Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,586
- 50,683
Sawa mkuu..tafuta sababu itakuwepo tu..sisi wanawake wakati mwingine tunashindwa pengine kuzungumza..yawezekana tusitumie maneno sahihi yakawaumiza na kuwaletea majeraha….tunaishia kukaa kimya mwisho wa siku ndo kama hivyo hajisikii kupiga game.Mkuu kama kukuna mimi ni mwalimu. Maana hata hao wa nje wananililia kwasababu hiyo tu shida hawa watu wanatofautiana sana hasa katika afya zao hususan afya ya uzazi mwingine hainjoy mwingine ana enjoy. Nafikiri na mimi ndio msalaba wangu maana siku anaponikubalia anaenjoy sana ila ni kagoli kamoja hataki uludie na hapo zitapita 2week.
Kupiga au kupigwa game vizuri kunaleta furaha na kuongeza tumaini katika maisha😄😄
Lakini pia hata sisi wanawake madawa ya uzazi tunayotumia wengine huwa yanakataga stimu ya kupiga game kabisa.