Kimbweka
JF-Expert Member
- Jul 16, 2009
- 8,597
- 1,683
Hahaha mleta mada wewe mchokozi kweli....!!
Yani mumewe na mdada kaishiawa kakuomba wewe laki lakini huna......!!
Ukacheki akaunti ya mke wa jamaa ukakuta imenonana......!!
Ukamuomba mke wa jamaa akukopeshe laki.......!!
Na hiyo laki ukampa mme wa mdada......!!
YAANI WEWE UMEJITUMIA KAMA PITISHIO LA HELA TOKA MFUKO HUU WA FAMILIA KUINGIA MFUKO MWENGINE WA FAMILIA.....!!!
Haya hongera bhana..............!!
Yani mumewe na mdada kaishiawa kakuomba wewe laki lakini huna......!!
Ukacheki akaunti ya mke wa jamaa ukakuta imenonana......!!
Ukamuomba mke wa jamaa akukopeshe laki.......!!
Na hiyo laki ukampa mme wa mdada......!!
YAANI WEWE UMEJITUMIA KAMA PITISHIO LA HELA TOKA MFUKO HUU WA FAMILIA KUINGIA MFUKO MWENGINE WA FAMILIA.....!!!
Haya hongera bhana..............!!