Ndoa ndoano

Ndoa ndoano

Njia sahihi he can do ni kwenda kutoa taarifa kwa dhehebu lililomfungia hiyo harusi wamwite mkewe wamhoji kulikoni. Majibu yatakayopatikana kama mke hatakubali kumrudia mumewe ni kuvunja ndoa yao.

Plan B ni kuwafanyizia kitu mbaya mkewe na mume mwenzie.
 
Mwanamke kafanya analysis kagundua mwalimu anamfikisha kunakotakiwa hapo kwa nini ndoa isivunjike
 
Dunia hii ya sasa imeharibika...

Wapo wazazi wanaowatafuna watoto wao...

Wapo wanaume wanaobong'oa makalio yao...

Na wapo kama hawa wanaoumiza mioyo ya wenzao kwa usaliti...
 
Mwanamke kafanya analysis kagundua mwalimu anamfikisha kunakotakiwa hapo kwa nini ndoa isivunjike

hakuna kitu, ni penzi changa tu hilo ndio linamzuzua. Akizoea ataona yote yanafanana hakuna jipya.
Na hapo ndio atajutia ndoa yake na kujikuta keshachelewa
 
Nimesoma mara ya kwanza sijaelewa...ikabidi nione comment za wenzangu kwanza labda ntapata point...nimerudia tena zaidi ya mara tatu sijaelewa nisije nikapasuka kichwa bure ngoja nipite hivi....

kumbe tupo wengi ambao hatujaelewa
 
Back
Top Bottom