mafinyofinyo
JF-Expert Member
- Nov 29, 2012
- 4,398
- 3,252
Kakate tuu maana hamna namna!
ulipomaliza tu nikagundua kuwa ww ni msukuma ila mkuu kaondoe hiyo ki2 itakuepusha na magonjwa mengi tu
Nimezaliwa katika jamii ya wafugaji
Utamaduni wa jamii yangu hapakuwa na mtu aitwae Ngariba
Makuzi yangu hayakuwahi kunifahamisha kuwa binadamu akisha zaliwa kuna fundi ambae uyarekebisha maumbile sahihi ya Mungu kwa kudondosha Mkono wa Sweta..
Elimu yangu ya kidato cha kwanza pale Milambo secondary ilikutanisha na viumbe wa sayari nyingine kabisa katika maisha yangu hasa pale tulipojumuika bafuni kila mmoja alinishangaa Mimi kwa jinsi sehem zangu siri zilivyokuwa
Mbali na kunishangaa wengine walinikebehi kwa kuniita jina baya la mzee wa Zunga..
Jambo la kuonekana wa pekee pale shuleni mwanzoni lilinikera sana hadi siku moja niliporudi likizo nilitaka kuacha kurudi school kutokana na kebehi za wadau wa pale shule...
Japo nilikuwa na uhakika katika masomo yangu pale shuleni sababu wale walionikebehi darasani waliniomba msaada maana uwezo wa kielemu haukujari Jando au kutokwenda Jando..
Baada ya kuhitimu form four matokeo yalipotoka nilikuwa nimepangwa shule ya secondary Pugu ni rafiki yangu chacha ndio tuliofanikiwa kujiunga nae pale Pugu secondary kwa masomo ya kidato cha tano
Japo tatizo langu lakuwa na mkono wa sweta nilikwisha lizoea sikujari chochote lakini sikuhitaji kadhia ya kidato cha kwanza nililazimika kuoga peke yangu siku zote ili my secret isivuje daima..
Siku moja nikiwa mtaa wa msimbazi nilimsikia bwana mmoja akiuza dawa ya Nguvu za kiume na kutokana na matangazo yake nilivutiwa na kumsogerea baada ya kuelewa kile alichokuwa anahubiri nilijenga hisia moyoni nakuamini kuwa mtu akidondosha mkono wa sweta basi Nguvu zake za kiume zinapotea.
Sikutamani milele kufanyiwa tendo hili kwanza nilianza kuwaona wale waliofanyiwa kama wakosefu mbele za mungu sababu tendo lao nilihisi lilikuwa ni tendo la kumdharau mungu kwa kuondoa sehemu ya uumbaji wake
Nilijiamini nakujiapisha kuwa endapo ningekufa na ukamilifu wangu mungu angeniteua katika kuwaadhibu wale waliopunguza kile alichowatunuku katika miili yao
Siku moja nikiwa likizo nilianzisha mada mbele ya kaka zangu kuhusu vijana wa mjini na tabia yao yakukata sehem ya mwili wao eti ndio twahara
Kaka zangu waliwacheka sana wakaniambia mtu anae kata hizo sehem anakuwa mswahili na waswahili hupenda kukutana Sana na wanawake lakini Nguvu zao zinakuwa ndogo kwa sababu ya wao kutoa ile ngozi ndipo nilipomkumbuka yule tabibu wa mtaa wa msimbazi na dawa zake za Nguvu za kiume..
Hakika kutokudondosha mkono wa sweta kulinifanya kuwaogopa wasichana niliowapenda hasa baada yakukutana na baadhi ya warembo wa fikra zangu nao baada ya kugundua udhaifu wangu wengine walinigomea kuduu nao na hata wengine kunitoroka ktk vyumba gest baada ya Mimi kuwaonyesha urijari wangu wakutunza tunu ya Manani.
Umri wangu wakuoa ulikuwa ukikimbia kwa kasi huku binti wakukubali umbile langu la mkono wa sweta nikiwa simpati japo niliwapata mabinti walevi wao hawakujari Bali walijari pesa na pombe lakini nilipo warudia Mara ya pili waliishia kunidharili sikuweza kuwatamani tena mabinti wa mjini
Nirudi kijijini nakuwaeleza wazazi juu ya dhamira yangu ya kuoa pale kijijini hakuna binti ambae angenikatalia kwa hadhi niliyokuwa nayo kila familia ilinijua kutokana na usomi wangu
Nilikuwa mtu maridadi nikivaa suti za bei japo usingeweza kujua ustarabu wangu niliouhifadhi katika suruali yangu ya gharama
Baada ya juhudi za familia yangu nilibahatika kumpata binti wakijiji cha jirani baba alipeleka mahari ya ngombe 30 ndipo nilipo kabidhiwa mke
Mwanzoni mke wangu hakujari Mimi kuwa katika hali ile lakini baada ya miaka sita ya ndoa mke wangu alianza kudai kuwa na mkera kwa kuwa Mimi Nina mkono wa sweta
Kwa kuwa jamii yetu mwanaume hakusifiwa kwa kudondosha mkono wa sweta niliamini kuwa mke wangu alikuwa amempata mswahili na kumuonjesha iliomenywa
Japo sikumwambia hisia zangu lakini kadri siku zilivyo kwenda tendo la ndoa kwangu nilianza kulisoma kwenye magazeti nilijitahidi kumuasa mke wangu kuhusu tabia yake hiyo lakini haikuwa rahisi kunielewa na hatimae aliondoka nakuniambia kama nampenda nikadondoshe mkono wa sweta..
Kwa umri wangu huu miaka 48 naona ni kujidharilisha mbele ya Dr
Kiukweli napata shida sana katika hisia zangu naamini kupitia Uzi huu kuna wadau ambao nao walichelewa kushusha japo wengi Huduma hiyo uipata kutoka kwa walezi wao hadi wanakuwa watu wazima hawajui nini kilifanyika hadi wakawa hivyo lakini naamini kuna idadi kubwa tu ya watu ambao wanaishi kwa mfano wangu je nao nini ambacho ukumbana nacho
By R.Nzagamba
Hongera sana...ningekuwa single ningekutafuta.
love thé love or hâte thé love.....
Pole sana mkuu kwa kadhia unayokumbana nayo.
Nimezaliwa katika jamii ya wafugaji
Utamaduni wa jamii yangu hapakuwa na mtu aitwae Ngariba
Makuzi yangu hayakuwahi kunifahamisha kuwa binadamu akisha zaliwa kuna fundi ambae uyarekebisha maumbile sahihi ya Mungu kwa kudondosha Mkono wa Sweta..
Elimu yangu ya kidato cha kwanza pale Milambo secondary ilikutanisha na viumbe wa sayari nyingine kabisa katika maisha yangu hasa pale tulipojumuika bafuni kila mmoja alinishangaa Mimi kwa jinsi sehem zangu siri zilivyokuwa
Mbali na kunishangaa wengine walinikebehi kwa kuniita jina baya la mzee wa Zunga..
Jambo la kuonekana wa pekee pale shuleni mwanzoni lilinikera sana hadi siku moja niliporudi likizo nilitaka kuacha kurudi school kutokana na kebehi za wadau wa pale shule...
Japo nilikuwa na uhakika katika masomo yangu pale shuleni sababu wale walionikebehi darasani waliniomba msaada maana uwezo wa kielemu haukujari Jando au kutokwenda Jando..
Baada ya kuhitimu form four matokeo yalipotoka nilikuwa nimepangwa shule ya secondary Pugu ni rafiki yangu chacha ndio tuliofanikiwa kujiunga nae pale Pugu secondary kwa masomo ya kidato cha tano
Japo tatizo langu lakuwa na mkono wa sweta nilikwisha lizoea sikujari chochote lakini sikuhitaji kadhia ya kidato cha kwanza nililazimika kuoga peke yangu siku zote ili my secret isivuje daima..
Siku moja nikiwa mtaa wa msimbazi nilimsikia bwana mmoja akiuza dawa ya Nguvu za kiume na kutokana na matangazo yake nilivutiwa na kumsogerea baada ya kuelewa kile alichokuwa anahubiri nilijenga hisia moyoni nakuamini kuwa mtu akidondosha mkono wa sweta basi Nguvu zake za kiume zinapotea.
Sikutamani milele kufanyiwa tendo hili kwanza nilianza kuwaona wale waliofanyiwa kama wakosefu mbele za mungu sababu tendo lao nilihisi lilikuwa ni tendo la kumdharau mungu kwa kuondoa sehemu ya uumbaji wake
Nilijiamini nakujiapisha kuwa endapo ningekufa na ukamilifu wangu mungu angeniteua katika kuwaadhibu wale waliopunguza kile alichowatunuku katika miili yao
Siku moja nikiwa likizo nilianzisha mada mbele ya kaka zangu kuhusu vijana wa mjini na tabia yao yakukata sehem ya mwili wao eti ndio twahara
Kaka zangu waliwacheka sana wakaniambia mtu anae kata hizo sehem anakuwa mswahili na waswahili hupenda kukutana Sana na wanawake lakini Nguvu zao zinakuwa ndogo kwa sababu ya wao kutoa ile ngozi ndipo nilipomkumbuka yule tabibu wa mtaa wa msimbazi na dawa zake za Nguvu za kiume..
Hakika kutokudondosha mkono wa sweta kulinifanya kuwaogopa wasichana niliowapenda hasa baada yakukutana na baadhi ya warembo wa fikra zangu nao baada ya kugundua udhaifu wangu wengine walinigomea kuduu nao na hata wengine kunitoroka ktk vyumba gest baada ya Mimi kuwaonyesha urijari wangu wakutunza tunu ya Manani.
Umri wangu wakuoa ulikuwa ukikimbia kwa kasi huku binti wakukubali umbile langu la mkono wa sweta nikiwa simpati japo niliwapata mabinti walevi wao hawakujari Bali walijari pesa na pombe lakini nilipo warudia Mara ya pili waliishia kunidharili sikuweza kuwatamani tena mabinti wa mjini
Nirudi kijijini nakuwaeleza wazazi juu ya dhamira yangu ya kuoa pale kijijini hakuna binti ambae angenikatalia kwa hadhi niliyokuwa nayo kila familia ilinijua kutokana na usomi wangu
Nilikuwa mtu maridadi nikivaa suti za bei japo usingeweza kujua ustarabu wangu niliouhifadhi katika suruali yangu ya gharama
Baada ya juhudi za familia yangu nilibahatika kumpata binti wakijiji cha jirani baba alipeleka mahari ya ngombe 30 ndipo nilipo kabidhiwa mke
Mwanzoni mke wangu hakujari Mimi kuwa katika hali ile lakini baada ya miaka sita ya ndoa mke wangu alianza kudai kuwa na mkera kwa kuwa Mimi Nina mkono wa sweta
Kwa kuwa jamii yetu mwanaume hakusifiwa kwa kudondosha mkono wa sweta niliamini kuwa mke wangu alikuwa amempata mswahili na kumuonjesha iliomenywa
Japo sikumwambia hisia zangu lakini kadri siku zilivyo kwenda tendo la ndoa kwangu nilianza kulisoma kwenye magazeti nilijitahidi kumuasa mke wangu kuhusu tabia yake hiyo lakini haikuwa rahisi kunielewa na hatimae aliondoka nakuniambia kama nampenda nikadondoshe mkono wa sweta..
Kwa umri wangu huu miaka 48 naona ni kujidharilisha mbele ya Dr
Kiukweli napata shida sana katika hisia zangu naamini kupitia Uzi huu kuna wadau ambao nao walichelewa kushusha japo wengi Huduma hiyo uipata kutoka kwa walezi wao hadi wanakuwa watu wazima hawajui nini kilifanyika hadi wakawa hivyo lakini naamini kuna idadi kubwa tu ya watu ambao wanaishi kwa mfano wangu je nao nini ambacho ukumbana nacho
By R.Nzagamba
Ila govi linaraha yake unapokuwa unagegeda maana inakuwa kama pump ya baiskeli vile. Sema wadada wengi bado hawajatambua utamu wake. Bwana muache jamaa aendeleze milaNgosha jaga nkoi, hakuna cha aibu. Kwetu kuchelewa ni swala la kawaida. Nenda private hospital.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kifurushi kishaexpire mkuu ila itumie kukojolea tu mkojo