Ndoa ni Mr. Kuku aliyepambwa

Ndoa ni Mr. Kuku aliyepambwa

Top Gun

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2024
Posts
250
Reaction score
825
Kuanzia tu kwenye kusumbua watu na michango ya laki moja hadi kuanza kuishi kama mume na mke baada ya kuzoeana sasa kila mtu anaanza kuonesha rangi za kweli kuwa alikukubalia maana kwenu mna pesa au kuanza kuona makebo yake makubwa hayana maana tena.

Ni process iliojaa utapeli mkubwa.
 
Back
Top Bottom