Ndoa inaelekea kunishinda

Ndoa inaelekea kunishinda

Kama ni movie ndio kwanza ipo kwenye ....
”Starring”....“Executive Producers”...”Title”... usijaribu kuvunja ambacho mungu amekiunganisha mkuu!

Nachokiona wewe umeolewa ila ni mgeni kwenye michezo ya mapenzi. Nikutoe hofu tu kuwa wanaume 80% huwa wana cheat ila kwa adabu sana! 20% ndio ambao hawana adabu kwenye cheating wao hawana aibu kuonesha kuwa wana cheat na hawa ndio wabaya sana.

Ukivunja ndoa sababu mume ameku cheat jua uendako pia utachitiwa tu na utakuwa dissapoonted mara mbili! Jifunze kuishi na hio hali kuwa mumeo sio muaminifu na maumivu yakizidi na wewe tafta mtu akugongege kwa siri ili akufariji. Hio ndio namna ya kupunguza machungu ila usiache kumuheshimu mumeo hata ukishaanza kuliwa maana ukiteleza hapo tu utapewa talaka kwa aibu na fedhea. Liwa nje ila usianze dharau na kejeli utakamatwa.
U nailed it bro, kiuhalisia utapata wapi Mwanaume asiyecheat 100%, inaonekana huyu shost Ni underground kwenye industry, Cha msingi Ni mtu akupe heshima na atimize wajibu wake
 
Ebu acha kutetea uovu kwa uovu. Haya wale wanaokuwepo jela wanatoaje hizo sperms zao au wao sio marijali? Ukiwa mgonjwa kitandani utazitoaje? Kujiendekeza tu kwani unafikiri wanawake ni magogo wao hawana ashki?. Kwahiyo mchepuko ndio kazi yake hiyo basi msitoe macho na nyie mkisaidiwa kipindi ambacho mnashindwa kuhudumia wake zenu.
Jela ndiyo maana wafungwa hupewa mlo kidogo ili zisitengenezwe. Kuna tofauti kati ya nye ge na kutengeneza hizo sperms
 
Hiki ndio chanzo cha matatizo ya ndoa nyingi sana kumkadilia mume wako kama yeye ni malaika. Yaani mwanamke umemtunza anapendeza alafu anataka mulale kama Kaka na dada yake. Usimpige miti, usimkojoze wapi na wapi ukininyima mbususu naitafuta inakopatikana wamama badilikeni
Unyago au kwetu inaitwa unyao ilikuwa ni muhimu kwa binti. Vitu kama hivi hufundishwa huko ila miss chuga ni Mchagga na kwao hakuna
 
Ushauri wenu jamani mimi nimeolewa nipo kwenye ndoa hatujamaliza hata mwaka Ila kinachoniumiza mme Wangu ananisaliti, nimemkuta anamiliki simu ya Siri pamoja na line alikuwa kaficha kabatini baada ya kugombana naye akakubali kuwa ana mchepuko akampigia akaweka loud nikawa nawasikia akamuomba samahani kwa kumchezea akamwambia Mimi nimeoa, nina mke nmeona siyo vizuri kumsaliti mke wangu dada akalalamika we badae akakubali kumblock kidogo nikapata amani.

Baada ya hapo hiyo simu ya Siri akaweka mezani akatoka zake Ila kilichoniumiza zaidi baada ya lisaa zilikuwa zinaingia text kutoka no. tofauti tofauti 2 baada ya kuchart nao kumbe nao ni michepuko yake tena jumla nimemfuma na wanawake 3 kwa wakati mmoja.

Msamaha kaniomba Ila nashindwa kumsamehe, naumia sana Bora ningemkamata hata na mmoja nisingeumia sana Ila wa 3 ukitegemea ndoa haina hata mwaka nawaza sijui kalogwa, natamani nimshirikishe hata mchungaji wetu Ila napata wakati mgumu naona ni vitu vya aibu hata kushirikisha watu wetu wa karibu. Natamani niondoke Ila kinachonipa wakati mgumu tayari Mimi ni mjamzito yaani nawaza ingekuwa siyo hii mimba ningeachana nae ananifanya Hadi nakata tamaa na mimba niliyonayo kitu ambacho ni dhambi, Naombeni mnishauri nifanyaje nahisi kuchanganyikiwa nakosa maamuzi presha imeshuka naona Kama dunia imeniangukia kweli ndoa ni ngumu sana duh! Mungu anitie tu nguvu.

Ni utoto tu ndiyo unakusumbua. Toka lini umewahi kusikia katika ulimwengu huu, mwanaume kuwa na mwanamke mmoja? Mwanamke mmoja ni mama mzazi tu. Ukikua utapotezea!!! Kwa ujumla, hakuna mwanaume mwenye mwanamke mmoja duniani. Never, ever!! Hutaki unaacha.
 
Mmh wewe ndio kivuruge. Mwisho wa siku wenzio wakianza kupata magonjwa nyemelezi kinga zipo chini wewe uko zako pembeni unawacheka. Kucheat ndan ya ndoa ya miezi 6 haimpi credibility mwanaume aliye serious na ndoa, NEVER.

Kwanini uoe na huwezi tulia na mwanamke mmoja. Kuna bahat mbaya sawa lakini ndoa bado changa una wanawake watatu nje tayari
Kitu ambacho wanawake wengi hawaelewi Ni kuwa, hao sio wanawake wapya no, Ila walikuwepo lakini huyo shost ndo akachaguliwa kuwa official, Cha msingi Angekaa na Mwamba wayajenge, jamaa nae mzembe tu simu ya hivo unaiwekaje nyumbani sehem mnayoishi wawili
 
Mkuu inawezekana humkuni vizuri.hebu zungumza nae maana mapenzi nayo ni hisia ujue..Akianza kuvuta hisia za Jana namna alivyoandaliwa,style aliyowekwa,macho alivyolegezewa,namna alivyokunjwa…hivi atakataaje kirahisi kupiga game!
Acha masihara basi
Mkuu kama kukuna mimi ni mwalimu. Maana hata hao wa nje wananililia kwasababu hiyo tu shida hawa watu wanatofautiana sana hasa katika afya zao hususan afya ya uzazi mwingine hainjoy mwingine ana enjoy. Nafikiri na mimi ndio msalaba wangu maana siku anaponikubalia anaenjoy sana ila ni kagoli kamoja hataki uludie na hapo zitapita 2week.
 
Ni utoto tu ndiyo unakusumbua. Toka lini umewahi kusikia katika ulimwengu huu, mwanaume kuwa na mwanamke mmoja? Mwanamke mmoja ni mama mzazi tu. Ukikua utapotezea!!! Kwa ujumla, hakuna mwanaume mwenye mwanamke mmoja duniani. Never, ever!! Hutaki unaacha.
Utoto unamsumbua tuu, Cha msingi aangalie heshima, nahitaji ya familia Kama yanatimizwa na yeye Kama anapewa kipaumbele
 
Ushauri wenu jamani mimi nimeolewa nipo kwenye ndoa hatujamaliza hata mwaka Ila kinachoniumiza mme Wangu ananisaliti, nimemkuta anamiliki simu ya Siri pamoja na line alikuwa kaficha kabatini baada ya kugombana naye akakubali kuwa ana mchepuko akampigia akaweka loud nikawa nawasikia akamuomba samahani kwa kumchezea akamwambia Mimi nimeoa, nina mke nmeona siyo vizuri kumsaliti mke wangu dada akalalamika we badae akakubali kumblock kidogo nikapata amani.

Baada ya hapo hiyo simu ya Siri akaweka mezani akatoka zake Ila kilichoniumiza zaidi baada ya lisaa zilikuwa zinaingia text kutoka no. tofauti tofauti 2 baada ya kuchart nao kumbe nao ni michepuko yake tena jumla nimemfuma na wanawake 3 kwa wakati mmoja.

Msamaha kaniomba Ila nashindwa kumsamehe, naumia sana Bora ningemkamata hata na mmoja nisingeumia sana Ila wa 3 ukitegemea ndoa haina hata mwaka nawaza sijui kalogwa, natamani nimshirikishe hata mchungaji wetu Ila napata wakati mgumu naona ni vitu vya aibu hata kushirikisha watu wetu wa karibu. Natamani niondoke Ila kinachonipa wakati mgumu tayari Mimi ni mjamzito yaani nawaza ingekuwa siyo hii mimba ningeachana nae ananifanya Hadi nakata tamaa na mimba niliyonayo kitu ambacho ni dhambi, Naombeni mnishauri nifanyaje nahisi kuchanganyikiwa nakosa maamuzi presha imeshuka naona Kama dunia imeniangukia kweli ndoa ni ngumu sana duh! Mungu anitie tu nguvu.
Mbona hakuna tatizo hapo, yaani jamaa kala vitu nje hlafu karudi nyumbani!
Ungekua na tatizo kama angehamisha majeshi.
 
Labda ha-enjoy. Kila kitu kinaanzia kichwani wewe kaa na mkeo vizuri umuulize unakosea wapi anaweza funguka ukayafanyia kazi hayo aliyokwambia. Shida yetu waswahili hatupendi kuongea
Ana enjoy sana tu lakini akipigwa kagoli kamoja hataki tena mpaka 2weeks ndio ahitaji tena wakati mimi kwa 1week nahitaji mara mbili or tatu
 
Na hichi ndokinachoniuma zaidi maana yake amefanya makusudi angekuwa mmoja ningesema bahati mbaya Ila 3 duh! Ndomana naona aibu kushirikisha ndugu naona Kama ntakuwa najivua nguo
Nina mwenzangu alikutwa na kisa kama chako..tena na mimba kubwa
Na ndoa ulikua mwaka wa kwanza.
Alikua anawashirikisha watu wa msingi tu sio kula ndugumfano alikua anamshirikisha Dada wa mume live hii ilimfanya angalau aone aibu.na alikua anaconfess na msaha anaomba hadi analia.
Lakini akawa anandelea kisirisiri baadae..
Nnachojua mqanaume anachepuka kufata starehe ya tendo sio kwamba ana upendo na hao watu..Bali anawatumia tu kujiburudisha..anakupenda wewe ndio maana akaamu kukuoa na kuwaacha wengine.
hofu kuu ni magonjwa ndo inatesa.
Mumeo anakupenda ila hana jinsi maana anahitaji tendo na kwako hatolipata mpaka ukijifungua na kurejea normal...so kaamua kujiongeza.
Na usimuache wala kumtangazia kwa watu hakuna asiechepuka
Jitahidi kama mwanamke kuyamaliza ndani,in ngumu ila utashinda.

Huyo nlokupa mfano hapo juu kwa sasa ana ndoa ya miaka kumi na watoto kibao.mume kabadilika wako happy tu.
Kikubwa onyesha ujasiri usiwe kondoo mbele yake..
Pia mtishietishie kwamba ukiendelea na umalaya wako nawaambia ndugu zako wa ukoo wote waone..
 
Wewe kila kilichozuiliwa na dini hukifanyi? Huyo dada mshauri apate talaka uone kama atapata malaika wake peke yake
Nimeshamshauri tayari.

Kijana unaweza kumvumilia mtu mzinifu au mshirikina ?

Acheni ujinga. Yapo yenye kuvumilika mengi sana ndiyo maana hapo nimetaja yasiyo vumilika. Dini haitaki watu wajinga na wazembe wazembe.
 
Mtu hupati picha wife katoka huko alikotoka umeacha simu kizembe..nae kujifanya anajua ufukunyuku akaishika ili asome text...dadeq! Asipopata kiharusi sijui😂😂😂 some of us flirt sio poa yani!
 
Najaribu kuwaza sana ulianzaje kuwauliza hao wanawake maswali?hapo unauchungu,hasira na mengineyo.vipi ulitumia njia ya kistaarabu kuzungumza nao au ndo hivyo tena…

Maana michepuko na yenyewe inamajibu yao ya kipuuzi sana ukiwaingilia vibaya
Alafu hutoamini wote walinipa ushirikiano mzuri tena waliumia coz walimpenda na aliwadanganya hajaoa waliishia tu kugombana nae na kumtukana kwa kuwachezea naona wamefikishana pabaya mmoja mkorofi ni mwanajeshi alitaka Hadi kupelekana police naona sahivi kawablock baada ya kuona wanamfanyia fujo mwingine kamtishia kuwa atamfanyia kitu kibaya yani kwa ugomvi walionao sidhani Kama watarudiana maana ni kutukanana mwanzo mwisho
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom