Ndoa Inavunjika Hiyo!

@jangala

Kuna kitu hukukiona. Mgogoro ni wa Agosti 19 baada ya sms kuonekana. Mhadhiri anatuma sms Sept 3. Hauoni anaomba msamaha kwa yaliyotokea? Yaani alitegemea mume hatajua uhusiano. Hakukuwa na mgogoro kabla.

Bazazi
 
Mweee. Kumbe jana tu ndo anawaza na kuvunja ndoa.
Mwambie huyo mama ASIACHE MBACHAO KWA MSALA UPITAO
@Mzigua90

Hapana. Kiporo kimekumbukwa July, 18 walipokutana kijijini. Mhadhiri alikuwa na mkewe. Walibadilishana namba na mambo ndo yakawa Mambo

Bazazi
 
Unaoa mwanamke asiye na bikra bado ujiite mwanaume mwenye akili.

Sijui vijana mtanielewa Lini.

Nimeongea mpaka basi lakini wapi.

Sitochoka kuwausieni
Waonyeshe wanakopatikana wenye bikra, hivi kwa nini umeweka hiyo avatar? Najua hainihusu ila siipendiii though najua hujali nimetaka tu kufikisha hisia zangu
 
Mzigua, Are You On Market or Off Market?
 
Basi, mtalaka/hawara hatongozwi.
acha nikatafute wa zamani nijaribu kumpiga ngwara nione kama hatapiga kelele za kuomba msaada
Haha me ngoja niseme tu kila LA kheri
 
@jangala

Kuna kitu hukukiona. Mgogoro ni wa Agosti 19 baada ya sms kuonekana. Mhadhiri anatuma sms Sept 3. Hauoni anaomba msamaha kwa yaliyotokea? Yaani alitegemea mume hatajua uhusiano. Hakukuwa na mgogoro kabla.

Bazazi

Upo ndan ya ndoa yao?

Kuna mengi ambayo huwa hayasemwi ambayo ndiyo haswa chanzo cha tatizo

Unafikiri kuna mwanandoa atakusimulia kwamba "mme wangu hanifanyi vizuri!"

Yale root cause huwa yanafichwa sana yanajadiliwa ya juu juu tu
 
Natamani tungesikia upande wa mke....natamani sana..


15 yrs is no joke...

Na mume amekua muaminifu miaka yote?..tabia ya mume ikoje?..
 
Waonyeshe wanakopatikana wenye bikra, hivi kwa nini umeweka hiyo avatar? Najua hainihusu ila siipendiii though najua hujali nimetaka tu kufikisha hisia zangu

Pale na Koroma ndipo palipo na nazi nzima.

Mkuu umejuaje kuwa sijali ukinambia?

Nimezisikia hisia zako mrembo wangu Khantwe. Sawa Chautundu wangu.
 
Pale na Koroma ndipo palipo na nazi nzima.

Mkuu umejuaje kuwa sijali ukinambia?

Nimezisikia hisia zako mrembo wangu Khantwe. Sawa Chautundu wangu.
Hulka yako tu, unaonekana huwa unafurahi sana mtu asipokuwa comfortable. Haya badili basi kama unajali kweli
 
Ungesoma maelezo yangu usingehoji hayo. Mume amerufa baada ya kuona sms iliyoambatanishwa. Kungine hakukuwa na shida sana maana ni kama walikubaliana kufungua ukurasa mpya. Mume kukubali ni kuwa haya yeye sio mkamilifu sana. Amekereka kuona mke anataka kwenda kwa mchepuko wake

Bazazi
Natamani tungesikia upande wa mke....natamani sana..


15 yrs is no joke...

Na mume amekua muaminifu miaka yote?..tabia ya mume ikoje?..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…