Duuu!Habarini ndugu zangu poleni na majukumu naomba nilete jambo langu mnishauri naombeni msaada wenu wa kimawazo
Mm ni mwanamke umri 28 ni mwajiriwa serikalini, nimefunga ndoa mwaka jana august, mm na mwezangu tulkua tunaishi vizur bila shida yoyote ile ya kimwili wala ya kiroho, mwaka 2019 mwez 12 alipeleka posa nyumbani toka mwaka huo hadi hivi leo sijawah kutana kimwili (sex) na tunalala kitanda kimoja, nkimgusia mwezangu swala hilo anakuwa mkali na ni ugomvi, nililiwasilisha kwa ndugu na wadhamni wa ndoa anadai anastress za kimaisha apewe mda atkaa sawa, kinachonitesa ni kwann hataki kuwa muwazi kama kuna shida tuitatue kwa pamoja kama mke na mme, ila tunaish kwa amani, kwa sasa nna ham kubwa sana ya kuwa na mtt lakin naona naharbika kisaikoljia kabisa.
Imefkia hatua nawaza kuchepuka nakimbilia two year without sex! Nashindwa ntatue kwa style gani, maan nikijaribu kuanzisha hii mada anakimbia na nyumban kabisa hata sku tatu anaeza asionekane.
Naombeni mawazo jins ya kitatua hili swala
Oya babu mbona unaikimbiza cashout mwamba😅 kauka bwana mtoto asaidiweMtoa mada epuka Sana wanaotaka kukusaidia pm,
Wengi wao wa hivyo,
wanaona hii ndo fursa yao kupata utelezi kimasihala.
Haswaaa!!Pole na matatizo
Kutokana na Ndoa ni kitu kikubwa anza kufanya uchunguzi in details unaweza kuta umeolewa na mke wa mtu.
Dunia imebadilika
Mwenzako yupo kwenye critical situation, ingekuwa swala la kuchepuka huenda hata asingekuja hapa. Naamini anahitaji ushauri wa kujenga, hata kama iwe divorce lakini naona anahitaji ushauri wa kumjenga zaidi.Wewe chepuka maisha yenyewe mafupi au mvizie akilala umbake, then uchepuke upate mtoto
Unaomba lakini?? Maana mambo mengine sio unayaleta humu na hata Mungu hujamshirikisha nenda kaombe kwanza kwa Mungu wako ukiona ameshindwa ndio uje tukupe ushauriHabarini ndugu zangu poleni na majukumu naomba nilete jambo langu mnishauri naombeni msaada wenu wa kimawazo
Mm ni mwanamke umri 28 ni mwajiriwa serikalini, nimefunga ndoa mwaka jana august, mm na mwezangu tulkua tunaishi vizur bila shida yoyote ile ya kimwili wala ya kiroho, mwaka 2019 mwez 12 alipeleka posa nyumbani toka mwaka huo hadi hivi leo sijawah kutana kimwili (sex) na tunalala kitanda kimoja, nkimgusia mwezangu swala hilo anakuwa mkali na ni ugomvi, nililiwasilisha kwa ndugu na wadhamni wa ndoa anadai anastress za kimaisha apewe mda atkaa sawa, kinachonitesa ni kwann hataki kuwa muwazi kama kuna shida tuitatue kwa pamoja kama mke na mme, ila tunaish kwa amani, kwa sasa nna ham kubwa sana ya kuwa na mtt lakin naona naharbika kisaikoljia kabisa.
Imefkia hatua nawaza kuchepuka nakimbilia two year without sex! Nashindwa ntatue kwa style gani, maan nikijaribu kuanzisha hii mada anakimbia na nyumban kabisa hata sku tatu anaeza asionekane.
Naombeni mawazo jins ya kitatua hili swala
Ni kweli kabisaHakuna Ndoa bila kuwepo Tendo la Ndoa
###kataaWahuni[emoji12][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Oya babu mbona unaikimbiza cashout mwamba[emoji28] kauka bwana mtoto asaidiwe
[emoji23][emoji23][emoji23]shirima kakimbiwa na mke huyoShirima nitakuuaaa. Wewe wa kwako umemkaza? Nitakuua mbe
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Unampoteza mwenzio, sijui wanawake kwann hampendanagi [emoji26]Chepuka tu .
Ushauri wa kujenga ni kwa Kuhani Musa tu ama apande boti aende pemba😅 jamaa atakuwa alimsaliti demu wa mwananyamala akamnyoosha😁Mwenzako yupo kwenye critical situation, ingekuwa swala la kuchepuka huenda hata asingekuja hapa. Naamini anahitaji ushauri wa kujenga, hata kama iwe divorce lakini naona anahitaji ushauri wa kumjenga zaidi.
Kitendo cha jamaa kukaa miaka miwili bila tendo kinafanya yoyote ajiulize maswali mengi, binafsi hata majibu yanakuwa machache, turned into gay na mambo ya kishirikina, zaidi ya hapo sioni sababu nyingine. Stress/depression gani hiyo miaka miwili.
Duh kwahyo na wewe uliwaambia ndugu kuwa mumeo hafanyi kazi hukuona aibu Ili umusitiri utafte ushauri kwa watu wazima wasio wajua maana hyo tu imeshaharibu kabisa saikolojia yake mazimaNilishaondoka akanywa sumu akawahishwa hospitali na tukawekwa kikao akajib atakuwa sawa, unajua sometimes inakufanya ujiskie vibaya kila siku kuwapigia kelele ndugu juu ya tatizo la ndoa yako na mtu wao mwisho wa siku wanaamua kukausha,. Nshafanya effort nyingi sana juu ya hili tatizo
[emoji23][emoji23][emoji23] ni ovyo sana shirima huyu kirambasi[emoji23][emoji23][emoji23]shirima kakimbiwa na mke huyo
Sasa ana hamu two years si anaweza Anza gawa kwa yoyote, nyie wenyewe hushauriana kuchepuka humu
Hizi familia tunazoji sogezamo ni za kuwa nazo makini sana yani! Familia zenye washirkina huharibia sana watu maishaKuna familia Zina visasi sana,
Jamaa mmoja alienda kujitambulisha kwa watu (nilimsindikiza kabisa), lipa mahali na kila kitu kikakaa sawa.
Baadae jamaa akapata mwanamke mwngine,
Akaenda kulipa mahali na kufunga ndoa na uyu mpya.
Kosa alilofanya Ni kwenda kupasha kiporo na ex wake uyo wa zamani, sijui aliweka Nini kule.
Baada ya hapo kila akienda Kukutana na mkewe ikashindikana (for 3 years)
Wazee wa Mila walisuluhisha ikashindikana,
Suluhisho lilikua ni jamaa kuoa wote wawili.
Of coz jamaa kiuchumi alkua vizur, japokua kidini walimtenga.
Ila baada ya kuwaoa wote wawili,
Tatizo likaisha moja kwa Moja mpk leo hii na anao watoto 3 (wawili bi mkubwa, mmoja bi mdogo).