Ndoa ndoano

Ndoa ndoano

tumeaambiwa tusihukumu tusije hukumiwa. Ila kubali usikubali ni kosa la la wazazi na jamii kwa huyo binti. Uliza wengi wenu mnavyopata stress ukitimiza miaka 25 bila kuchumbiwa.
asante kwa kuelewa dea ndo hivyohivyo
 
Sasa ukitaka kuangalia huyu bint kwa nini alikubali ndoa wakati jamaa hampendi ,yaan ni huruma harusi ya kifahar,na imekost 25 million ,kampotezea tu muda
 
Nimesoma mara ya kwanza sijaelewa...ikabidi nione comment za wenzangu kwanza labda ntapata point...nimerudia tena zaidi ya mara tatu sijaelewa nisije nikapasuka kichwa bure ngoja nipite hivi....

Dogo anajifunza kutunga hadithi na machombezo ili aajiriwe na Shigongo
 
Sasa ukitaka kuangalia huyu bint kwa nini alikubali ndoa wakati jamaa hampendi ,yaan ni huruma harusi ya kifahar,na imekost 25 million ,kampotezea tu muda
Acha tu hayajakukuta bibie. Wewe unampenda kidumu (ameoa) lakini wazazi wako wanakung'ang'aniza utafute kijana ufunge ndoa. Si ajabu walimtafutia akakubali kuliwa k ya siku hizo tatu kwa gharama ya 25M akasepa kwa moyo uliomdondokea. Wa kulaumiwa ni Wazazi hapo
 
Mm nimewahi kuja kuagwa na my X gf three days after her wedding nikapewa mambo matamu balaa....wanawake hawa nyie waacheni tu!
 
Nimesoma mara ya kwanza sijaelewa...ikabidi nione comment za wenzangu kwanza labda ntapata point...nimerudia tena zaidi ya mara tatu sijaelewa nisije nikapasuka kichwa bure ngoja nipite hivi....

Pole sana , nakushauri upumzike usije jiumiza kichwa bure kwa kosa la mwingine .
 
Kuna cha kushauriwa tena hapo????
Muoaji awahi kanisani kuvunja ndoa

Halafu huu ushujaa wa kuoa wanawake wa wenzenu mmeutoa wapi???
 
Ifike wakati tuheshimi mawazo ya mtu, maadamu hajatoa mtu Roho hakuna tatizo. Maana mambo ya mapenzi ktk nchi nyingi za kiafrika na "Ulozi" inatumika. Labda "Kidumu" kimemwedea kwa BABU hajui alifanyalo.
 
Back
Top Bottom