Ndoa inataka kunishinda

Status
Not open for further replies.
pole mzee!!
 
Dada unaelewa maana ya ndoa au unadhani ni makaratasi tu?
Mdogo wangu hapo huna ndoa ila una ndoano na umenasa, kaa tayari kuliwa tu na wengine
 
Toka mwaka jana August ulikua unafanya nini kuondoa mihemko ya mwili?

Lakini la msingi tafuta suluhu kwa pande zote mbili za kifamilia kujua nini cha kumsaidia na kama walidanganya yeye hafanyi chochote basi kimbia hapo uje huku Kanaani
 
Kwahiyo hata siku mmefunga ndoa hakukubandua? Basi hiyo ndoa ni batili achika mapema
 
Hilo linawezekana kabisa,
Mwanaume akishaanza kuliwa kisamvu Cha kopo, kule chini hakusisimki kabisa.
Acha kufananishia chakula mboga kisamvu na mambo ya kijinga, naomba uwaambie na wenzako kisamvu kufanisha na kinyesi mkome.
Kwani mavi yote ni kama kisamvu, mbona mengine ni ya njano?
Yaani mti wa mhogo, tunapata mihogo choma safi na mboga yake kisamvu hadi ikulu kipo
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…