Domo Kaya
JF-Expert Member
- May 29, 2007
- 531
- 59
Aibu ya nani kivipi, weka bayana swali lako, Wanandoa ni binadamu wawili waliokulia kwenye mazingira mawili tofauti, kila mtu na makuzi yake, wameshindwa kuishi pamoja kutokana na tofauti zao wazijuazo wenyewe, sasa hapo aibu inatoka wapi, kwani kuolewa au kuishi na mtu ni lazima hata kama tabia zake na mwenendo wake umenishinda? ning'ang'anie tu eti kwa kuogopa aibu itakuwa ya nani.