Ndoa kazi...!

Ndoa kazi...!

Kuna wengine wana nyumba za ulithi mjini hapa kodi zinaingia kimya kimya kimya,,, kuna mdada hapa job daily anamkopesha mume wake indirect anajifanya ngoja nimkope kaka kumbe za kwake mwenyewe,,,

Wanawake wana vituko sana
 
sijaisoma kabisa hii!!!
Nina urafiki sana na mdada mmoja ambaye ameolewa, mdada huyu tunafanya naye benki moja hivi. mume wake tuna urafiki pia lakini sio kihivo kama mke wake, nadhani ni kwasababu tunafanya naye ofisi moja. Wiki iliyo pita shemeji alinikopa laki! nikaahidi kumpatia jioni, kwakuwa mke wake yupo maternity live, naye kwa bahati alinipigia simu akiniomba nimuangalizie balance kwenye account yake, nilishikwa na butwaa kuona salio la ukweli. Nikajua hapa kuna tatizo.

Nilimkopesha shemeji laki moja akaniahidi atanirudishia baada ya wiki. Sikuishia hapo, nili mpigia mkewake simu nikimuazima laki moja nimrudishie baada ya wiki, bila tatizo, akanipatia.

They are very happy family!!!!!!!
 
Kufichaficha fedha au account au madeni unayodai, Ni kupoteza haki ya familia unapowahi kutangulia mbele za haki!
 
Hakuna anaekataa kuwa ushirikiano ni muhimu.

Ila hatupaswi kuhukumu watu tusiojua makubaliano yao yakoje kwa kusikia tu umbea wa mtu mitaani

Ni kweli Gai kwamba kila watu wana makubalianoo yao,

Ila panapotokea kwamba kuna watu wanaishi chini ya paa moja, tena chumba kimoja (na kusauliana kila nguo) halafu wanafichana mambo ya muhimu kama pesa (in this story or anywhere else)...wengine hatuwezi kuwaelewa!

Back to the topic....

Hapa inawezekana kukawa na tatizo kati ya hao wanandoa...ila hakuna anayeweza kuthibitisha akiwemo hata mleta mada kwa sababu hatuna taarifa za kutosha kuhusu hiyo ndoa.

Pili mleta mada ametupa taarifa ambazo ni za ndani kabisa katika maisha ya watu (ambao ni rafiki zake), jambo ambalo ni baya na hatari sana. Najua, hao marafiki zake watakuwa disappointed wakijua ameleta issues zao hapa!

Hata hivyo, mambo ambayo mleta mada anayaongelea (bila kujali hayo hapo juu) yanatoa picha mbaya kwa hiyo ndoa. Ether jamaa alikuwa anatafuta pesa za kujirusha nje (without his wife's knowledge) au kweli hawana mawasiliano katika ndoa! Whichever, ni dalili mbaya kwa ndoa!

Babu DC!!
 
Dark City

Watu tunashindwa kufikiria scenarios zote zinazowezekana hapo, maana naamini si hizo mbili tu

Out of thin air nakupa ya tatu

Pesa kwenye account ya mke ni za mtoto hasa wakati wa dharura kama ya ugonjwa. Mume na Mke wanajua hilo.

Mume ana shida na pesa laki moja hakupendelea kujikopa (akianza kujikopa, hatakuwa na kikomo, na hataweza kurudisha, na ikitokea ugonjwa wa ghafla wa mtoto itakuwa shida), ameamua kukopa nje

Mke ametaka kujua jumla ya pesa kwenye account baada ya kuingiziwa mshahara wake.

Mke hawezi kukataa kumpa mkopo mtoa mada kwa sababu tayari (mtoa mada) anajua kuna pesa nyingi, na (mke) hataki kumpa maelezo marefu rafiki yake (Huyo mwanamke ndio amekiuka makubaliano na mume wake)


Hiyo ni scenario ya tatu, naamini zipo tele na tele na tele. Watu tunatofautiana, na wanavyodeal na mambo yao kama familia pia ni tofauti.
 
Wafanyakazi wa Benki wana access na account ya mteja yeyote. Na ukiwa na moyo wa tamaa kama ni mwanamke unaweza usiolewe. Maana unajua nani yuko loaded nani yuko kwenye red.

Ila kama wote ni ma banker wa same bank; ni obvious na mume anajua balance ya account ya mkewe??????


Una access na account ya mke wa mtu?? Hapo najiuliza... Kwenye RED nadhani ulikusudia kuandika LEAVE...
 
Mie ndio maana nakupendaga babu DC ,

Ya ninin unaapa "Nakupenda" afu unamwcha mwenza anakufa na madeni hadi anakopa?? Labda wewe akaunti ina pesa za kutosha?

Noi hatari sana, tena sana.

I stand to be corrected ndugu Mkirua,

Ila kwa wanandoa kutoelezana vizuri au kufichana taarifa za kifedha ni jambo la hatari!!

Babu DC!!
 
Ha ha ha ha, ujue mie ni banker? Nilikuwa sijapata wazo la kukagua nani yuko loaded na nani yuko red.

Hii project naianza mwaka ujao rasmi, ila haina guarantee kama hao loaded watakubali

Wafanyakazi wa Benki wana access na account ya mteja yeyote. Na ukiwa na moyo wa tamaa kama ni mwanamke unaweza usiolewe. Maana unajua nani yuko loaded nani yuko kwenye red.

Ila kama wote ni ma banker wa same bank; ni obvious na mume anajua balance ya account ya mkewe??????
 
Dark City

Watu tunashindwa kufikiria scenarios zote zinazowezekana hapo, maana naamini si hizo mbili tu

Out of thin air nakupa ya tatu

Pesa kwenye account ya mke ni za mtoto hasa wakati wa dharura kama ya ugonjwa. Mume na Mke wanajua hilo.

Mume ana shida na pesa laki moja hakupendelea kujikopa (akianza kujikopa, hatakuwa na kikomo, na hataweza kurudisha, na ikitokea ugonjwa wa ghafla wa mtoto itakuwa shida), ameamua kukopa nje

Mke ametaka kujua jumla ya pesa kwenye account baada ya kuingiziwa mshahara wake.

Mke hawezi kukataa kumpa mkopo mtoa mada kwa sababu tayari (mtoa mada) anajua kuna pesa nyingi, na (mke) hataki kumpa maelezo marefu rafiki yake (Huyo mwanamke ndio amekiuka makubaliano na mume wake)


Hiyo ni scenario ya tatu, naamini zipo tele na tele na tele. Watu tunatofautiana, na wanavyodeal na mambo yao kama familia pia ni tofauti.


Kweli Gai,

Ila hii scenario ni ngumu kwa baadhi yetu...Yaani niache pesa zangu au za wife niende kukopa kwa jirani...

Halafu hapa dume linakopa kwa mtu ambaye yuko karibu na mke....May be linatafuta njia ya kum-spy!!

Pamoja na kwamba hatuwezi kupata prototype scenario katika mazingira kama haya. Hata hivyo intuitively, tunaweza kuona kwamba kuna mambo ni magumu kuelezea hii kitu especially katika mazingira yetu.

Na kama ulivyosema hapo juu (blue), hii ndoa ina jambo ambalo si la kawaida!! Ni jambo gani?

We can continue to speculate..!

Babu DC!!
 
Kwa hali ya kawaida, huna pesa ukakope jamaa yako wakati mkeo kakwambia akaunti yake ina pesa??

Hakuna cha ajabu hapo. Wanaume tele wanafanya.

Mwanamke akiwa kila siku yeye ndo ana pesa mwanamme hana, kuna wengine ego zao haziwaruhusu kuendelea kupokea pesa kwa mwanamke kila wakati. Wanaona bora kukopa nje, ili kujenga heshima kwa wake zao

Nishashuhudia hilo.

{wanawake hao wanapokea mishahara zaidi ya mara 4 ya mishahara ya waume zao}
 
Mimi nimekusoma inamaana BIBIE YUKO LOADED kwenye ac wkt MUMEWE YUPO KWENYE OVERDRAFT!!!! LOLSET!!! Huwezi jua ukute MWANAUME ANAHONGA SANA, SASA HIYO LAKI YA NYUMBA NDOGO, AKIMWAMBIA MKEWE AMPE ITABIDI ASEME YA NINI!!! Au bidada HELA ZA NDUGU YAKE!!!! Mi nina NDUGU yangu KAOLEWA ILA AKIPATA HELA HAZINA MAELEZO ANAWEKA KWENYE ACC YANGU anakuwa anachukua kidogokidogo NA MIMI PARTNER IN CRIME NARUHUSIWA KUTUMIA KIDOGO.SASA HAPO UKUTE NIMEMUOMBA SHEMEJI YENU HALA AKAFANYA UFUKUNUKU SI ATAPATA WRONG CONCEPT KUWA NIPO LOADED???!!! MJINI MIPANGO SIO PESA!!!!LOLESH!!!!!!

una akili sana wewe
 
Ndio maana nikasema unaweza usiolewe kwa kuwa unangoja walio loaded; wakati hawana mpango na wewe. Lol. Nilishawahi fanya kazi benki pia...ndio maana nazijua abc....


Ha ha ha ha, ujue mie ni banker? Nilikuwa sijapata wazo la kukagua nani yuko loaded na nani yuko red.

Hii project naianza mwaka ujao rasmi, ila haina guarantee kama hao loaded watakubali
 
Kuna wengine wana nyumba za ulithi mjini hapa kodi zinaingia kimya kimya kimya,,, kuna mdada hapa job daily anamkopesha mume wake indirect anajifanya ngoja nimkope kaka kumbe za kwake mwenyewe,,,

Wanawake wana vituko sana

si unajua huwezi mdai mumeo?
Au mke anahofia mume kuhonga?

Ndo maana uwazi kwenye maswala ya fedha ni muhimu sana....
 
We...ujawahi kuona wanaume waliokaliwa wewe???? Huwezi mwambia nyumba ndogo matatizo yako ya kifedha...ma stress yote peleka kwa mkeo...hapo ni starehe tu. Akikooa wanamwaga pesa kulinda heshima.

Kuna mbaba tulikuwa tunafanya nae kazi...ilikuwa tukilipwa bonus tu utaona small house yake inatia timu...hapo tunajua amekuja kuzikomba. Chezea wanaume na nyumba ndogo zao.



Ina wezekana
Hivi mwanamme anaweza kopa hela ya kwenda honga yumba ndogo?
 
all in all kuna wanaume hawapendi kukopa wala kupewa fedha na wake zao, heri akakope nje..... Inawezekana huyo akawa mmoja wao....
 
Kweli Gai,

Ila hii scenario ni ngumu kwa baadhi yetu...Yaani niache pesa zangu au za wife niende kukopa kwa jirani...

Halafu hapa dume linakopa kwa mtu ambaye yuko karibu na mke....May be linatafuta njia ya kum-spy!!

Ni ngumu kwa baadhi yetu, lakini binaadamu hatufanani na hatujui mazingira yao yakoje.

Hapo kwenye buluu tayari ushaweka scenario nyengine pia.

Ndio hivyo, hatuwezi kujua, alichofanya mtoa mada ni kitendo kiovu kabisa.

Si rafiki huyu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom