Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,805
- 59,285
Mmh inabidi nivunjwe moyo kila siku ili niendeleze points! Back to topic...naweza kuelewa mdada akisema kwamba pamoja na vituko vyote hivyo mwanaume anamjali.Kama hajawahi kupendwa wala kupenda tena itamuwia ngumu yeye kuona anachofanyiwa hastahili na kuondoka ikibidi!Dada mtu anaekujali hawezi kukufanyia uliyosema hapa..Leo una point...ni kweli jamaa alichukulia kuwa mdogo (23-6=17)