NDOA NDOANO changamoto, ushauri, faraja

Holly Star

JF-Expert Member
Aug 25, 2018
4,316
8,013
Siku hizi ndo zimekuwa jehanam ndogo, wanandoa wanaishi kwa unafiki mkubwa, wengi wao hawapendani.

Wamo kwenye ndoa ila unakuta kila mmoja ana mchepuko nje ambao either anautimizia kila kitu kuliko hata mke wake, ama anawajibika kumpikia, kumfulia na kumfanyia kila kitu kuliko hata mume.

Utakuta ndoa nyingi mke hampi haki yake mume wake hata miezi 4 ila mchepuko anapewa kila akihitaji.

Uzi huu utashauri, kufariji ama kuleta suluhu katika changamoto mbalimbali.

Tupatie changamoto yako nasi tutakupa ushauri mzuri kuweza kuimaliza. Watoto wadogo hawaruhusiwi kuleta comment zao humu. Watu wa mizaha nawasihi mpite mbali na uzi huu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku hizi ndo zimekuwa jehanam ndogo, wanandoa wanaishi kwa unafiki mkubwa, wengi wao hawapendani. Wamo kwenye ndoa ila unakuta kila mmoja ana mchepuko nje ambao either anautimizia kila kitu kuliko hata mke wake, ama anawajibika kumpikia, kumfulia na kumfanyia kila kitu kuliko hata mume. Utakuta ndoa nyingi mke hampi haki yake mume wake hata miezi 4 ila mchepuko anapewa kila akihitaji. Uzi huu utashauri, kufariji ama kuleta suluhu katika changamoto mbalimbali. Tupatie changamoto yako nasi tutakupa ushauri mzuri kuweza kuimaliza. Watoto wadogo hawaruhusiwi kuleta comment zao humu. Watu wa mizaha nawasihi mpite mbali na uzi huu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi ndo inavyokuwaga usiku wakati watoto wamelala ndani wenye faamilia ndo huwa wanasuguana kwa maneno magumu magumu. Usiku unakuwa mkubwa sana
tapatalk_1580923658808.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mke aninyime unyumba alafu aendelee kukaa kwangu? Huyo ni mwanaume au kaolewa! Kutoa unyumba ni lazima na ndo sharti kuu mwanamke kulitimiza!
 
Watu wanafunga ndoa bila kujuana vizuri kitabia.Hii inatokana na baadhi yao kuficha tabia zao halisi wakati wa uchumba na wakishaingia kwenye ndoa ndo huonyesha tabia zao halisi.Ushauri kuwe na ndoa za mkataba hili mambo yakienda ndivyo sivyo kila mtu achukue hamsini zake.Uwekwe utaratibu jinsi watoto wataishije mara mkataba utakapoisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Oa au olewa na rafiki yako! Mnayejuana vyema, mnayeelewana!

Tabu huja pale unapokutana na handsome ghafa, ana hela au unakutana na demu ana kalio na ushepu! Mwezi mmoja unatangaza ndoa, matokeo yake ni tabu ndani ya ndoa!

Mie mke wangu, ni rafiki, ni swahiba, ni msikaji, ni best furend kabla na baada ya ndoa!

Namshukuru Mungu kwa kweli!
 
Oa au olewa na rafiki yako! Mnayejuana vyema, mnayeelewana!

Tabu huja pale unapokutana na handsome ghafa, ana hela au unakutana na demu ana kalio na ushepu! Mwezi mmoja unatangaza ndoa, matokeo yake ni tabu ndani ya ndoa!

Mie mke wangu, ni rafiki, ni swahiba, ni msikaji, ni best furend kabla na baada ya ndoa!

Namshukuru Mungu kwa kweli!


Umri wa ndoa yenu ni muda gani?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yule rafiki yako kipenzi wa jinsia ingine anayekufichia siri! Oa, huyo ndiyo mkeo au Olewa nae huyo ndiyo mumeo! Imeisha hiyooo
Je kiuhalisia kila mtu anaye huyu mtu maishani mwake?i mean kila mtu ana rafiki mzuri kiasi hicho?
 
Ki msingi wanawake huanza kusumbua akijifungua anaanza kukupangia mgegedo inamaana mnagawana na dogo, wakifika 2 ndo kabisaaaaaaaa. Kila siku kachoka utashangaa mkiingia kulala dogo ndo anawekwa kati yeye end hii wewe end hii. Ukianza kumgusa mtoto anaamshwa kanaanza kunyonyeshwa. Au unaambiwa mtoto hajalala. Mabaharia huwa tunajichanganya mtaani then mtoto unamchongea kitanďa chake na mama yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pasiwepo ndoa hizo kwa sababu mizinguo.jambo la msingi mtu asioneshe kama anamtaka fulani kindoa kwani hilo litamfanya anaetakiwa kujipamba vizuri kitabia na kuigiza ili amvute yule mtu.

Mwanaume winda kimya kimya utapata mnyama sahihi umtakae,usiwe na kelele kutafuta mchumba.eti mtu unakaa na mwanamke na mwanamke anajua kwamba hapa nachunguzwa ili kama nafaa niolewe.hivi mwanamke gani ataonesha tabia chafu hapo? Atakuigizia mpaka ukome na ukiingia kingi kuoa umekwisha.

Ndoa anaeweza kuidumisha ni mwanamke.

Mwanamke akiwa malaya kwa mumewe na kuwa mtundu na asiwe kidomodomo mwanaume hatakubali kumuacha mwanamke huyo.

Mwanaume akiwa mstaarabu asiyenuna nuna na kuwa mkali basi mwanamke atafurahi.


Ndoa ili idumu kila mwanandoa anatakiwa atathmini ni tabia zipi ambazo mara nyingi huvunja mahusiano basi waziepuke.

Ndoa haitaki maigizo ishini nyinyi kama nyinyi.

Mimi na mke wangu tunaweza kukaa ndani siku nzima humo tunapiga stori tu za hapa na pale na kucheka tunasahau hasa kama mtu na mumewe tunakuwa marafiki,kwa mke wangu nakuwa huru kupiga kila aina ya stori.

Namchokoza makusudi na kumsumbua.kuna wakati mwanamke sio atakumbuka mazuri na utulivu wako,bali wakati ungine hukumbuka vituko na viuchokozi wako

Habari za kupiga stori za kupendana tu kila mda uongo bwana.ndoa inatakiwa asilimia 70 ni urafiki na zinazobaki ni mtu na mkewe.

Mume kumsaidia mke kazi huo ni urafiki ukivaa vazi la mume utakaaje jikoni bwana,ila ukivaa vazi la urafiki utakaa nae jikoni na mkasaidiana kupika.ila tunaona watu na marafiki zao wanavyosaidiana,kwa nini usimsaidie mkeo huyo ni kama rafiki na zaidi.

Ndoa haina kuiga bongo muvi taniana na mkeo kama washkaji hivi lazima muwe na kibwagizo chenu sio kama baba na mtoto wake hakuna kucheka.

Wanaume tuwe tunatabia ya japokuandaa vispeech mara moja moja ukimsifia mkeo juu ya jambo fulani zuri alilofanya kwako ili aone kuwa unamrespect aisee.

Ndoa haitaki wivu wa kifala wa kuchunguzana simu.

Wife namuachia simu anasoma meseji za magroup yangu na mimi ananiachia simu nasoma za magroup yake na ananiachia (sio lazima uige)

Kiufupi ndoa hasa kwa zama zetu ona kama yule ni rafiki yako.
Watu wanafunga ndoa bila kujuana vizuri kitabia.Hii inatokana na baadhi yao kuficha tabia zao halisi wakati wa uchumba na wakishaingia kwenye ndoa ndo huonyesha tabia zao halisi.Ushauri kuwe na ndoa za mkataba hili mambo yakienda ndivyo sivyo kila mtu achukue hamsini zake.Uwekwe utaratibu jinsi watoto wataishije mara mkataba utakapoisha.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom