Ndoa ni chuo

Ndoa ni chuo

Kuna nafasi nzuri sana ya kujifunza mambo mengi katika ndoa. Wanandoa unatakiwa kuwa tayari kujifunza.
Ndoa haiwezi kuimarika endapo kila mmoja kati ya wanandoa atang'ang'ania kubaki na misimamo yake aliyokuwa nayo kabla ya kuoana.

HAKUNA MWANAUME BORA DUNIANI AMBAYE ANGEFAA KUPIGIWA MFANO NA HIVYO KUPENDWA NA WANAWAKE WOTE DUNIANI

Kwasababu ni kinyume chake kwamba hakuna mwanamke ambaye atapendwa na wanaume wote inamaana kwamba endapo mmoja kati ya wanandoa atagundua kwamba ameoana na mtu mwenye tabia kinyume na alivyotarajia suluhisho sio kuachana bali kujifunza ili uendane naye.
Hii ndo maana ya kuita ndoa ni chuo.

Matunzo 02
Ngoja nichukue notes...
 
Bila kunafikiana kwenye ndoa hamfiki mahali

Marriage is scam.
Ulikua unasubiri admission letter hatimae umesha fanya a complete registration with direct cost hatimae ni member wa PINGA NDOA 😂😂😂
 
Ulikua unasubiri admission letter hatimae umesha fanya a complete registration with direct cost hatimae ni member wa PINGA NDOA 😂😂😂
Hapana mimi niko mguu moja ndani mwingine nje, anything can happen 😎
 
Back
Top Bottom