Kabla ya kuolewa uliziona dalili zoooteee lakini ukapuuzia na kulazimisha ndoa
Habari zenu wapendwa? Poleni na majukumu, naombeni ushauri wenu katika hili maana hata sielewi nini cha kufanya Nina mpenz Wang nmeishi naye kwa miaka 4 sasa na mwezi wa 2 mwaka huu amepanga kupeleka mahari kwetu ili tufunge ndoa na nyumbani nimeshawapa taarifa kuwa kutakuwa na ugeni. Cha...
www.jamiiforums.com
ukahamaishia hasira zako kwa mama mkwe
Habari zenu wapendwa? Mwenzenu na matatizo sielewi nichukue uamuzi gani naombeni mnishauri wapendwa, nilianza mahusiano na mkaka wa kimakuwa toka 2016 kiukweli ananipenda sana na Mimi nampenda na Mungu ametujalia mwaka Jana mwezi wa 12 kapeleka mahari kwetu akanivalisha na Pete ya uchumba...
www.jamiiforums.com
Pambana tu na hali yako mkuu. Bado waliochangia sherehe yenu hawajasahau maumivu ya pesa zao