Aibu ya nini tu labda??
aibu ipo, kuna wazazi wa pande zote mbili, kuna wanandoa kwa ujumla wao, na individual kwa maana ya mwanamke na mwanaume. Kwa mfano unauliza habari kuhusu mtu, moja ya sifa unayopata ni ameachika(mwanamke) au ameacha(mwanaume)
binti ameachika halafu karudi kuishi na wazazi, unadhani wazazi watafurahi?
Sasa hapa aibu ni nini? Kuishi na wazaz au??binti ameachika halafu karudi kuishi na wazazi, unadhani wazazi watafurahi?
Kila kitu kina mwanzo wake.Na ndoa aivunjika bila ya sababu.Aibu ni kwa wanandoa..
Kila kitu kina mwanzo wake.Na ndoa aivunjika bila ya sababu.
Lakini hakuna aibu ndoa ikivunjika.Kama aibu ingekuwepo ndoa zisingevunjika.
Aibu inajulikana ni ya nani
binti ameachika halafu karudi kuishi na wazazi, unadhani wazazi watafurahi?