hahaha NN nimekusoma.
jamani wapendwa. Hivi mapenzi au watu waliokutana katika mitandao ya kijamii na kufunga ndoa. Mapenzi yao huwa sawa na walio kutana misikitini au makanisani? Au ndo vululu valala kama style ya mitandao yenyewe. i
nn umenichekesha kweli.wengine pengine wanapunguza stress za ndoa humu.kwa upande wangu,mapenzi ya mitandaoni huwa siyaamini kabisa,nahisi kama utapeli tu,leo atanitongoza mimi,kesho atamtongoza mwengineWewe si unaona watu humu wanasema eti wako kwenye ndoa lakini kutwa kucha humu wanaitana majina ya kimahaba na wenza wao wa kimtandao....halafu ukiwauliza kama wenza wao wa kikweli wanajua kama wamo humu wanasema hawajui!
Sasa hapo ukiongeza na mambo ya multiple IDs ndo inakuwa vurugu mechi tupu.
mie nimekiibua kishefa mtandaoni kule hi5,ila kila nikiangalia profile yake imejaa wanawake,na kisha ana hits nyingi kny profile lake,nimeamua kumpiga chini kabla hatujawa serious,maanake kama alizoea kubrowse masaa manne kuangalia ptofile za wadada nini kitakachomzuia kufanya hivyo tukioana mmmnh
nn umenichekesha kweli.wengine pengine wanapunguza stress za ndoa humu.kwa upande wangu,mapenzi ya mitandaoni huwa siyaamini kabisa,nahisi kama utapeli tu,leo atanitongoza mimi,kesho atamtongoza mwengine
haswaaaaaaaa hapo umenena....mie nimekiibua kishefa mtandaoni kule hi5,ila kila nikiangalia profile yake imejaa wanawake,na kisha ana hits nyingi kny profile lake,nimeamua kumpiga chini kabla hatujawa serious,maanake kama alizoea kubrowse masaa manne kuangalia ptofile za wadada nini kitakachomzuia kufanya hivyo tukioana mmmnh
ndo haya siku ya kuachana mnaanza kashfa"nini wewe si malaya tu,dem/men mwnyw nilikukuta club/Jf ushakuwa na wangap uliokutananao".....unabaki kmy mdm wa juu na wachini haukutanwanawake na wanaume wa mitandaoni ndio haohao wa mitaani, mitandao mara nyingi huwa sehemu ya kumeet na mwenza ni kama vile watu wengine ukutana club, market, college,church,njiani ,hospitalin n.k , kwa hiyo mapenzi kuwa imara au mazuri ayategemei wapi mlikutana bali ni wapenzi wenyewe.
jamani wapendwa. Hivi mapenzi au watu waliokutana katika mitandao ya kijamii na kufunga ndoa. Mapenzi yao huwa sawa na walio kutana misikitini au makanisani? Au ndo vululu valala kama style ya mitandao yenyewe. i
Kila kitu kina mazingira yake hivyo haziwezi kuwa sawa!jamani wapendwa. Hivi mapenzi au watu waliokutana katika mitandao ya kijamii na kufunga ndoa. Mapenzi yao huwa sawa na walio kutana misikitini au makanisani? Au ndo vululu valala kama style ya mitandao yenyewe. i