lost files
JF-Expert Member
- Apr 17, 2025
- 841
- 2,528
Ndoa ni kwaajili ya watu wenye emotional maturity and self awareness,zaidi ya hapo it can't work..
Yangu itakuwa ni unique na funzo kwa wengine BWANA anibless tu! nimpate aliye sahihi.usimtukane mamba kabla hujavuka mto unachoabiwa wewe ni kama ganda la nje tu ila ndani yao kuna mambo makubwa yanayofanya waachane
Asante mtumishi.Kuna nafasi nzuri sana ya kujifunza mambo mengi katika ndoa. Wanandoa unatakiwa kuwa tayari kujifunza.
Ndoa haiwezi kuimarika endapo kila mmoja kati ya wanandoa atang'ang'ania kubaki na misimamo yake aliyokuwa nayo kabla ya kuoana.
HAKUNA MWANAUME BORA DUNIANI AMBAYE ANGEFAA KUPIGIWA MFANO NA HIVYO KUPENDWA NA WANAWAKE WOTE DUNIANI
Kwasababu ni kinyume chake kwamba hakuna mwanamke ambaye atapendwa na wanaume wote inamaana kwamba endapo mmoja kati ya wanandoa atagundua kwamba ameoana na mtu mwenye tabia kinyume na alivyotarajia suluhisho sio kuachana bali kujifunza ili uendane naye.
Hii ndo maana ya kuita ndoa ni chuo.
Matunzo 02
Olewa kwanzaBila kunafikiana kwenye ndoa hamfiki mahali
Marriage is scam.
ameeenYangu itakuwa ni unique na funzo kwa wengine BWANA anibless tu! nimpate aliye sahihi.
Kuna siku nilikwambia sijaolewa?Olewa kwanza
kwenye ile namba utapanga sana folen maana wanatuma wengi wew subili ulete kanisan tuAsante mtumishi.
Sadaka tutume kwenye namba ile ile?
Bila kunafikiana kwenye ndoa hamfiki mahali
Marriage is scam.
Mkuu...inawezekana pia bila uzuzu!Ndoa ili ifanye kazi, lazima mmoja ajifanye zuzu.
Kabisa!🤝🏽Ndoa ili ifanye kazi, lazima mmoja ajifanye zuzu. 😊
Uliona wapiMkuu...inawezekana pia bila uzuzu!
Mkuu...inawezekana pia bila uzuzu!
kumbuka kuna wachache wanaenjoy kwenye ndoa zikifutwa mtawakatiliKwa maisha ya sasa ndoa ni kitu outdated kama katiba yetu......hakiendani kabisa na maisha ya sasa.
Ndoa zifutwe
MKUU Mkiwa wa kiroho indeed wote inawezekana...Wote mkiwa haambiliki, ndoa haiwezi kusonga. Lazima mmoja aweke kichwa chini na huyu mwingine afanye "check-and-balance".
kwa wazee wa kitambo mkuu...Uliona wapi
MKUU Mkiwa wa kiroho indeed wote inawezekana...
Baba pastor vs mama pastor! mkuu hapa wema na fadhili zitatufuata siku zote za maisha yetu!Mkishakuwa wa kiroho, tayari hapo mshaamua kuweka akili zenu pembeni. Hapo ndoa itafanya kazi mkuu.
Hapo sipingi kabisa.
Sawa karirikwa wazee wa kitambo mkuu...
Baba pastor vs mama pastor! mkuu hapa wema na fadhili zitatufuata siku zote za maisha yetu!