Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,468
Marriage is the only war in which you sleep with the enemy-French Proverb. Kweli.Si kweli?
kweli japo sina uhakika.
Marriage is the only war in which you sleep with the enemy-French Proverb. Kweli.Si kweli?
kweli japo sina uhakika.
Ndoa ni muungano kati ya mwanamke na mwanamume kuishi pamoja kama mume na mke muda wote wa maisha yao. (Sheria ya ndoa mwaka 1971 kifungu cha 9).i) Wanaooana wawe wamekubaliana pasipo kulazimishwa na mtu.ii) Ndoa ni ya mwanamke na mwanamume.iii) Ni ndoa ya kudumu maishani
Ndoa ni muungano kati ya mwanamke na mwanamume kuishi pamoja kama mume na mke muda wote wa maisha yao. (Sheria ya ndoa mwaka 1971 kifungu cha 9).i) Wanaooana wawe wamekubaliana pasipo kulazimishwa na mtu.ii) Ndoa ni ya mwanamke na mwanamume.iii) Ni ndoa ya kudumu maishani
I think tha is what i said.
umeona eh! yaani inakuwa kama mchezo wa kuigiza.Lakini kuna ukweli ......ndoa sa ingine dah!
umeona eh! yaani inakuwa kama mchezo wa kuigiza.
Nalog off
live bila chenga kaka.Kweli mkuu marafiki hugeuka maadui kama Osama na Marekani walivogeukana!
live bila chenga kaka.
Nalog off
kazi mbona tunayo ndugu yangu.
Nalog off
Kuja kuijulia sasa ndio shughuli pevu!!!!!!! i mean kumpata ambaye at least mtaendana kwa kiasi fulani ni 2 marriages in 10!!!!!!!
Marriage is the only war in which you sleep with the enemy-French Proverb. Kweli.Si kweli?
ni kweli Blue G.. but la muhimu kama mhusika ulimpenda mwenyewe na hukulazimishwa kuna haja ya kulearn namna ya ku accomodate weakness zake lolz..
As kuishi kama mko vitani haitakutatulia tatizo lolz!
Sana tu mkuu waliosema ndoa ndoana hawakukosea...
niko mbioni kumwacha my wife wangu.
Nalog off