Ndoa ipo mashakani

Ndoa ipo mashakani

Haoni kawaida, amekua mtu wa kulia kila siku, wameshasuluhisha ugomvi hadi kwa familia, but the man hajali, hayo ni baadhi tu ya anayopitia. Yeye anachowaza ni kutengana tuu.
Yaani hadi ndoa inafikia hatua hiyo na yeye bado anaendelea kuvumilia, basi mnapaswa mkae pembeni na hampaswi kuingilia wala kumshauri.
Kwakifupi huyo cousin bado anampenda mume wake ingawa anapitia changamoto ambazo ninyi zinawaumiza, lakini bado hampaswi kuingilia ndoa kwasabu wanapo lala wawili kitandani ninyi hamjui wanajadili nini kuhusu ninyi ama hata jinsi mnavyo waingilia kwenye ndoa yao.
Binafsi bado nasisitiza kwamba cousin wako hateseki, bali ninyi ndio mnaingilia mambo ya ndoa take kwa kutaka mume wake afuate vile mnavyotaka nyie.

Ebu ngoja nikuulize, kwanini unadhani huyo cousin wako hataki kurudi kwao ikiwa kama anao anateseka...!!??
 
Hawa wanandoa wameoana toka 2017 kipindi hicho mapenzi yalikua mubashara, (hadi nikatamani kuolewa )ila 2018 baada ya kubarikiwa mtoto wao wa kwanza cousin yangu akaanza kukipata cha mtema kuni.

Mwanaume alibadilika kwa kasi ya 4G, harudi nyumbani, ulevi kupitiliza, mara mida ya kurudi ikawa saa nane au hata kumi na mbili, siku nyingine saa nne asubuh ndo jamaa anapatikana, na vipigo juu.
Huyu cousin wangu mara nyingi nipo nae tumekua pamoja, mambo yake mengi ananiambia,so do l.
Kuna kipind hata wakishiriki tendo la ndoa jamaa anamuita jina la mchepuko, ila kwa sasa huyo mchepuko kaachwa, kapata mchepuko mwingine MKE WA MTU.(cjui mumewe atakua ni member huku)sasa penzi ndo limedamshi, kurud nyumban ni mida mibayaa saa saba hadi kumi, alishampiga ndugu yangu kisa alimuonya kuachana na mke wa mtu, haambiliki haskii, cousin aligundua haya baada ya kushika simu ya mumewe na kukuta charting wanavyoelezana wanavyopendana, mara guest na lounge wanazoendaga, na miamala wanavyotumiana hela,
Hapo ndoa bado mbichi kabisa, mke analalamika mumewe akishanunua chakula basi tena kwa kusumbuana sana, mahitaji yake muhimu hana mpango nayo, kila siku hana hela(huwa najiuliza iweje shemeji alewe kila siku, kwenda guest na kumuhudumia mke wa mtu, afu nyumbani kwake aseme hana hela?)

Me nilichomshauri ajitafutie mchepuko tu ajiliwaze, cyo kwa stress hizo kukesha usiku kusubiri mtu hujui kama atakuja au analala huko, ila akiwa na mpango wa kando atamliwaza.

Wanajamvi, mnamshauri nini huyu.

Tatizo la kwanza ni pale mwanamke anapoingia kwenye ndoa na kidhani kuwa mgegedo ni wake peke yake. ...binadamu tunajipaga matumaini ya ajabu sana. Mtu mmekutana alishaonja papuchi au migegedo kibao ..eti cheti cha ndoa ndio kitamadiliisha. Ah wapi. Mie bwana as long as sijakukuta bikra najua kabisa wanaume wengine nao watagegeda.
 
Yaani hadi ndoa inafikia hatua hiyo na yeye bado anaendelea kuvumilia, basi mnapaswa mkae pembeni na hampaswi kuingilia wala kumshauri.
Kwakifupi huyo cousin bado anampenda mume wake ingawa anapitia changamoto ambazo ninyi zinawaumiza, lakini bado hampaswi kuingilia ndoa kwasabu wanapo lala wawili kitandani ninyi hamjui wanajadili nini kuhusu ninyi ama hata jinsi mnavyo waingilia kwenye ndoa yao.
Binafsi bado nasisitiza kwamba cousin wako hateseki, bali ninyi ndio mnaingilia mambo ya ndoa take kwa kutaka mume wake afuate vile mnavyotaka nyie.

Ebu ngoja nikuulize, kwanini unadhani huyo cousin wako hataki kutudi kwao ikiwa kama anao anateseka...!!??
Hataki kurudi kwao, anachotaka ni akaishi mbali na mwanae, yaan kurent nyumba afanye biashara, ndo anajipanga maana financially hayupo vizuri kiivyo, sababu ndo hiyo tu aliyonieleza, anaona kurudi kwao ni aibu, bora akajitaftie maisha kwingine
 
Tatizo la kwanza ni pale mwanamke anapoingia kwenye ndoa na kidhani kuwa mgegedo ni wake peke yake. ...binadamu tunajipaga matumaini ya ajabu sana. Mtu mmekutana alishaonja papuchi au migegedo kibao ..eti cheti cha ndoa ndio kitamadiliisha. Ah wapi. Mie bwana as long as sijakukuta bikra najua kabisa wanaume wengine nao watagegeda.
Nshaongea sana na shemeji, kutoa mgegedo huko nje siyo tatizo, ila dharau na kutojali mkewe ndo tatizo, kwani angefanya hayo yote kisha akarudi kwake bila kulala nje ya ndoa, au vipigo naamin mke wake asingekua mnyongee kiasi hiki,
 
Upoje shangaza sana ila naelewa reaction ya mtu ambaye hajaolewa! Umeona Sky Eclat alinielewa chap chap bali wewe hukunielewa nami najua si kosa lako. Umenikumbusha siku moja enzi za ujima mama waligombana na baba niliumia kuona baba anamgombeza mama yangu kipenzi! Nikamuuliza kwa nini anatanya hivyo jibu lake lilikuwa. Wewe bado mtoto ukioa utayaona. Uliza mwanaume yoyote hapa JF mwenyewe uzoefu wa ndoa si chini ya miaka 10 na watoto angalau 3, kama atanipinga nipo tayari kusema kama Kaluwa
Ingawa wapo watakao kupinga.... Mimi binafsi naomba niunge mkono hii hoja.
Nakumbuka niliwahi kumjibu Padre kwamba.... Hakuna uwezo wa kunishauri lolote kuhusu ndoa kwasababu haujawahi kuishi kwenye ndoa.
Hilo jibu lilisababisha dunia inishangae, lakini mwaka mmoja badae, walio nishangaa walibadilika na kunikunbusha jinsi nilivyo thubutu kusimamia nilicho kiamini na kumbe nilikua sahihi.
 
Hataki kurudi kwao, anachotaka ni akaishi mbali na mwanae, yaan kurent nyumba afanye biashara, ndo anajipanga maana financially hayupo vizuri kiivyo, sababu ndo hiyo tu aliyonieleza, anaona kurudi kwao ni aibu, bora akajitaftie maisha kwingine
Kuona aibu ndio jambo kubwa linalo watesa ninyi akina mama, na hii inasababishwa na ninyi kupenda kuishi kwa kuangalia ama kusikiliza watu watasema nini. Na kimsingi kwadunia tulio fikia, hakuna mvumilivu ambae anakula mbivu now days. Uvumilivu una mipaka kwa dunia na maisha yaleo.
Bado narudia kusema kwamba ninyi ndio mnao muharibia cousin wenu mahusiano yake na mume wake, yaani mnaingilia na kuumizwa na mambo ambayo hata hamna uwezo wa kuyatatua. Mwisho mmebaki kumuona shemeji yenu mbaya wakati cousin wenu anaendelea kuishi nae.
Ujue siku hao watu wakimaliza tofauti zao, wewe na mnao shabikia ubaya kwa shemeji yenu ndio mtaonekana wabaya.
Na msipo jiangalia vizuri, mtajikuta cousin wenu anawawekea uadui na shemeji yenu na mkamchukia ilkhali yeye analalanae bed moja na kisusio anapewa kama kawaida.
 
Nshaongea sana na shemeji, kutoa mgegedo huko nje siyo tatizo, ila dharau na kutojali mkewe ndo tatizo, kwani angefanya hayo yote kisha akarudi kwake bila kulala nje ya ndoa, au vipigo naamin mke wake asingekua mnyongee kiasi hiki,
Huyo cousin wako nayeye ni aina ya wanawake wapumbavu ambao mimi huwasema kila siku.
Mwanamke mwerevu hawezi kushtaki mambo ambayo anadhani hayawezi badilisha mustakabali wa ndoa yake.
Kimsingi binti anatakiwa achukue hatua ambayo yeye anaona inamfaa.
Na ninyi mnapaswa msijihusishe na ugomvi wa cousin wenu na mume wake, sababu kama kweli angekua anaumia kama unavyo tuaminisha hapa basi angekua amesha ondoka.
Lakini kwakuwa bado anavumilia, basi ninyi ndio wabaya wa hio ndoa kwasababu mnawaingilia na kutaka kuyajua mambo ambayo hayawahusu.
Kwakifupi hili swala la cousin wako halihitaji kushauriwa hapa hata kidogo.
 
Nshaongea sana na shemeji, kutoa mgegedo huko nje siyo tatizo, ila dharau na kutojali mkewe ndo tatizo, kwani angefanya hayo yote kisha akarudi kwake bila kulala nje ya ndoa, au vipigo naamin mke wake asingekua mnyongee kiasi hiki,
Hilo ni kweli....gegeda wanawke wengi utakavyo ila hakikisha unalala nyumbani na mkeo.
 
Kuona aibu ndio jambo kubwa linalo watesa ninyi akina mama, na hii inasababishwa na ninyi kupenda kuishi kwa kuangalia ama kusikiliza watu watasema nini. Na kimsingi kwadunia tulio fikia, hakuna mvumilivu ambae anakula mbivu now days. Uvumilivu una mipaka kwa dunia na maisha yaleo.
Bado narudia kusema kwamba ninyi ndio mnao muharibia cousin wenu mahusiano yake na mume wake, yaani mnaingilia na kuumizwa na mambo ambayo hata hamna uwezo wa kuyatatua. Mwisho mmebaki kumuona shemeji yenu mbaya wakati cousin wenu anaendelea kuishi nae.
Ujue siku hao watu wakimaliza tofauti zao, wewe na mnao shabikia ubaya kwa shemeji yenu ndio mtaonekana wabaya.
Na msipo jiangalia vizuri, mtajikuta cousin wenu anawawekea uadui na shemeji yenu na mkamchukia ilkhali yeye analalanae bed moja na kisusio anapewa kama kawaida.
Sawa, maana kuna uwezekano wewe ndo shemeji mwenyewe, basii tutaacha kuingilia ndoa yenu. Umekomalia sisi ndo wenye tatizo that means unajustfy matendo ya huyo mwanaume, tusichoshane sana, ushauri wako nimeupata
 
nionacho mimi huyo dada analipa alichopanda, inaonekana kabla ya kuolewa na huyo mbaba alikua na mchumba wake anaempenda kamuacha akaenda kwa huyo jamaa aliemwona kuwa nafaa sana kwa kipindi hiko..
karma itammaliza, uishauri wangu akamwombe msamaha EX wake kwa dhati na ahakikishe anasamehewa mambo yatakua sawa..
(tafadhari mfikishie huu ujumbe)
mara nyingi binadamu tunapata mara 10 ya tunayowatendea wengine.
 
Sawa, maana kuna uwezekano wewe ndo shemeji mwenyewe, basii tutaacha kuingilia ndoa yenu. Umekomalia sisi ndo wenye tatizo that means unajustfy matendo ya huyo mwanaume, tusichoshane sana, ushauri wako nimeupata
Bwege wewe, misiwezi nikawa shemeji wa binti asie jitambua kama wewe.
Na aina wa wanawake kama wewe ndio huwa mnavunja ndoa za Dada zenu kwa kujifanya mnauchungu kuliko hata hao Dada zenu jinga kabisa.
Kwakifupi sijasema nani mwenye makosa kati ya shemeji yenu ama cousin wenu. Mimi nakupa fact kwasababu kwanza hakuna unacho kijua kuhusu ndoa, na kiherehere chako cha kujifanya mnauchungu na ndoa ya cousin wenu wakati yeye bado anaing'ang'ania huyo ndoa mnayo iona ya mateso.
Mkuu, wewe in aina ya wadada wengi wanao danganyika kwamba ndoa inajengwa kwa maneno ya kushikiwa aiseeee.... Ndoa haipo kama ninavyo soma haya unavyo yaandika hapa mkuu, na hii inanipa picha kubwa kwamba hakuna lolote ulijualo kuhusu ndoa na ninakushauri tu afadhali ujiweke pembeni na hili.
 
Bwege wewe, misiwezi nikawa shemeji wa binti asie jitambua kama wewe.
Na aina wa wanawake kama wewe ndio huwa mnavunja ndoa za Dada zenu kwa kujifanya mnauchungu kuliko hata hao Dada zenu jinga kabisa.
Kwakifupi sijasema nani mwenye makosa kati ya shemeji yenu ama cousin wenu. Mimi nakupa fact kwasababu kwanza hakuna unacho kijua kuhusu ndoa, na kiherehere chako cha kujifanya mnauchungu na ndoa ya cousin wenu wakati yeye bado anaing'ang'ania huyo ndoa mnayo iona ya mateso.
Mkuu, wewe in aina ya wadada wengi wanao danganyika kwamba ndoa inajengwa kwa maneno ya kushikiwa aiseeee.... Ndoa haipo kama ninavyo soma haya unavyo yaandika hapa mkuu, na hii inanipa picha kubwa kwamba hakuna lolote ulijualo kuhusu ndoa na ninakushauri tu afadhali ujiweke pembeni na hili.
Bwege na mjinga ni wewe na ukoo wako mzima, we pia hujitambui vilevile,
 
Bwege na mjinga ni wewe na ukoo wako mzima, we pia hujitambui vilevile,
Mimi ndie shemeji yako mume wa cousin wako, pamoja na ubwege wangu mbona mlinipa mke....!!??
Na kwataarifa yako Dada yenu ni mchafu wa kuanzia mwili, mavazi hadi ndani... Hili ndio hasa sababu ya mimi kulala nje na wanawake wanao jitambua, kwanza sina hata hamu ya kurudi nyumbani mapema kwasababu hata hajitambui wala hanivutii tena. Na ikitokea namnjunja, basi nahakikisha skuhiyo nimelewa na simuangalii usoni ili nipate kufikia mshindo.
Haya kamwambie huyo cousin wako ajifunze hata kupika shemeji, maana duh.... Tangu nilipo muoa nimekua mtu wa kula hotel kila siku na hakika chakula chake sijawahi wala kukionja.
Haya shemeji, kamfikishie cousin wako huu ujumbe ili kama akiweza ajirekebishe na akishindwa basi aendelee kuvumilia ili asaidiwe na wake wenzie, ama kama vipi hata wewe njiswafishe kama ukiweza uokowe jahazi kwenye ndoa ya cousin wako...teh
 
Hawa wanandoa wameoana toka 2017 kipindi hicho mapenzi yalikua mubashara, (hadi nikatamani kuolewa )ila 2018 baada ya kubarikiwa mtoto wao wa kwanza cousin yangu akaanza kukipata cha mtema kuni.

Mwanaume alibadilika kwa kasi ya 4G, harudi nyumbani, ulevi kupitiliza, mara mida ya kurudi ikawa saa nane au hata kumi na mbili, siku nyingine saa nne asubuh ndo jamaa anapatikana, na vipigo juu.
Huyu cousin wangu mara nyingi nipo nae tumekua pamoja, mambo yake mengi ananiambia,so do l.
Kuna kipind hata wakishiriki tendo la ndoa jamaa anamuita jina la mchepuko, ila kwa sasa huyo mchepuko kaachwa, kapata mchepuko mwingine MKE WA MTU.(cjui mumewe atakua ni member huku)sasa penzi ndo limedamshi, kurud nyumban ni mida mibayaa saa saba hadi kumi, alishampiga ndugu yangu kisa alimuonya kuachana na mke wa mtu, haambiliki haskii, cousin aligundua haya baada ya kushika simu ya mumewe na kukuta charting wanavyoelezana wanavyopendana, mara guest na lounge wanazoendaga, na miamala wanavyotumiana hela,
Hapo ndoa bado mbichi kabisa, mke analalamika mumewe akishanunua chakula basi tena kwa kusumbuana sana, mahitaji yake muhimu hana mpango nayo, kila siku hana hela(huwa najiuliza iweje shemeji alewe kila siku, kwenda guest na kumuhudumia mke wa mtu, afu nyumbani kwake aseme hana hela?)

Me nilichomshauri ajitafutie mchepuko tu ajiliwaze, cyo kwa stress hizo kukesha usiku kusubiri mtu hujui kama atakuja au analala huko, ila akiwa na mpango wa kando atamliwaza.

Wanajamvi, mnamshauri nini huyu.
hebu jaribu kuwa na akili hivi unadhani mchepuko ndio solution...yaani mara mia ungemuambia aondoke arudi kwao sasa kwa vike mume wake anatenda dhanbi na yeye unataka umuingize kwenye dhambi nyie mue mnamuogopa mungu sio a kuchezewa kijing jinga hivo...mwishowe aje apate magonjwa wafe wote waache mtotot anahangaika humu duniani kwa kukosa akili ndogo tuu ya kufikiria
 
Mimi ndie shemeji yako mume wa cousin wako, pamoja na ubwege wangu mbona mlinipa mke....!!??
Na kwataarifa yako Dada yenu ni mchafu wa kuanzia mwili, mavazi hadi ndani... Hili ndio hasa sababu ya mimi kulala nje na wanawake wanao jitambua, kwanza sina hata hamu ya kurudi nyumbani mapema kwasababu hata hajitambui wala hanivutii tena. Na ikitokea namnjunja, basi nahakikisha skuhiyo nimelewa na simuangalii usoni ili nipate kufikia mshindo.
Haya kamwambie huyo cousin wako ajifunze hata kupika shemeji, maana duh.... Tangu nilipo muoa nimekua mtu wa kula hotel kila siku na hakika chakula chake sijawahi wala kukionja.
Haya shemeji, kamfikishie cousin wako huu ujumbe ili kama akiweza ajirekebishe na akishindwa basi aendelee kuvumilia ili asaidiwe na wake wenzie, ama kama vipi hata wewe njiswafishe kama ukiweza uokowe jahazi kwenye ndoa ya cousin wako...teh
Tabia za kishoga hizi..am done with you.
 
Ingawa wapo watakao kupinga.... Mimi binafsi naomba niunge mkono hii hoja.
Nakumbuka niliwahi kumjibu Padre kwamba.... Hakuna uwezo wa kunishauri lolote kuhusu ndoa kwasababu haujawahi kuishi kwenye ndoa.
Hilo jibu lilisababisha dunia inishangae, lakini mwaka mmoja badae, walio nishangaa walibadilika na kunikunbusha jinsi nilivyo thubutu kusimamia nilicho kiamini na kumbe nilikua sahihi.
Kwa bahati mbaya wanawake huishi kwa hisia wala si uhalisia. Ndo maana nimemuomba msamaha wa dhati Khantwe alipotoa kereka. Ukosefu wa unyago kwa makabila mengi hapa Tanzania ndicho kinasababisha janga hili. Naamini wanaume huwa tunawapenda wake zetu, mtu mpaka akahemee kwa jirani hayo niyo maita matokeo siyo chanzo. Utaongea na mkeo wala hakusikii, utalalamika kwa mama yake; hapo unatafuta kusutwa na mama mkwe kuwa usimzeeshe mtoto wake na shombo kibao. Kunakuwa na mawili aidha ubwage manyanga (huo ni ubinafsi hasa mkiwa na watoto), au uamue kuvinjari kwa majirani (uyasake magonjwa hasa ukimwi). Akili mukichwa
 
Haya ndyo maamuzi sahihi kutafuta mchepuko haisaidii ata kidogo ajipe nafasi atafute ata 500k aanze maisha yake kuliko kungoja meli airport
yaani nyie wanawake watu wa ajabu sana yaani kusema umuombe hata rafiki yako , au ukope ufanye kitu cha kueleweka unawaza kutafuat mwanaume wa kukupa pesa ...baadae mna sema tunanyanyaswa mara haki za wanawake pumbavu kabisa nyinyi ,,,nyie inabidi mrudi sayari mliyo toka hii sio yenu
 
hebu jaribu kuwa na akili hivi unadhani mchepuko ndio solution...yaani mara mia ungemuambia aondoke arudi kwao sasa kwa vike nune wake anatenda dhanbi na yeye unataka unuingize kwenye dham i nyie mue mnamuogopa mungu sio a kuchezewa kijing jinga hivo...mwishowe aje apate magonjwa wafe wote waache mtotot anahangaika humu duniani kwa kukosa akili ndogo tuu ya kufikiria
I was just trying to make a conversation dear, it was a joke tena hapa tu. Ila yeye sijamshauri hivo, coz najua wanaolala shuka moja ni habari nyingine, mwishowe asiseme nimemtafutia bwana.
 
Tabia za kishoga hizi..am done with you.
Jifunze kujenga hoja, na hii iwe fundisho kwako next time usije humu jf kwa jambo sensitive na ukashindwa kutetea kile unacho kiamini. Na usije ukajadili mambo ya ndoa za watu kwa kujiona wewe unauchungu kuliko hata huyo unaedhani anaumia Gad'dem it......
 
Back
Top Bottom