana na kuamua kuishi pamoja for the rest of their life na ku share the FRUITS OF JOY, pamoja na mambo mengine. Siyo vita.
Si wanandoa wote wako hivyo banaaaaa!!!! Acha kuongeza chumvi!!! Wengine ni raha tupu wakiwa hadharani au faragha. Kuhitilafiana kimawazo hapa na pale haina maana ni bonge la vita kama unavyotaka kuonyesha.
Hongera mkuu, naona ndoa yako ipo SUPA!
hahahaaa! Mkuu nimekugongea "LIKE" kubwa!
na ndoa za mashonga vipi mkuu? kunanchi zimeshapitisha sheria za kuoana watu wa jinsia moja
inasemekana hakuna ndoa isiyo na shida, je wanaopanga kuoa/kuolewa hawa moja kwa moja wamechagua shida?
Si wanandoa wote wako hivyo banaaaaa!!!! Acha kuongeza chumvi!!! Wengine ni raha tupu wakiwa hadharani au faragha. Kuhitilafiana kimawazo hapa na pale haina maana ni bonge la vita kama unavyotaka kuonyesha.