Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 42,499
- 105,114
Hapo hakuna rafiki msaliti, shida ni wewe kuingilia ndoa ya cousin wako.Marafiki ndo wasaliti.
Hapo hakuna rafiki msaliti, shida ni wewe kuingilia ndoa ya cousin wako.Marafiki ndo wasaliti.
Iweje umuonee huruma wakati yeye anaona ni kawaida...!!Simfundishi chochote, namuonea huruma kwa anayoyapitia ingali bado mapema,
Talking from experience...........Kwajinsi ulivyo andika, nimegundua kwamba huyo cousin wako anampenda sana mumewe. Na hakika hawana matatizo katika ndoa yao.
Hapo minaona wewe ndie mwenye shida/tatizo kwa kuingilia na kumfundisha cousin wako aishi kwajinsi unavyo taka ama kukupendeza wewe.
Naomba usinitag kwenye upuuzi wako, maelezo mareeefu ila sijaona point yoyote ya msingi ya kujustify manyanyaso ya kiwango hiki. Ingekuwa hayo uliyosema ndio kisababishi wanaume wote hawa tunaowaona wangekuwa wanabehave kama wewe na shemeji wa mtoa madaWewe huna uzoefu wa ndoa huwezi mshauri kitu. Wengi tunapenda kutibu matokeo badala ya kutibu chimbuko. Kuwa na mchepuko ni matokeo tu. Mie nina uzoefu wa ndoa na hayo unayomshauri yalishanitokea kwangu ingawa bado tupo wote. Katika ndoa mara nyingi wanawake wanapenda kusex ili apate mtoto na unapoambiwa wanawake ni selfish ni pale wewe dushe limesimama yeye anakueleza kuwa k siyo chakula mpaka uile kila siku. Usisahau wakati mpo wachumba ukimuomba mwendelee kukipiga anakupiga kiboko cha ‘hii ni k yako, nioe ili kila siku uiogelee’. Mwanaume unahangaika ili uwe unajulia kiroho safi, ila ukimwingiza ndani yeye anafikiria kuzaa (bado unaigida na roho yako inaridhika) akijitungua yeye ametimiza matakwa yake anaanza kukupa k za masharti. Hii huwa inauma na kukatisha tamaa. Hapo hapo utakuta kuna akina Evelyn Salt wanaokujia na kukueleza kuwa wao wanapenda kusex kila dakika, niambie hutawafuata na mashallah ukijiingiza anakupa k kiroho mbaya. Lazima mwanaume upotee na urudi saa nne asubuhi. Mkitaka niendelee nitaendelea Khantwe Sky Eclat
For better for worse haihusiani na uasherati.
Kama ana courage she should move away, ila mwanaume kuchepuka ni norm/culture. So, the lady should look how she adapts in that marriage.
Asilimia 70+ ya ndoa zinabebwa na maamuzi ya mama.
Tatzo huwa linaanzia kwa wanawake wenyewe pindi wanapojifungua mara nyingi huwa mnabadirika sana mnasahau majukumu yenu n mnakuwa rafu sana
Hapo kwenye 70+ fanya 95%.
Yes wanaume wanacheat lakini wanaheshimu wake zao na hawawaonyeshi na hata wakidakwa wanakua wapole. Huyo mume kashindikana. Haheshimu ndoa yake wala mke wake.
Hii point kubwa sanaPia kauli, kuna mambo madogo wanaume wanayachukulia big deal. Aongee nae ili waje tatitizo linaanzia wapi.
Absolutely chief....Talking from experience...........


Ukiolewa utayakumbuka. Samahani kwa kukutagNaomba usinitag kwenye upuuzi wako, maelezo mareeefu ila sijaona point yoyote ya msingi ya kujustify manyanyaso ya kiwango hiki. Ingekuwa hayo uliyosema ndio kisababishi wanaume wote hawa tunaowaona wangekuwa wanabehave kama wewe na shemeji wa mtoa mada
Samahani mkuu, nimekuwa too harsh. It's because am too sensitive linapokuja suala la mtu kunyanyaswa na ninachukia zaidi mtu anapokuwa kama anajustify manyanyaso hayo.Ukiolewa utayakumbuka. Samahani kwa kukutag
Ooohhhh!!! Kumbe, sikuwahi fahamu....Absolutely chief....
Ujue... every shining married has gone through its own taste of fire...
Haoni kawaida, amekua mtu wa kulia kila siku, wameshasuluhisha ugomvi hadi kwa familia, but the man hajali, hayo ni baadhi tu ya anayopitia. Yeye anachowaza ni kutengana tuu.Iweje umuonee huruma wakati yeye anaona ni kawaida...!!
Na kama anapitia magumu, kwani yeye unadhani haoni...??
Wemuache cousin bhana, maana haujui wanayo yaongea chumbani yeye na mumewe.
achakiherehere haya kuhusu...olewa na wewe
Upoje shangaza sana ila naelewa reaction ya mtu ambaye hajaolewa! Umeona Sky Eclat alinielewa chap chap bali wewe hukunielewa nami najua si kosa lako. Umenikumbusha siku moja enzi za ujima mama waligombana na baba niliumia kuona baba anamgombeza mama yangu kipenzi! Nikamuuliza kwa nini anatanya hivyo jibu lake lilikuwa. Wewe bado mtoto ukioa utayaona. Uliza mwanaume yoyote hapa JF mwenyewe uzoefu wa ndoa si chini ya miaka 10 na watoto angalau 3, kama atanipinga nipo tayari kusema kama KaluwaSamahani mkuu, nimekuwa too harsh. It's because am too sensitive linapokuja suala la mtu kunyanyaswa na ninachukia zaidi mtu anapokuwa kama anajustify manyanyaso hayo.
Wanaume huwa hawaachi wake zao sema unapigwa matukio mpaka unaaga mwenyeweHuyo anamfukuza ila hawezi kutamka ondoka.
Anataka ajiondoe mwenyewe.